Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe


ndo serikali yetu ya sasa . wanamquote mungu kila sekunde wapatayo while wana abuse human rights and their constitutional powers , at the same time wamewaconvince a large group of people that they are doing it for the good of the country.
And they are succeeding because of people's prayers.. ! ! ! ! ! ! ! last time i believed in this was when i was 15 ,

its sad that there are adults who would rather you keep quiet than prove to them that their whole life philosophy is a lie.

Moreover they have been used and abused.
 
Nashukuru sana na nafurahi sana ninapoona kuna watu wengi wamefunguka macho kuona uovu na ujinga huu.
 

First of all, sina sababu ya kumjua KIRANGA but I wanna make him avoid complacencies.
The man is too complacent kwa sababu ameridhika na mambo anayoyajua yeye na hayupo tayari kufundishwa wala kuelekezwa kitu ambacho hakijui.

Siwezi kutokomea kwa hoja nyepesi kama hizi Mkuu.

I'm ready to proceed defending Sir God against your claim.
 
When you have to shoot, shoot.

Don't talk.

 

[emoji16][emoji16][emoji16]

Inabidi nicheke tu_kwaiyo mkuu si kwamba ukisemacho hakieleweki ila watu wanaogopa uchuro

Ila lina ukweli ndani yake
 

Hizi zarau sasa kwaiyo sie wengine utapiamlo unatusumbua ..[emoji20]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Mtu akifuatisha wewe anaweza kuacha kuamini mungu kiroho safi
 
Izi zarau sasa kwaiyo sie wengine utapiamlo unatusumbua ..[emoji20]
Kama dharau au si dharau ni jambo la kujadiliwa, inawezekana ufukara unasababisha "inferiority complex" mpaka mtu akikwambia ukweli unaona hii dharau.

Kwa hiyo unaweza kuambiwa ukweli, ukaona dharau.

Cha msingi ni, huo ni ukweli au si ukweli?

Inawezekana pia ikawa dharau unayostahili kwa haki na ukweli.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Mtu akifuatisha wewe anaweza kuacha kuamini mungu kiroho safi
"anaweza kuacha kuamini mungu kiroho safi" ni tungo tata.

Maana yako ni ipi?

Anaweza kuacha kuamini imani ya roho safi ambayo ni ya kuamini Mungu?

Au anaweza kuacha kuamini Imani ya kuwepo Mungu kwa namna ya roho safi tu?
 
"anaweza kuacha kuamini mungu kiroho safi" ni tungo tata.

Maana yako ni ipi?

Anaweza kuacha kuamini imani ya roho safi ambayo ni ya kuamini Mungu?

Au anaweza kuacha kuamini Imani ya kuwepo Mungu kwa namna ya roho safi tu?
Hakuna utata ni kwamba ataungana na wewe kimtazamo

Ila pia kuna shida ya kuwa na mtazamo kama huu wa kwako
 
Hakuna utata ni kwamba ataungana na wewe kimtazamo

Ila pia kuna shida ya kuwa na mtazamo kama huu wa kwako
Shida ipi?

Mbaraka Mwinshehe Kila kitu shida shida, shida haiishi mpaka siku ya mwisho.
 
Sasa hadi Hilo la watoto kufa njaa vijijini. Unataka umlaumu mungu? Si uwapelekee chakula
 
Sasa hadi Hilo la watoto kufa njaa vijijini. Unataka umlaumu mungu? Si uwapelekee chakula
Kama Mungu yupo kweli, yeye ni muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.

Alishindwa kuumba ulimwengu ambao watoto hawawezi kufa na njaa?

Kama alitaka kuumba ulimwengu huo, ila hakuweza tu, je, ni kweli ana uwezo wote?

Kama aliweza kuumba ulimwengu huo, hakutaka tu, je, ni kweli ana upendo wote?

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, yupo kweli?

Au ni hadithi ya kutengenezwa na watu tu, isiyo na uhalisia?
 
Shida ipi?

Mbaraka Mwinshehe Kila kitu shida shida, shida haiishi mpaka siku ya mwisho.
Wewe huoni ulafi unaotengenezeka kwa jamii zisizo amini habari za Mungu unavotamalaki

Mtu anamiliki $100 million na bado anajiona masikini kila siku anatafuta

Wakat hata 1% ya pesa hiyo mtumishi wa kitanzania mwenye kuamini mungu anaweza akaacha kufanya kazi na kuimba haleluya mpaka anajifea kiroho safi_pasipo kuendelea kuinyonya jamii na kuipeleka puta
 
Kama aliweza kukugeuza wewe. Kutoka kwenye manii ya mzazi wako wa kiume. Yakaingia katika tumbo la Mama yako. Ukageuka ukawa kiumbe.
Kwanini ashindwe kuumba hivyo unavyodhani?
Hakushindwa Bali HAKUTAKA
 
Naweza kujenga hoja kwamba, katika jamii zilizoendelea na kuwa na viwanda, Marekani ina watu wenye kuamini Mungu wengi zaidi kama asilimia ya watu wote kuliko nchi za Ulaya ya kaskazini.

Hii link inatupa figures za 2017 zikionesha Marekani wasioamini dini ni 39%, wakati Finland ni 55%.

https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_countries_by_irreligion

Na uwiano wa kipato kati ya masikini na tajiri uko vizuri zaidi katika nchi za Scandinavia kuliko Marekani.

US 18.5 Finland 5.6
https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_countries_by_income_equality

Ukiangalia hizo nchi zilizo most committed, ni nchi zilizoendelea ambazo Imani ya mungu ni ndogo zaidi ya nchi zilizo least committed ambazo zina Imani kubwa ya mungu.

Nchi ambayo inaendesha sovereign wealth fund vizuri kabisa ni Norway, wanatumia vizuri sana hela za mafuta yao. Hii ni huko Scandinavia ambako hawaamini Mungu sana, wanaamini watu kutumia rasilimali vizuri.

Huko wanakoamini Mungu sana Venezuela kwa mfano, nchi imebarikiwa mafuta lakini inaelekea ku collapse sasa. Kwa nini? Kila mtu anayepata nafasi anajilia yeye na Rafiki zake, wengine hawahurumii. Mkizidiwa ni mtaomba Mungu?


http://www.inequalityindex.com/


Most committed

1 Denmark (Global Rank #1)
2 Germany (Global Rank #2)
3 Finland (Global Rank #3)
4 Austria (Global Rank #4)
5 Norway (Global Rank #5)
6 Belgium (Global Rank #6)
7 Sweden (Global Rank #7)
8 France (Global Rank #8)
9 Iceland (Global Rank #9)
10 Luxembourg (Global Rank #10)


Least committed

1 Nigeria (Global Rank #157)
2 Uzbekistan (Global Rank #156)
3 Haiti (Global Rank #155)
4 Chad (Global Rank #154)
5 Sierra Leone (Global Rank #153)
6 Bhutan (Global Rank #152)
7 Madagascar (Global Rank #151)
8 Lao People's Democratic Republic (Global Rank #150)
9 Singapore (Global Rank #149)
10 Bangladesh (Global Rank #148)


Halafu, ni bora nchi ikawa an inequality ya masikini wengi wenye kuwa na basic needs zote, na matajiri wachache wenye utajiri wa kufuru, kuliko nchi kuwa na equality ya wananchi wote wako sawa lakini wote wana umasikini wa kutupwa wanagawana umasikini sawasawa.
 
Kama aliweza kukugeuza wewe. Kutoka kwenye manii ya mzazi wako wa kiume. Yakaingia katika tumbo la Mama yako. Ukageuka ukawa kiumbe.
Kwanini ashindwe kuumba hivyo unavyodhani?
Hakushindwa Bali HAKUTAKA
Unaweza kuthibitisha yupo, achilia mbali kwamba alinigeuza unavyosema?
 
kwa hyo unataka mungu aje mwenyewe akwambie kwamba yeye ndo mungu?
Hujathibitisha, unahubiri.

Sijaomba mahubiri, nimetaka uthibitisho.

Hata mimi naweza kuhubiri kwamba Comrade Kipepe, yule kibonzo wa gazeti la Sani, ndiye Mungu aliyeumba mbingu na dunia, na kaumba alivyotaka yeye.

Utakubali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…