Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Watanzania ifike wakati tuukubali ukweli, hatuna timu ya Taifa ya kushindana na wenzentu mpaka tufikie viwango kama hivi vya Burkinafaso, yani ukicheza ligi ya ndani sahau kuitwa timu ya Taifa, labda usubiri Chan.
.... Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC Aziz Ki (26) tayari ameanza mazoezi na timu yake ya taifa ya Burkinafaso 🇧🇫 katika jiji la Casablanca Nchini Morocco 🇲🇦
September 23/2022 timu hiyo itacheza dhidi ya Dr Congo 🇨🇩 na September 27/2022 watacheza dhidi ya Comoros 🇰🇲
Mchezaji wa zamani wa Astonvilla 🏴 Bertrand Traore amerejea kwenye timu ya taifa baada ya kutojumuishwa kikosini katika michezo minne (4) iliyopita.
Wachezaji wanne pekee kati ya Wachezaji (25) walioitwa kwenye timu ya taifa ya Burkinafaso ndio wanacheza soka Africa wengine wote wanacheza soka Ulaya !
MAGOLIKIPA.
01. Koffi Herve - Charleroi 🇧🇪
02. Nikiema Kylian - Ado den 🇳🇱
03. Konate Hillet - Valenciennes 🇫🇷
MABEKI
04. Tapsoba Edmond - Leverkusen 🇩🇪
05. Dayo Issoufou - RS Berkane 🇲🇦
06. Yago Steeve - Aris Limassor 🇨🇾
07. Kabore Issa - Marseille 🇫🇷
08. Guiebre Abdoul - FC Reggiana 🇮🇹
09. Ouedraogo Dylan - Oh Louvain 🇧🇪
10. Fofana - Adama - Dijon 🇫🇷
11. Nagalo Adamo - Nordsjaelland 🇩🇰
VIUNGO
12. Aziz Ki - Young Africans 🇹🇿
13. Bangre Mamady - Quevilly Rouen 🇫🇷
14. Toure Blati - Pyramids 🇪🇬
15. Sangare Gustavo - US Quevilly 🇫🇷
16. Ouedraogo Ismahilia - Volos NPS 🇬🇷
17. Salou Dramane - Noah Yerevan 🇦🇲
18. Bandaogo Abdoul - Trofense 🇵🇹
WASHAMBULIAJI
19. Badolo Cedric - FC Sheriff 🇲🇩
20. Bertrand Traore - Basaksehir 🇹🇷
21. Ouatarra Dango - FC Lorient 🇫🇷
22. Bayala Cyrille - AC Ajaccio 🇫🇷
23. Tapsoba Fessal - Standard Liege 🇧🇪
24. Ouatarra Abou - FC Sheriff 🇲🇩
25. Ouatarra Djibril - RS Berkane 🇲🇦
.... Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC Aziz Ki (26) tayari ameanza mazoezi na timu yake ya taifa ya Burkinafaso 🇧🇫 katika jiji la Casablanca Nchini Morocco 🇲🇦
September 23/2022 timu hiyo itacheza dhidi ya Dr Congo 🇨🇩 na September 27/2022 watacheza dhidi ya Comoros 🇰🇲
Mchezaji wa zamani wa Astonvilla 🏴 Bertrand Traore amerejea kwenye timu ya taifa baada ya kutojumuishwa kikosini katika michezo minne (4) iliyopita.
Wachezaji wanne pekee kati ya Wachezaji (25) walioitwa kwenye timu ya taifa ya Burkinafaso ndio wanacheza soka Africa wengine wote wanacheza soka Ulaya !
MAGOLIKIPA.
01. Koffi Herve - Charleroi 🇧🇪
02. Nikiema Kylian - Ado den 🇳🇱
03. Konate Hillet - Valenciennes 🇫🇷
MABEKI
04. Tapsoba Edmond - Leverkusen 🇩🇪
05. Dayo Issoufou - RS Berkane 🇲🇦
06. Yago Steeve - Aris Limassor 🇨🇾
07. Kabore Issa - Marseille 🇫🇷
08. Guiebre Abdoul - FC Reggiana 🇮🇹
09. Ouedraogo Dylan - Oh Louvain 🇧🇪
10. Fofana - Adama - Dijon 🇫🇷
11. Nagalo Adamo - Nordsjaelland 🇩🇰
VIUNGO
12. Aziz Ki - Young Africans 🇹🇿
13. Bangre Mamady - Quevilly Rouen 🇫🇷
14. Toure Blati - Pyramids 🇪🇬
15. Sangare Gustavo - US Quevilly 🇫🇷
16. Ouedraogo Ismahilia - Volos NPS 🇬🇷
17. Salou Dramane - Noah Yerevan 🇦🇲
18. Bandaogo Abdoul - Trofense 🇵🇹
WASHAMBULIAJI
19. Badolo Cedric - FC Sheriff 🇲🇩
20. Bertrand Traore - Basaksehir 🇹🇷
21. Ouatarra Dango - FC Lorient 🇫🇷
22. Bayala Cyrille - AC Ajaccio 🇫🇷
23. Tapsoba Fessal - Standard Liege 🇧🇪
24. Ouatarra Abou - FC Sheriff 🇲🇩
25. Ouatarra Djibril - RS Berkane 🇲🇦