Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Unajua kwamba ukifuatisha mantiki ya kwamba kila kilicho complex kina muumba wake, mantiki hiyo itakupeleka kwenye hitimisho la kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote , upendo wote na muumba vyote hayupo?

Unaelewa kwamba hoja yakoinaonesha Mungu hayupo, haioneshi Mungu yupo?
Alaa!
Itabidi unipe tafsiri ya neno complex! Halafu unipe maana ya neno mantiki. limeanzia wapi. Na kabla ya mantiki nini kilikuwepo. Na kuwa mantiki ina tafsiri moja au Zaidi. Au ni nani mwenye kutoa tafsiri sahihi ya mantiki. Na je, kinyume chake sio sahihi? Na je, huwezi kutumia mantiki kujibu swali au hoja ya kimantiki? au kupambanua hoja kimantiki?
Na kama tunataka kuthibitisha Aidha Mwenyezi Mungu yupo au la kwa kuangalia chanzo Cha muda na mada, je, hatuoni udhaifu katika kutumia mantiki kwani hoja kinyume na mantiki pia ni mantiki? na hiyo inathibitisha kuwepo Mwenyezi Mungu??
 
Alaa!
Itabidi unipe tafsiri ya neno complex! Halafu unipe maana ya neno mantiki. limeanzia wapi. Na kabla ya mantiki nini kilikuwepo. Na kuwa mantiki ina tafsiri moja au Zaidi. Au ni nani mwenye kutoa tafsiri sahihi ya mantiki. Na je, kinyume chake sio sahihi? Na je, huwezi kutumia mantiki kujibu swali au hoja ya kimantiki? au kupambanua hoja kimantiki?
Na kama tunataka kuthibitisha Aidha Mwenyezi Mungu yupo au la kwa kuangalia chanzo Cha muda na mada, je, hatuoni udhaifu katika kutumia mantiki kwani hoja kinyume na mantiki pia ni mantiki? na hiyo inathibitisha kuwepo Mwenyezi Mungu??
Hoja kinyume na mantiki inakuwaje mantiki?

Kwa tafsiri gani ya "mantiki" ?
 
Jibu maswali hapo juu!
Maswali yako nataka niyajibu, kwa msingi wa mantiki.

Lakini inaonekana umeandikakitu kinacholeta utata kuhusuuelewa wako wa mantiki.

Hivyo,naomba unieleweshe unachoelewa na definition yako ya mantiki, ili niweze kukujibu vizurimaswali yako, kwa msingi wa mantiki.

Na kamatuna tofauti, tuzitatue kabla hatujazamasana kujibizana maswali,kwa msingi wa mantiki, wakatihata hatujakubaliana mantiki ni nini.

Umeandika:-

" je, hatuoni udhaifu katika kutumia mantiki kwani hoja kinyume na mantiki pia ni mantiki?"

Una maana gani kuandika "hoja kinyume na mantiki ni mantiki?"

Mantiki ni nini? Unaweza kutoa mfano wa hoja kinyume na mantiki ambayo ni mantiki?
 
belief doesn't count truthy or falsy it is just like that.. thats what make humans not perfect! you just can't defer it if you can't touch deep inside a person's heart!

your belief or whatever truthy it is you call doesn't have much impact on others since they have different ways of understanding, learning, accepting and make decisions which concerns their life (everybody has that!)

you just can't control that can you?

You talked about belief being the strongest thing humans can come across. At the very least that requires clarification.

But in my long standing tradition of immanent critique, even if I grant you that (belief is the strongest thing humans can come across), that fact is unimportant since it does not help us find truth. In fact it hinders us from finding truth.

If one has strong belief in the Bible or the Quran, one will dismiss, excuse or justify obvious and glaring contradictions in these books. One's belief is blinding one from the facts.

The strength of belief does not equal to the truth of belief ( the truth of what is believed to be true).

One may have a very strong belief, but a wrong one. That is, one may strongly believe something to be true, while it is not true.

To me, mere belief is unimportant. Because it is not necessarily truth.

I am more interested in truth than belief.

That is why religious connotations are unimportant to me, in so far as they are based on belief and not facts.

Factually, no one can prove God (omnipotent, omniscient, all benevolent)exists.

Because such a God does not exist.

The existence of such a God presents a logical contradiction at the conceptual level in a way that forbids such a God to be actualized.
 
belief doesn't count truthy or falsy it is just like that.. thats what make humans not perfect! you just can't defer it if you can't touch deep inside a person's heart!

your belief or whatever truthy it is you call doesn't have much impact on others since they have different ways of understanding, learning, accepting and make decisions which concerns their life (everybody has that!)

you just can't control that can you?
So if you believe your shit is God, the creator of the universe.

Does your shit become that God, the creator of the universe?
 
It is better to be a believer than being an atheist.

I haven't seen God but I believe He exists, and if He exists, then He is powerful, mighty and able.

I wonder about Hawking's assertions about nature, his beliefs were not helpful to him thus why he failed to explain even his own origin, and could not help him to resist death.

It is easy to believe that the world and all creatures were formed and created through the WORD of God than believing fake hypotheses that every life originate from matter.... I wonder how matter duplicated different kind of creatures.
 
It is better to be a believer than being an atheist.

I haven't seen God but I believe He exists, and if He exists, then He is powerful, mighty and able.

I wonder about Hawking's assertions about nature, his beliefs were not helpful to him thus why he failed to explain even his own origin, and could not help him to resist death.

It is easy to believe that the world and all creatures were formed and created through the WORD of God than believing fake hypotheses that every life originate from matter.... I wonder how matter duplicated different kind of creatures.
 
definitely yes it makes that god to me and you can't make me think otherwise rather than taking me for a fool all any other names you can baptize me with.!

Africans had not believed in God before intrusion from outside continent (same god you disagree of his existence).. "shit" might be one among things they believed but that still didn't still their right to believe.

So if you believe your shit is God, the creator of the universe.

Does your shit become that God, the creator of the universe?
 
It is better to be a believer than being an atheist.

You have not explained why. Even if you are right, you do not provide your rationale.

I haven't seen God but I believe He exists, and if He exists, then He is powerful, mighty and able.

What you believe is not as important as the truth. Does God exists ? It seems you are not even sure of this yourself, that is why you say "If He exists".

You are not sure God exists.

I wonder about Hawking's assertions about nature, his beliefs were not helpful to him thus why he failed to explain even his own origin, and could not help him to resist death.

Wwhat do you know about Hawking? Have you read even one of his books?

It is easy to believe that the world and all creatures were formed and created through the WORD of God than believing fake hypotheses that every life originate from matter.... I wonder how matter duplicated different kind of creatures.

You can believe whatever you want to believe, it is your constitutional right as long as you remain lawful.

But that does not make your belief based in the truth, do you understand that?

Do you understand that you can believe in things that are not actually true?

Do you understand that that makes belief unimportant, and that makes the pursuit of facts, more important?
 
definitely yes it makes that god to me and you can't make me think otherwise rather than taking me for a fool all any other names you can baptize me with.!

Africans had not believed in God before intrusion from outside continent (same god you disagree of his existence).. "shit" might be one among things they believed but that still didn't still their right to believe.
god or God?
 
Inawezekanaje upendo wa Mungu uwe limited bila huyo Mungu kuwa limited katika upendo?

Kinacho u limit upendo wa Mungu ni nini?

Na kama Mungu ana upendo ulio limited, huyo ni Mungu au mdoli tu unayemuita Mungu?

Kinachoulimit upendo wa Mungu ni jeuri ya mwanadamu!.
 
Maswali yako nataka niyajibu, kwa msingi wa mantiki.

Lakini inaonekana umeandikakitu kinacholeta utata kuhusuuelewa wako wa mantiki.

Hivyo,naomba unieleweshe unachoelewa na definition yako ya mantiki, ili niweze kukujibu vizurimaswali yako, kwa msingi wa mantiki.

Na kamatuna tofauti, tuzitatue kabla hatujazamasana kujibizana maswali,kwa msingi wa mantiki, wakatihata hatujakubaliana mantiki ni nini.

Umeandika:-

" je, hatuoni udhaifu katika kutumia mantiki kwani hoja kinyume na mantiki pia ni mantiki?"

Una maana gani kuandika "hoja kinyume na mantiki ni mantiki?"

Mantiki ni nini? Unaweza kutoa mfano wa hoja kinyume na mantiki ambayo ni mantiki?
Well, nachelea muda wangu haunipi fursa ya kuandika sana. Ila with time unanielewa.

sio mwanafalsa Mimi Ila nielewavyo ni kuwa "Mantiki" ni utaratibu mzuri wa kufikiri kwa kutoa hoja kwa ajili ya kutafuta ukweli Fulani. Kinyume Cha mantiki ni kutoa hoja mbadala kwa hoja iliyotangulia na kutoa vielelezo vyenye uhakika vitakavyobatilisha kiakili hoja ya mtoa hoja wa mwanzo.

Mfano 1: Yesu ni Mungu. Hii ni hoja kimantiki kama wasemavyo baadhi ya Ndugu zetu katika Imani. Hujenga hoja hii kwa kuona namna alivyozaliwa na kupewa baadhi ya uwezo kama kufufua wafu, kuponya wagonjwa, nk.
Mungu hawezi kuwa Yesu: Hii ni hoja mbadala inayobatilisha hoja ya mwanzo kwa vile, Yesu mwenyewe anasema; naenda kwa baba yangu ambaye ni baba yenu, naenda kwa mungu wangu ambaye ni mungu wenu. Lakini sifa ya Mungu mwenyezi ni kuwa hana sifa ya kula, kunya, kulala, maumbile na udhaifu (kukamatwa, kupigwa, kupakatwa nk.
Conclusion: Mungu Mwenyezi hawezi kuwa Yesu! (Jesus is god but God cannot be Jesus)! Logically proved.

Mfano 2: Nabii Ibrahim anayavunjavunja masanamu waliyokuwa wakiyaabudu baba zake wakati wenyewe hawapona kubakiza sanamu moja kubwa lao. Kisha akaweka shoka kwenye sanamu hilo.
Waliporudi na kuona masanamu (miungu yao imevunjwa) wakasemezana, bila shaka atakuwa Ibrahim maana amekuwa akiyapinga. Walivyomita na kumuuliza akasema; hapana! Labda muliulize hilo sanamu kubwa.
Mantiki: Wakasema, Tutaliulizaje sanamu wakati haliongei??
Counter Mantiki: Akasema; Kwanini mnaabudu sanamu ambalo haliongei badala ya kumuabudu Mola aliye juu na aliyehai na wala hafi???

Mfano 3: Stars zinazunguka kwenye centre (Galactic centers). Asili ya kupatikana kwa huu ulimwengu (Universe ni Big Explosion - BB) iliyotokana na singular particles. Galaxies zinapanuka kwa kasi ya ajabu na zinakimbiana zenyewe kwa zenyewe kwa mega speed.
Mantiki: 1: Hatumuoni Mungu katika Universe kwa sababu time na space vilianza baada ya BB.
Mantiki :2: Kusema kuna Mungu aliye cause BB kutokea ni meangless! Bali tumevumbua sisi kwa taaluma na intect yetu kwa kutumia vifaa tulivyovitengeneza sisi wenyewe kwa akili zetu.

Counter (logic): Mantiki:
1: Time ya universe baada ya BB ilianza baada ya BB: Time ya particles za fataki itahesabiwa baada ya kufyatua fataki. Lakini TIME YA MFYATUA FATAKI imekuwepo wakati wote pamoja na mtengeneza fataki hata kabla ya kufyatua hiyo fataki na particles kusambaa angani na kuendelea kujilipualipua. Kinyme na hapo tuseme fataki imejitengeneza yenyewe.
Hivyo hivyo TIME ya aliyeanzisha (cause) BB imekuwepo pamoja na Mtengeneza particles zilizosababisha singular object ku-explode na kutupatia diversity universes tuliyonayo hii leo.
Ushahidi tunaupata katika Qur'an sura ya 21 aya ya 30 na kuhusu kupanuka kwa ulimwengu (expansion) tunapata katika sura ya 51 aya ya 47.

2. Kusema kuwa kukiri kuwa kuna Mungu aliye-cause BB ni MEANINGLESS! Mantiki inakataa. Bali kusema ni meaningless inamvua mtu moja kwa moja kuwa INTELLECTUAL. Is more than FOOLISH!

Bali kusema kuwa lazima kutokea kwa BB na mpangalio wake ikiwemo expansion kuna intellectual being behind it and to find who is He is very MEANINGFUL ! Hiyo itakuwa poa Kimantiki! Au vipi washikaji???.

OTHERWISE SISI NA HAO WANASAYANSI TUTAKUWA TUNAONGOZWA NA SELF EGO!
 
'People fear what they don't understand and hate what they can't conquer.' - Andrew Smith
 
Well, nachelea muda wangu haunipi fursa ya kuandika sana. Ila with time unanielewa.

sio mwanafalsa Mimi Ila nielewavyo ni kuwa "Mantiki" ni utaratibu mzuri wa kufikiri kwa kutoa hoja kwa ajili ya kutafuta ukweli Fulani. Kinyume Cha mantiki ni kutoa hoja mbadala kwa hoja iliyotangulia na kutoa vielelezo vyenye uhakika vitakavyobatilisha kiakili hoja ya mtoa hoja wa mwanzo.

Mfano 1: Yesu ni Mungu. Hii ni hoja kimantiki kama wasemavyo baadhi ya Ndugu zetu katika Imani. Hujenga hoja hii kwa kuona namna alivyozaliwa na kupewa baadhi ya uwezo kama kufufua wafu, kuponya wagonjwa, nk.
Mungu hawezi kuwa Yesu: Hii ni hoja mbadala inayobatilisha hoja ya mwanzo kwa vile, Yesu mwenyewe anasema; naenda kwa baba yangu ambaye ni baba yenu, naenda kwa mungu wangu ambaye ni mungu wenu. Lakini sifa ya Mungu mwenyezi ni kuwa hana sifa ya kula, kunya, kulala, maumbile na udhaifu (kukamatwa, kupigwa, kupakatwa nk.
Conclusion: Mungu Mwenyezi hawezi kuwa Yesu! (Jesus is god but God cannot be Jesus)! Logically proved.

Mfano 2: Nabii Ibrahim anayavunjavunja masanamu waliyokuwa wakiyaabudu baba zake wakati wenyewe hawapona kubakiza sanamu moja kubwa lao. Kisha akaweka shoka kwenye sanamu hilo.
Waliporudi na kuona masanamu (miungu yao imevunjwa) wakasemezana, bila shaka atakuwa Ibrahim maana amekuwa akiyapinga. Walivyomita na kumuuliza akasema; hapana! Labda muliulize hilo sanamu kubwa.
Mantiki: Wakasema, Tutaliulizaje sanamu wakati haliongei??
Counter Mantiki: Akasema; Kwanini mnaabudu sanamu ambalo haliongei badala ya kumuabudu Mola aliye juu na aliyehai na wala hafi???

Mfano 3: Stars zinazunguka kwenye centre (Galactic centers). Asili ya kupatikana kwa huu ulimwengu (Universe ni Big Explosion - BB) iliyotokana na singular particles. Galaxies zinapanuka kwa kasi ya ajabu na zinakimbiana zenyewe kwa zenyewe kwa mega speed.
Mantiki: 1: Hatumuoni Mungu katika Universe kwa sababu time na space vilianza baada ya BB.
Mantiki :2: Kusema kuna Mungu aliye cause BB kutokea ni meangless! Bali tumevumbua sisi kwa taaluma na intect yetu kwa kutumia vifaa tulivyovitengeneza sisi wenyewe kwa akili zetu.

Counter (logic): Mantiki:
1: Time ya universe baada ya BB ilianza baada ya BB: Time ya particles za fataki itahesabiwa baada ya kufyatua fataki. Lakini TIME YA MFYATUA FATAKI imekuwepo wakati wote pamoja na mtengeneza fataki hata kabla ya kufyatua hiyo fataki na particles kusambaa angani na kuendelea kujilipualipua. Kinyme na hapo tuseme fataki imejitengeneza yenyewe.
Hivyo hivyo TIME ya aliyeanzisha (cause) BB imekuwepo pamoja na Mtengeneza particles zilizosababisha singular object ku-explode na kutupatia diversity universes tuliyonayo hii leo.
Ushahidi tunaupata katika Qur'an sura ya 21 aya ya 30 na kuhusu kupanuka kwa ulimwengu (expansion) tunapata katika sura ya 51 aya ya 47.

2. Kusema kuwa kukiri kuwa kuna Mungu aliye-cause BB ni MEANINGLESS! Mantiki inakataa. Bali kusema ni meaningless inamvua mtu moja kwa moja kuwa INTELLECTUAL. Is more than FOOLISH!

Bali kusema kuwa lazima kutokea kwa BB na mpangalio wake ikiwemo expansion kuna intellectual being behind it and to find who is He is very MEANINGFUL ! Hiyo itakuwa poa Kimantiki! Au vipi washikaji???.

OTHERWISE SISI NA HAO WANASAYANSI TUTAKUWA TUNAONGOZWA NA SELF EGO!
Kubatilisha hoja si kinyume cha mantiki.

Unaweza kubatilisha hoja kwa mantiki.

Unaelewa hili?
 
The idea of an omnipotent, omniscient and all benevolent God is so easily contradicted by the problem of evil.

It is funny to see the ignorance and cognitive dissonance spewed in defending a nonexistent God.
What is evil and how does it contradict God's existence?
 
The one you claim doesn't exist.
I started by talking about the idea of the omnipotent, omniscient and all benevolent God.

Prominent examples are the Gods of the Quran and Bible.

From that perspective, evil is the sin he will punish evildoers for. As narrated in the Quran and Bible.

If there was no evil, there is no ground for punishing sinners and evildoers.

If that God punishes evildoers/sinners, for thw wvil thwy havw done, then, from that narrative, evil must exist.

But that proposition begs the question.

Why would an all knowing, all loving and all capable God create a universe in which evil is possible, when he could have simply created a universe in which evil is unknown and not even possible?

This question presents an unsolved contradiction.
 
Back
Top Bottom