Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Kabla sijathibitisha...wewe pia pamoja na steven Hawking:

"Hamjaithibitishia dunia kuwa Bing Bang theory ndiyo ilikuwa chanzo cha dunia"
Unalazimisha tu.

Hujathibitisha.

Thibitisha.
 
Kabla sijathibitisha...wewe pia pamoja na steven Hawking:

"Hamjaithibitishia dunia kuwa Bing Bang theory ndiyo ilikuwa chanzo cha dunia"
Nani kasema "Big Bang theory ndiyo chanzo cha dunia"?

Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
Bing bang theory ni nadharia inayoelezea jinsi gani dunia imetokea.

Nimesema ni kwa vipi wewe na Hawking mnaweza kuthibitisha kuwa hiyo nadharia ina ukweli ndani yake zaidi ya Creation theory?
Nani kasema "Big Bang theory ndiyo chanzo cha dunia"?

Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
Bing bang theory ni nadharia inayoelezea jinsi gani dunia imetokea.

Nimesema ni kwa vipi wewe na Hawking mnaweza kuthibitisha kuwa hiyo nadharia ina ukweli ndani yake zaidi ya Creation theory?
"Big bang theory ni nadharia inayoelezea jinsi gani dunia imetokea?".

Una hakika unaelewa ulichoandika, wewe mwenyewe?
 
Yani MTU anakupima ujinga wako na unajaa,dunia nzima 0/0=0......

I just wanted to see how smart you are kumbe hewa

Any number divide by itself is one,is 0 a number or not,if yes then 0/0=1,since in proving 1 multiply 0=0,........

Jibu maswali yangu?????
 
Katika ordinary arithmetic, division by zero imekatazwa.

Kama hujaelewa hilo, siwezi kushangaa unaamini ujinga mwingine wowote.

Hata kusoma hujui.

Hujasoma ulichonukuu.

Ungesoma ungeona 0/0 is undefined.

Not 0, not 1.
 
Katika arithmetic, division by zero imekatazwa.

Kama hujaelewa hilo, siwezi kushangaa unaamini ujinga mwingine wowote.

Hata kusoma hujui.

Hujasoma ulichonukuu.

Ungesoma ungeona 0/0 is undefined.
Imekatazwa na nani??

Umejuaje huu ni ujinga na si maarfa ya dimension tofauti??

Subatomic elements zina pop up na kuvanish,can you explain to me HOW AND WHY THEY DO SUCH A MECHANISM???

jibu swali kwanza .......
 
Imekatazwa na nani??

Umejuaje huu ni ujinga na si maarfa ya dimension tofauti??

Subatomic elements zina pop up na kuvanish,can you explain to me HOW AND WHY THEY DO SUCH A MECHANISM???

jibu swali kwanza .......
Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
● Hahaha...tatizo lako Kiranga ni kuwa :-


1) Hutaki ionekane kuwa umeshindwa hoja, hata kama kweli umeshindwa au umeshindwa kuleta facts.

2) Kuna maswali ukiulizwa Unapanic haswaaa badala ya kuargue critically and in a polite way to reach a conclussion.

◆ Unakuwa mkali kwa baadhi ya logical questions unazoulizwa na hilo limedhihirika kwenye replies zako kwa some members hapo juu.

◆Ndio maana kuna mmoja amesema it could be better to argue with Hawking himself than you who quoted him....because you complicate things.


That's all broh....!


...×........×........×........×........×........×....

"Big bang theory ni nadharia inayoelezea jinsi gani dunia imetokea?".

Una hakika unaelewa ulichoandika, wewe mwenyewe?
 
Hjyo post yangu uliyoinukuu umeielewa?

Ukifanya jitihada kuielewa inaweza kukusaidia sana kufocus.
 
Ukiwa hujui kusoma kwa ufahamu, hata "therefore" utaijuaje?
Nilikuambia don't estimate my thinking kwa njia zako za panya,hujajibu hata swali moja unaruka ruka tu.......


HOW DO THEY POP UP AND VANISH AND WHY DO THEY DO SO ???


nataka jibu ............
 
Nilikuambia don't estimate my thinking kwa njia zako za panya,hujajibu hata swali moja unaruka ruka tu.......


HOW DO THEY POP UP AND VANISH AND WHY DO THEY DO SO ???


nataka jibu ............
Jibu unataka mara ngapi?

Nikikujibu tena, unajua kusoma ukalielewa?

Nimekuandikia habari za ku reconcile Einstein's Relativity na Quantum Pbysics.

Uliziona? Ulizisoma? Ulizielewa? Ulizijibu?

Sijaona popote ulipojibu post ile.

Unaniambia nikujibu maswali ambayo nishakujibu na wewe mwenyewe ndiye hujaelewa majibu?
 
Hahaha...so hilarious!!!

He is tough aicee,
Hilarious ni nyie na contradictions zenu na hesabu za division by zero.

Na wewe una endorse division by zero ya hapo juu ya 0/0 =1?
 
Hakuna sehemu iliyo state how they pop up and disappear,hence bringing the question back how and why????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…