Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni baadhi ya Watanzania ambao neno ustaarabu ni msimiati mgeniSimu gani hio mbona sisi tunapigiana na kuelewana vizuri kabisa... Una point nzuri sema exaggeration imekua kubwa
Watoto wa msaliti Lisu ni raia wa marekaniMara ya mwisho nilikuwa hapo Leo...mgeni wangu tulishindwa elewana nikamwambue atoke nje ya stand ndo tukaelewana..wewe ulienda lini hapo
Lekaga ūbūlomolomo!Ungechunguza vizuri, sio spika ni Wasukuma wanaongea,[emoji125][emoji125][emoji125]
Kuna siku nilijichanganya nikaingia soko la Karume, nilitoka bila kupenda, kila meza ina kipaza sautiTanzania inaongoza kwa noise pollution Kusini nwa jangwa la sahara
Ila kwasababu viongozi tulionao wanawaza ufisadi tu hatuna namna
Asante sana lakini nadhani ulitaka kuandika msamiati bahati mbaya ukaandika msimiati.Wewe ni baadhi ya Watanzania ambao neno ustaarabu ni msimiati mgeni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ungechunguza vizuri, sio spika ni Wasukuma wanaongea,[emoji125][emoji125][emoji125]
Ulimwambiaje atoke ili muelewane ,kwani huko kumwambia TOKA alikuelewa vipi ?=hebu eleza vingine hii Ina criscrossMara ya mwisho nilikuwa hapo Leo...mgeni wangu tulishindwa elewana nikamwambue atoke nje ya stand ndo tukaelewana..wewe ulienda lini hapo
Acha kulalamika ndugu, we kama una biashara yako peleka tangazo lako pale wakutangazie tu upate wateja, unafikiri wao watakula wapSijui ni ubunifu au ni kitu Gani. Stand ya Mabasi ya Magufuli ni stand ukiwemo huwezi mpigia mtu simu akakuelewa..yaani ni makelele ya spika na matangazo mwanzo mwisho, Kariakoo Kuna uafadhali. Najiuliza kwani uongozi wa hii stand hawalioni hili?
Kama ni wao ndiyo Wana regulate haya matangazo ni kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka kukawa na utulivu ..ikitokea una mgeni pale inakulazimu umwambie atoke nje ya stand ndo aweze kukupigia simu Ili muelewane.
Nashauri viongozi wapeee tripu ya mafunzo pale airport, Ili waone kwa vitendo wenzako wanafanya vipii matangazo bila kuadhiri utivu wa abiria..
Sina shida na matangazo ishu ni utaratibu wa matangazo..watangaze kwa ustaarabu wakijua kwamba Kuna wengine pale shughuli zao zapaswa kwenda...mfano Kuna wagonjwa, Kuna wageni n.k sasa hizo vurumai siyo afya..wakajifunze airport ambapo Huwa wanafanya pia matangazoAcha kulalamika ndugu, we kama una biashara yako peleka tangazo lako pale wakutangazie tu upate wateja, unafikiri wao watakula wap
kalume ya 2Sijui ni ubunifu au ni kitu Gani. Stand ya Mabasi ya Magufuli ni stand ukiwemo huwezi mpigia mtu simu akakuelewa..yaani ni makelele ya spika na matangazo mwanzo mwisho, Kariakoo Kuna uafadhali. Najiuliza kwani uongozi wa hii stand hawalioni hili?
Kama ni wao ndiyo Wana regulate haya matangazo ni kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka kukawa na utulivu ..ikitokea una mgeni pale inakulazimu umwambie atoke nje ya stand ndo aweze kukupigia simu Ili muelewane.
Nashauri viongozi wapeee tripu ya mafunzo pale airport, Ili waone kwa vitendo wenzako wanafanya vipii matangazo bila kuadhiri utivu wa abiria..
Ukitaka kuruka Agana na nyonga kaka. Hakuna stand isio na kelele. Mambo Mengine muwe mnavumilia tu. Comparison zitawapeleka pabaya.Utakuwa umekuwa saturated na hayo makelele...yaani ubongo wako na akili zako uneyazoea kiasi kwamba unaona ni normal..kama ilivyo madaktari na manesi hospitali jinsi ambacho hawasikiagi Ile harufu ya chlorine na madawa.
Usifananishe airport na stand narudia Airport ni Airport. Hivi unaona Kuna fanani hata au..??Sina shida na matangazo ishu ni utaratibu wa matangazo..watangaze kwa ustaarabu wakijua kwamba Kuna wengine pale shughuli zao zapaswa kwenda...mfano Kuna wagonjwa, Kuna wageni n.k sasa hizo vurumai siyo afya..wakajifunze airport ambapo Huwa wanafanya pia matangazo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna siku nilijichanganya nikaingia soko la Karume, nilitoka bila kupenda, kila meza ina kipaza sauti
[emoji1]Kuna siku nilijichanganya nikaingia soko la Karume, nilitoka bila kupenda, kila meza ina kipaza sauti
Dah, ila we jamaa ..[emoji125][emoji125][emoji125]Lekaga ūbūlomolomo!
View attachment 2507294