Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Watanzania ifike wakati tuukubali ukweli, hatuna timu ya Taifa ya kushindana na wenzentu mpaka tufikie viwango kama hivi vya Burkinafaso, yani ukicheza ligi ya ndani sahau kuitwa timu ya Taifa, labda usubiri Chan.
.... Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC Aziz Ki (26) tayari ameanza mazoezi na timu yake ya taifa ya Burkinafaso ๐ง๐ซ katika jiji la Casablanca Nchini Morocco ๐ฒ๐ฆ
September 23/2022 timu hiyo itacheza dhidi ya Dr Congo ๐จ๐ฉ na September 27/2022 watacheza dhidi ya Comoros ๐ฐ๐ฒ
Mchezaji wa zamani wa Astonvilla ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Bertrand Traore amerejea kwenye timu ya taifa baada ya kutojumuishwa kikosini katika michezo minne (4) iliyopita.
Wachezaji wanne pekee kati ya Wachezaji (25) walioitwa kwenye timu ya taifa ya Burkinafaso ndio wanacheza soka Africa wengine wote wanacheza soka Ulaya !
MAGOLIKIPA.
01. Koffi Herve - Charleroi ๐ง๐ช
02. Nikiema Kylian - Ado den ๐ณ๐ฑ
03. Konate Hillet - Valenciennes ๐ซ๐ท
MABEKI
04. Tapsoba Edmond - Leverkusen ๐ฉ๐ช
05. Dayo Issoufou - RS Berkane ๐ฒ๐ฆ
06. Yago Steeve - Aris Limassor ๐จ๐พ
07. Kabore Issa - Marseille ๐ซ๐ท
08. Guiebre Abdoul - FC Reggiana ๐ฎ๐น
09. Ouedraogo Dylan - Oh Louvain ๐ง๐ช
10. Fofana - Adama - Dijon ๐ซ๐ท
11. Nagalo Adamo - Nordsjaelland ๐ฉ๐ฐ
VIUNGO
12. Aziz Ki - Young Africans ๐น๐ฟ
13. Bangre Mamady - Quevilly Rouen ๐ซ๐ท
14. Toure Blati - Pyramids ๐ช๐ฌ
15. Sangare Gustavo - US Quevilly ๐ซ๐ท
16. Ouedraogo Ismahilia - Volos NPS ๐ฌ๐ท
17. Salou Dramane - Noah Yerevan ๐ฆ๐ฒ
18. Bandaogo Abdoul - Trofense ๐ต๐น
WASHAMBULIAJI
19. Badolo Cedric - FC Sheriff ๐ฒ๐ฉ
20. Bertrand Traore - Basaksehir ๐น๐ท
21. Ouatarra Dango - FC Lorient ๐ซ๐ท
22. Bayala Cyrille - AC Ajaccio ๐ซ๐ท
23. Tapsoba Fessal - Standard Liege ๐ง๐ช
24. Ouatarra Abou - FC Sheriff ๐ฒ๐ฉ
25. Ouatarra Djibril - RS Berkane ๐ฒ๐ฆ
.... Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC Aziz Ki (26) tayari ameanza mazoezi na timu yake ya taifa ya Burkinafaso ๐ง๐ซ katika jiji la Casablanca Nchini Morocco ๐ฒ๐ฆ
September 23/2022 timu hiyo itacheza dhidi ya Dr Congo ๐จ๐ฉ na September 27/2022 watacheza dhidi ya Comoros ๐ฐ๐ฒ
Mchezaji wa zamani wa Astonvilla ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Bertrand Traore amerejea kwenye timu ya taifa baada ya kutojumuishwa kikosini katika michezo minne (4) iliyopita.
Wachezaji wanne pekee kati ya Wachezaji (25) walioitwa kwenye timu ya taifa ya Burkinafaso ndio wanacheza soka Africa wengine wote wanacheza soka Ulaya !
MAGOLIKIPA.
01. Koffi Herve - Charleroi ๐ง๐ช
02. Nikiema Kylian - Ado den ๐ณ๐ฑ
03. Konate Hillet - Valenciennes ๐ซ๐ท
MABEKI
04. Tapsoba Edmond - Leverkusen ๐ฉ๐ช
05. Dayo Issoufou - RS Berkane ๐ฒ๐ฆ
06. Yago Steeve - Aris Limassor ๐จ๐พ
07. Kabore Issa - Marseille ๐ซ๐ท
08. Guiebre Abdoul - FC Reggiana ๐ฎ๐น
09. Ouedraogo Dylan - Oh Louvain ๐ง๐ช
10. Fofana - Adama - Dijon ๐ซ๐ท
11. Nagalo Adamo - Nordsjaelland ๐ฉ๐ฐ
VIUNGO
12. Aziz Ki - Young Africans ๐น๐ฟ
13. Bangre Mamady - Quevilly Rouen ๐ซ๐ท
14. Toure Blati - Pyramids ๐ช๐ฌ
15. Sangare Gustavo - US Quevilly ๐ซ๐ท
16. Ouedraogo Ismahilia - Volos NPS ๐ฌ๐ท
17. Salou Dramane - Noah Yerevan ๐ฆ๐ฒ
18. Bandaogo Abdoul - Trofense ๐ต๐น
WASHAMBULIAJI
19. Badolo Cedric - FC Sheriff ๐ฒ๐ฉ
20. Bertrand Traore - Basaksehir ๐น๐ท
21. Ouatarra Dango - FC Lorient ๐ซ๐ท
22. Bayala Cyrille - AC Ajaccio ๐ซ๐ท
23. Tapsoba Fessal - Standard Liege ๐ง๐ช
24. Ouatarra Abou - FC Sheriff ๐ฒ๐ฉ
25. Ouatarra Djibril - RS Berkane ๐ฒ๐ฆ