Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

"Blurst" ni kitu gani?

Kama hujui hata spelling kwa nini nikuchukulie seriously kwenye mijadala ya mambo yaliyokuzisi kimo?
Blast I meant........hata ukifikiri kuwa haya mambo yamenizidi kimo haibadilishi swali kuwa what caused the blast????????
 
"Blurst" ni kitu gani?

Kama hujui hata spelling kwa nini nikuchukulie seriously kwenye mijadala ya mambo yaliyokuzisi kimo?
Or what brought time and space?how did it bring time and space PROVE,with a water tight evidence
 
Or what brought time and space?how did it bring time and space PROVE,with a water tight evidence
Your questions are based on a fallacious assumption that "cause and effect" is fundamental.

Cause and effect are temporal concepts, valid only when time exists.

Before time exists, cause and effect is invalid.

Because there is no time for cause and effect to be valid in.
 
If there is no time for cause and effect to be valid in what is there to be valid in?
Your questions are based on a fallacious assumption that "cause and effect" is fundamental.

Cause and effect are temporal concepts, valid only when time exists.

Before time exists, cause and effect is invalid.

Because there is no time for cause and effect to be valid in.
 
If there is no time for cause and effect to be valid in what is there to be valid in?
What is there to be valid?

You will have to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics to even explore that side.

Do you even know what is Relativity and Quantum Physics?
 
What is there to be valid?

You will have to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Physics to even explore that side.

Do you even know what is Relativity and Quantum Physics?
Embu tell me what caused the big bang ?tuanzie hapa
 
Nimekwambia hujui kusoma kwa ufahamu.

You can't read with comprehension.
Sema what caused big bang???tuanzie hapa very simple kama hujui sema sijui kila SAA eti sina ability ya kuelewa prove it
 
This is funny [emoji1]
Yani unaona kabisa ukomo wa mawazo ya watu yalipoishia.

Unampa mtu ana extremely interesting line of inquiry, kwa ku crash the entirety of the fundaments of "cause and effect".

Kwangu mimi, that is the most interesting piece.

Halafu mtu anakuwa hawezi ku transcend thinking ya "cause and effect".

Anakurudisha kwenye kuuliza maswali ya "cause and effect", badala ya kukuuliza kwa nini "cause and effect" ikose maana.

Unaona kabisa huyu hapa yupo kwenye bubble thinking ambayo kui penetrate ni vigumu sana.

Unaishia tu kumwambia "you cannot read with comprehension".

Kwa sababu hata maswali mazuri ya kuuliza hajui.

Lakini kumlaumu ni vigumu.

Kutafsiri hesabu za Sir Roger Penrose na Stephen Hawking kwenda kwenye lugha isiyotumia hesabu si kitu kidogo.

Ni kama uanze kumuhadithia samaki ambaye ameishi majini miaka yite, umwambie kwamba kuna sehemu kuna jangwa huko halina hata maji.

Ukakuta samaki kashayazoea sana maji, hata maji hayajui, anakuuliza "maji ni nini?".
 
Yani unaona kabisa ukomo wa mawazo ya watu yalipoishia.

Unampa mtu ana extremely interesting line of inquiry, kwa ku crash the entirety of the fundaments of "cause and effect".

Kwangu mimi, that is the most interesting piece.

Halafu mtu anakuwa hawezi ku transcend thinking ya "cause and effect".

Anakurudisha kwenye kuuliza maswali ya "cause and effect", badala ya kukuuliza kwa nini "cause and effect" ikose maana.

Unaona kabisa huyu hapa yupo kwenye bubble thinking ambayo kui penetrate ni vigumu sana.

Unaishia tu kumwambia "you cannot read with comprehension".

Kwa sababu hata maswali mazuri ya kuuliza hajui.

Lakini kumlaumu ni vigumu.

Kutafsiri hesabu za Sir Roger Penrose na Stephen Hawking kwenda kwenye lugha isiyotumia hesabu si kitu kidogo.

Ni kama uanze kumuhadithia samaki ambaye ameishi majini miaka yite, umwambie kwamba kuna sehemu kuna jangwa huko halina hata maji.

Ukakuta samaki kashayazoea sana maji, hata maji hayajui, anakuuliza "maji ni nini?".

Ila una moyo aisee!

Si wengine hatukawii kuchoka na kumwacha mtu aendelee na anachoakiamini.
 
Sema what caused big bang???tuanzie hapa very simple kama hujui sema sijui kila SAA eti sina ability ya kuelewa prove it
Nimekwambia cause and effect are not necessary when there is no time. They are a product of time.

Unaniuliza "what caused the big bang"?

Unaelewa nilichokuambia maana yake nini?

Umeambiwa katika hesabu za base ten, haitakiwi kugawanya kwa sifuri.

Ukifanya hesabu ya kugawanya kwa sifuri utapata majibu yasiyo na maana.

Halafu unauliza, mia moja nikigawanya kwa sifuri nitapata jibu gani?

Hapo ndipo nakuona akili zako fupi na huwezi kunielewa.
 
Yani unaona kabisa ukomo wa mawazo ya watu yalipoishia.

Unampa mtu ana extremely interesting line of inquiry, kwa ku crash the entirety of the fundaments of "cause and effect".

Kwangu mimi, that is the most interesting piece.

Halafu mtu anakuwa hawezi ku transcend thinking ya "cause and effect".

Anakurudisha kwenye kuuliza maswali ya "cause and effect", badala ya kukuuliza kwa nini "cause and effect" ikose maana.

Unaona kabisa huyu hapa yupo kwenye bubble thinking ambayo kui penetrate ni vigumu sana.

Unaishia tu kumwambia "you cannot read with comprehension".

Kwa sababu hata maswali mazuri ya kuuliza hajui.

Lakini kumlaumu ni vigumu.

Kutafsiri hesabu za Sir Roger Penrose na Stephen Hawking kwenda kwenye lugha isiyotumia hesabu si kitu kidogo.

Ni kama uanze kumuhadithia samaki ambaye ameishi majini miaka yite, umwambie kwamba kuna sehemu kuna jangwa huko halina hata maji.

Ukakuta samaki kashayazoea sana maji, hata maji hayajui, anakuuliza "maji ni nini?".
Don't estimate my thinking and don't try to recommend what type of questions I should ask,WHAT CAUSED THE BIG BANG ??
 
Ila una moyo aisee!

Si wengine hatukawii kuchoka na kumwacha mtu aendelee na anachoakiamini.
Mimi nawaacha, wao ndio hawaniachi mimi.

Halafu, in the process, if some kid anaweza ku pick up what "immanent critique" means, that will be very gratifying to me.

Nabishana na watu ambao hata spelling zinawapa shida hapa.

Basically semi literate cats.

Halafu wanataka kubishana mambo ya uwepo wa mungu.

Ukiwatajia Aquinas na Anselm wataweza kukuuliza "hivyo ni vidonge vipya vya Malaria?".

Inabidi kuwa na moyo.
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Don't estimate my thinking and don't try to recommend what type of questions I should ask,WHAT CAUSED THE BIG BANG ??
Swali lako unajiharishia ujinga tu.

Nimekwambia katika hesabu hakuna kugawanya kwa sifuri, ukigawanya kwa sifuri utapata jibu lisilo na maana.

Halafu, unaniuliza, mia moja gawanya kwa sifuri ni ngapi?

Unajionesha usivyoweza kusoma kwa ufahamu tu.
 
Swali lako unajiharishia ujinga tu.

Nimekwambia katika hesabu hakuna kugawanya kwa sifuri, ukigawanya kwa sifuri utapata jibu lisilo na maana.

Halafu, unaniuliza, mia moja gawanya kwa sifuri ni ngapi?

Unajionesha usivyoweza kusoma kwa ufahamu tu.
Sema tu from nothing ,na kuwa time and space was born.swali ni HOW DID THAT HAPPEN.....
Pili hulka Ya popping up ya subatomic Sawa ni valid ,OK je WHAT CAUSE THEM TO POP AND VANISH?????

POP from where???
VANISH to where???



Nipe majibu siyo blah blah za google hata vitabu library vya Hubble na wengine ni chungu mzima jibu tu hayo.
 
Sema tu from nothing ,na kuwa time and space was born.swali ni HOW DID THAT HAPPEN.....
Pili hulka Ya popping up ya subatomic Sawa ni valid ,OK je WHAT CAUSE THEM TO POP AND VANISH?????

POP from where???
VANISH to where???



Nipe majibu siyo blah blah za google hata vitabu library vya Hubble na wengine ni chungu mzima jibu tu hayo.
Unanikataza nisikupangie cha kujibu, halafu unanipangia cha kujibu.

Una akili wewe?
 
Unanikataza nisikupangie cha kujibu, halafu unanipangia cha kujibu.

Una akili wewe?

...ukijibu unachoamini kina faida wengine wakifahamu itakuwa ni huduma nzuri kwa wanajukwaa wengine wanaotaka kujifunza. Andika unachopenda
 
...ukijibu unachoamini kina faida wengine wakifahamu itakuwa ni huduma nzuri kwa wanajukwaa wengine wanaotaka kujifunza. Andika unachopenda
Mara ngapi?
 
Back
Top Bottom