Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Sijui ni ubunifu au ni kitu Gani. Stand ya Mabasi ya Magufuli ni stand ukiwemo huwezi mpigia mtu simu akakuelewa..yaani ni makelele ya spika na matangazo mwanzo mwisho, Kariakoo Kuna uafadhali. Najiuliza kwani uongozi wa hii stand hawalioni hili?
Kama ni wao ndiyo Wana regulate haya matangazo ni kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka kukawa na utulivu ..ikitokea una mgeni pale inakulazimu umwambie atoke nje ya stand ndo aweze kukupigia simu Ili muelewane.
Nashauri viongozi wapeee tripu ya mafunzo pale airport, Ili waone kwa vitendo wenzako wanafanya vipii matangazo bila kuadhiri utivu wa abiria..
Kama ni wao ndiyo Wana regulate haya matangazo ni kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka kukawa na utulivu ..ikitokea una mgeni pale inakulazimu umwambie atoke nje ya stand ndo aweze kukupigia simu Ili muelewane.
Nashauri viongozi wapeee tripu ya mafunzo pale airport, Ili waone kwa vitendo wenzako wanafanya vipii matangazo bila kuadhiri utivu wa abiria..