the glassroof
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 293
- 448
Wanacharge bei gani kwa transaction?Ulizwa swali lolote kuhusu M-pesa master card nitakujibu.
Ninakaribia mwaka sasa toka nianzw kutumia M-pesa master card na hususan Aliexpress.
Bank gani wanaingiza direct na charges zao per transaction?shida ya equity bank ipo kwenye refunds.....
kwanini pesa isingie automatic waki ku refund?
Hakuna chaji kwa transaction, ila kuna tofauti ya exchange rate ambayo ni ndogo sana.Wanacharge bei gani kwa transaction?
Vipi kuhusu refund, inachukuwa muda gani? Huduma ya customer ikoje huko in case una shida
hii ni rahisi zaidi.huna haja ya kufungua bank ac wewe tu na line yako ya voda yenye mpesa mastercard.Ulizwa swali lolote kuhusu M-pesa master card nitakujibu.
Ninakaribia mwaka sasa toka nianzw kutumia M-pesa master card na hususan Aliexpress.
Hii noki pia niliagiza alixpress mkuuView attachment 1144113
Hapana mkuu ila kama seller akiweka kifungashio kikubwa kidogo tra lazima wa kutamani na watakupiga 20% kuna jamaa zangu washa kutwa na huo mkasaMkuu hizo simu zilivyofika posta hukulipia kodi zozote zile??
Mkuu ww ni mfanya biashara wa simu mbona unaagiza simu kwa wingi
Mkuu soma hapa utapata picha ya swali lako pia hii itawasaidia na wengine piaMkuu hizo simu zilivyofika posta hukulipia kodi zozote zile??
Mfano nikijisajiri kwa kutumia sanduku la posta la mkurugenzi wa Manispaa ya kinondoni maana mi sina ya kwangu, halafu post code nikatumia ya Kijitonyama hapa mzigo utapelekwa wapi?Mkuu soma hapa utapata picha ya swali lako pia hii itawasaidia na wengine pia
*Kwanza download application ya alixpress kwenye simu yako
* application ikifunguka jisajili kwa kuweka email yako and password zako kumbuka kuhifadhi password vyema ili ikitokea ume unistall hiyo application ukija ku download upya irudi account yako ileile ya awali
*Ingia kwenye application yako ya alixpress kwenye setting tafuta sehem pameandikwa
Shipping adresse hapo ingiza Adress yako
Kwamba unaitwa nani, unakaa wapi, Namba zako za simu zilizopo hewani, post code yako. N.k kisha save
* Tafuta kitu unachotaka kununua ukipata fuata process za kununua hapo hapo kwenye ulipoonea hicho kifaa itakuonyesha pia na shipping cost
Fuata maelekezo hayo ya kununua yatakupeleka mpaka kwenye namna ya kununua hapo utatumia credit card yako ya Visa au Master card au M pesa master card
salio lako litatumwa kwa alixpress baada malipo yako kuwa confirmed
Seller ataanza ku process mzigo wako
Mara nyingi ni 5days then atautuma kwa shipping company
* mzigo wako utatumwa na selller kwa kupitia shipping company uliyo chagua
Kazi yako hapo ww itakuwa ni kungojea mzigo ufike posta kulingana na estimate period iliyowekwa ...
Kumbuka seller atakutumia tracking number hvyo utakuwa una u track mzigo wako kujua maendeleo yake mara nyingi baada ya seller kutuma mzigo huwa inachukua siku 21 au zaidi
Huwa na tumia track24.net hii huwa inanionyesha maendeleo yote ya mzigo wangu mpaka unapo fika posta
* Mm nachukuliaga mizigo yangu posta mpya hapa dar es salaam
Kwahiyo ww utaenda makao makuu ya posta ya mkoa uliopo
Au unaweza kutumia sanduku lako la posta kama unalo ni muhimu kufuatilia mapema mzigo wako posta usingojee mapaka wakutumie msg maana mara nyingi msg zao hazifiki kwa wakati hii inaweza kupelekea mzigo kupotea au kupatataabu kuupata
* kwa mizigo midogo huwa hamna charge zozote ila pale posta mara nyingine huwa wana tukata 1500tsh hata kwa mizigo midogo midogo hii sijajua ni ya nini wajuzi wata dadavua
Vile vile mzogo ukiwa mkubwa zaid ya 0.5kg jamaa TRA wanatakaga 20% ya bei uliyonunulia mzigo hii nazungumzia kwa mizigo midogo dogo
Ila kwenye simu sijawah kukatwa pesa huwa na chukua free
*kumbuka Jina utakaloandika kwenye shipping address liwe ndio hilo hilo lililopo kwenye kitambulisho chako
Maana siku ya kwenda kuchukua mzigo lazima uende na kitambulisho chako cha kura, taifa, au driving license..
Kama una swali karibu
Mkuu Masawe mimi nina sanduku la posta wilaya ya kinondoni eneo la kawe nikiagiza mzigo utakuja kwenye address yangu hii ya kawe au ndo kwende huko makao makuuMkuu soma hapa utapata picha ya swali lako pia hii itawasaidia na wengine pia
*Kwanza download application ya alixpress kwenye simu yako
* application ikifunguka jisajili kwa kuweka email yako and password zako kumbuka kuhifadhi password vyema ili ikitokea ume unistall hiyo application ukija ku download upya irudi account yako ileile ya awali
*Ingia kwenye application yako ya alixpress kwenye setting tafuta sehem pameandikwa
Shipping adresse hapo ingiza Adress yako
Kwamba unaitwa nani, unakaa wapi, Namba zako za simu zilizopo hewani, post code yako. N.k kisha save
* Tafuta kitu unachotaka kununua ukipata fuata process za kununua hapo hapo kwenye ulipoonea hicho kifaa itakuonyesha pia na shipping cost
Fuata maelekezo hayo ya kununua yatakupeleka mpaka kwenye namna ya kununua hapo utatumia credit card yako ya Visa au Master card au M pesa master card
salio lako litatumwa kwa alixpress baada malipo yako kuwa confirmed
Seller ataanza ku process mzigo wako
Mara nyingi ni 5days then atautuma kwa shipping company
* mzigo wako utatumwa na selller kwa kupitia shipping company uliyo chagua
Kazi yako hapo ww itakuwa ni kungojea mzigo ufike posta kulingana na estimate period iliyowekwa ...
Kumbuka seller atakutumia tracking number hvyo utakuwa una u track mzigo wako kujua maendeleo yake mara nyingi baada ya seller kutuma mzigo huwa inachukua siku 21 au zaidi
Huwa na tumia track24.net hii huwa inanionyesha maendeleo yote ya mzigo wangu mpaka unapo fika posta
* Mm nachukuliaga mizigo yangu posta mpya hapa dar es salaam
Kwahiyo ww utaenda makao makuu ya posta ya mkoa uliopo
Au unaweza kutumia sanduku lako la posta kama unalo ni muhimu kufuatilia mapema mzigo wako posta usingojee mapaka wakutumie msg maana mara nyingi msg zao hazifiki kwa wakati hii inaweza kupelekea mzigo kupotea au kupatataabu kuupata
* kwa mizigo midogo huwa hamna charge zozote ila pale posta mara nyingine huwa wana tukata 1500tsh hata kwa mizigo midogo midogo hii sijajua ni ya nini wajuzi wata dadavua
Vile vile mzogo ukiwa mkubwa zaid ya 0.5kg jamaa TRA wanatakaga 20% ya bei uliyonunulia mzigo hii nazungumzia kwa mizigo midogo dogo
Ila kwenye simu sijawah kukatwa pesa huwa na chukua free
*kumbuka Jina utakaloandika kwenye shipping address liwe ndio hilo hilo lililopo kwenye kitambulisho chako
Maana siku ya kwenda kuchukua mzigo lazima uende na kitambulisho chako cha kura, taifa, au driving license..
Kama una swali karibu
Mkuu Masawe mimi nina sanduku la posta wilaya ya kinondoni eneo la kawe nikiagiza mzigo utakuja kwenye address yangu hii ya kawe au ndo kwende huko makao makuu
Hapana mkuu ila kama seller akiweka kifungashio kikubwa kidogo tra lazima wa kutamani na watakupiga 20% kuna jamaa zangu washa kutwa na huo mkasa
unafanyaje hapo kama hauna sanduku la posta.Watanzania tuache uoga mimi nimesha agiza simu zaidi ya tano kwa kupitia alixpress tena sina sanduku la posta natumia posta makao makuu Mzigo ukifika naenda kuchukua
Nimeagiza vitu vingi sana na vimefika bila shida yoyote
Muhimu ujue ku track mizigo yako ili ikifika posta utambue mapema na kuifuatilia
Maana ukitegemea kupata msg kutoka posta mara nyingine msg hazifiki
Hizo ni baadhi ya simu nilizo agiza na zikafika bila shida yoyote
Kuna item zaidi ya 30 nimeagiza na zimefika
View attachment 1144110View attachment 1144111
Mkuu soma hapa utapata picha ya swali lako pia hii itawasaidia na wengine pia
*Kwanza download application ya alixpress kwenye simu yako
* application ikifunguka jisajili kwa kuweka email yako and password zako kumbuka kuhifadhi password vyema ili ikitokea ume unistall hiyo application ukija ku download upya irudi account yako ileile ya awali
*Ingia kwenye application yako ya alixpress kwenye setting tafuta sehem pameandikwa
Shipping adresse hapo ingiza Adress yako
Kwamba unaitwa nani, unakaa wapi, Namba zako za simu zilizopo hewani, post code yako. N.k kisha save
* Tafuta kitu unachotaka kununua ukipata fuata process za kununua hapo hapo kwenye ulipoonea hicho kifaa itakuonyesha pia na shipping cost
Fuata maelekezo hayo ya kununua yatakupeleka mpaka kwenye namna ya kununua hapo utatumia credit card yako ya Visa au Master card au M pesa master card
salio lako litatumwa kwa alixpress baada malipo yako kuwa confirmed
Seller ataanza ku process mzigo wako
Mara nyingi ni 5days then atautuma kwa shipping company
* mzigo wako utatumwa na selller kwa kupitia shipping company uliyo chagua
Kazi yako hapo ww itakuwa ni kungojea mzigo ufike posta kulingana na estimate period iliyowekwa ...
Kumbuka seller atakutumia tracking number hvyo utakuwa una u track mzigo wako kujua maendeleo yake mara nyingi baada ya seller kutuma mzigo huwa inachukua siku 21 au zaidi
Huwa na tumia track24.net hii huwa inanionyesha maendeleo yote ya mzigo wangu mpaka unapo fika posta
* Mm nachukuliaga mizigo yangu posta mpya hapa dar es salaam
Kwahiyo ww utaenda makao makuu ya posta ya mkoa uliopo
Au unaweza kutumia sanduku lako la posta kama unalo ni muhimu kufuatilia mapema mzigo wako posta usingojee mapaka wakutumie msg maana mara nyingi msg zao hazifiki kwa wakati hii inaweza kupelekea mzigo kupotea au kupatataabu kuupata
* kwa mizigo midogo huwa hamna charge zozote ila pale posta mara nyingine huwa wana tukata 1500tsh hata kwa mizigo midogo midogo hii sijajua ni ya nini wajuzi wata dadavua
Vile vile mzogo ukiwa mkubwa zaid ya 0.5kg jamaa TRA wanatakaga 20% ya bei uliyonunulia mzigo hii nazungumzia kwa mizigo midogo dogo
Ila kwenye simu sijawah kukatwa pesa huwa na chukua free
*kumbuka Jina utakaloandika kwenye shipping address liwe ndio hilo hilo lililopo kwenye kitambulisho chako
Maana siku ya kwenda kuchukua mzigo lazima uende na kitambulisho chako cha kura, taifa, au driving license..
Kama una swali karibu
Kwenye sanduku la posta la mkurugenziMfano nikijisajiri kwa kutumia sanduku la posta la mkurugenzi wa Manispaa ya kinondoni maana mi sina ya kwangu, halafu post code nikatumia ya Kijitonyama hapa mzigo utapelekwa wapi?
Ni fresh mkuu mimi mwenyewe nilikuwa mwogo ila baada ya kupata somo kutoka kwa wadau huku kina mwl.rctHaina noma mkuu,kumbe naogopaga bure tu kuagizia simu kumbe fresh tu
Ni fresh mkuu mimi mwenyewe nilikuwa mwogo ila baada ya kupata somo kutoka kwa wadau huku kina mwl.rct
Sasa hv naagiza vitu vikubwa zaidi huko alibaba na vinafika ninapo kwama naomba msaada kwa wakongwe humu
Ulizwa swali lolote kuhusu M-pesa master card nitakujibu.
Ninakaribia mwaka sasa toka nianzw kutumia M-pesa master card na hususan Aliexpress.