Nani alie tangulia kumuuliza mwenzake?Katika hizi mada mara zote nyie mmekuwa mkiuliza maswali tu na kutaka kujibiwa ila nyie hamuulizwi maswali,hali hii inawafanya hata nyie mshindwe kujua udhaifu wa msimamo mlionao.
Kwani hapa tupo ili kuulizana maswali au kujadiliana? Kama hapa tupo ili kuulizana maswali basi wewe hujaniuliza mie swali bali umekurupuka tu kuja kuniambia nijibu swali niache longo longo.Nani alie tangulia kumuuliza mwenzake?
Unaelewa kwamba kujua mtiririko wa swali na jibu unahitaji kutumia mantiki?Kwani hapa tupo ili kuulizana maswali au kujadiliana? Kama hapa tupo ili kuulizana maswali basi wewe hujaniuliza mie swali bali umekurupuka tu kuja kuniambia nijibu swali niache longo longo.
Umepataje jibu la kuwa hakuna Mungu kutoka kwenye hiyo unayoita contradiction?Unaelewa kwamba kujua mtiririko wa swali na jibu unahitaji kutumia mantiki?
Unaweza kujadiliana bila kuuliza swali?Kwani hapa tupo ili kuulizana maswali au kujadiliana? Kama hapa tupo ili kuulizana maswali basi wewe hujaniuliza mie swali bali umekurupuka tu kuja kuniambia nijibu swali niache longo longo.
Hamuwezi kujadiliana bila kuulizana maswali ila sio mmoja tu ndio anauliza maswali.Unaweza kujadiliana bila kuuliza swali?
Ndiyo maana nikamtaka aanzishe Uzi kamili ili maswali yote ayajibu yeye. Mantiki ni kuwa na uwezo binafsi wa kujenga hoja na sio kumezeshwa kwa kuchukua kwenye internet na kusoma vijijarida vya akina hawking wanaotafuta mtengeneza kiberiti ndani ya kasha la kiberiti.Umepataje jibu la kuwa hakuna Mungu kutoka kwenye hiyo unayoita contradiction?
Ugonjwa wa akili ulionao utakupeleka pabaya at the end, uwezo wa Mungu na existence yake havihusiano na magonjwa ya wanadamu yaliyosabishwa na dhambi ,maswali Yangu ya awali umekwama kuyajibu nilikuuliza,unadhani kwanini US dollar imeandikwa "IN GOD WE TRUST" na isiandikwe in nature we trust? Kushindwa kujua hilo ni ushahidi tosha kuwa unaumwa ugonjwa wa akili kabisa...Ikiwa ulichoandika hapa ni kweli, na mimi kweli nina ugonjwa wa akili, huo pia utakuwa ni ushahidi zaidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao viumbe wake wangeweza kuumwa ugonjwa wowote.
Habari zako za kunipa mimi ugonjwa, zinaongeza ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Hazioneshi kwamba Mungu huyo yupo.
Unaelewa hilo?
Pia,
Unaelewa kwamba watu wenye utaalamu wa kuagua ugonjwa wa "Schizophrenia Paranoid" maadili yao ya kazi yanawakataza kuagua watu mitandaoni na kuwasema mitandaoni, na hivyo, wewe hata hujakaribia utaalamu unaotakiwa kujua kuagua ugonjwa huu na maadili ya kazi za watu wenye mafunzo na uwezo wa kuagua ugonjwa huu?
UmeandikaMungu ambaye tunaambiwa ana upendo wote ujuzi wote na uwezo wote,ambaye wewe unapinga madai yanayosema kwamba Mungu huyu kaumba huu ulimwengu,unasema kwamba inakuwa contradiction.
Sawa haviwezi kusawa vyote kwa pamoja,hoja yangu hilo jibu la kuwa hakuna Mungu umelipata vp?
Kwanini isiwe kuwa sifa ya upendo ambayo tunaambiwa anayo Mungu si kweli na ndiyo maana imetokea hiyo contradiction au kwamba Mungu huyo hajaumba huu ulimwengu ndio maana kuna contradictions.
Thibitisha Mungu wako yupo we nyungunyungu usiye na ubongo wala uti wa mgongo.Ugonjwa wa akili ulionao utakupeleka pabaya at the end, uwezo wa Mungu na existence yake havihusiano na magonjwa ya wanadamu yaliyosabishwa na dhambi ,maswali Yangu ya awali umekwama kuyajibu nilikuuliza,unadhani kwanini US dollar imeandikwa "IN GOD WE TRUST" na isiandikwe in nature we trust? Kushindwa kujua hilo ni ushahidi tosha kuwa unaumwa ugonjwa wa akili kabisa...
Tuambie ni Mungu yupi US wamemwandika? Tuanzie hapo kwanza...
Mbona sio muelewa? Nimekuuliza hivi umepataje jibu la kuwa hukuna Mungu kwenye hiyo contradiction? Kwanini isiwe(kwa mfano)kwamba kuna contradiction kwa sababu sifa ya upendo tunayoambiwa kuwa anayo Mungu si kweli na ndiyo maana kuna contradiction? Au labda Mungu hajaumba huu ulimwengu ndio maana kuna contradiction?Umeandika
Kwa hiyo, unakubali kwamba sifa ya upendo ambayo tunaambiwa Mungu anayo si kweli, halafu hapo hapo unampinga mtu anayesema Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo?
Unakubali kwamba wa pembetatu duara haipo, halafu unampinga mtu anayesema kwamba pembetatu duara ni dhana ya kufikirika tu, haipo katika uhalisia?
Nimekuuliza "Mungu gani" hapo juu.Mbona sio muelewa? Nimekuuliza hivi umepataje jibu la kuwa hukuna Mungu kwenye hiyo contradiction? Kwanini isiwe(kwa mfano)kwamba kuna contradiction kwa sababu sifa ya upendo tunayoambiwa kuwa anayo Mungu si kweli na ndiyo maana kuna contradiction? Au labda Mungu hajaumba huu ulimwengu ndio maana kuna contradiction?
Kwa sababu hoja yako ya contradiction hapa ipo kwenye Mungu kuumba huu ulimwengu na si vingine,kama Mungu asingehusishwa na huu ulimwengu basi usingekuwa na hoja ya contradiction.
Sasa wewe hilo jibu la kwamba hakuna kabisa huyo Mungu umelipata vp? Maana contradiction ya kuhusu Mungu kuumba huu ulimwengu umeshaonesha.
Ulishauliza swali kama hilo nikajibu ni Mungu tunayeambiwa ana upendo wote ujuzi wote na uwezo wote.Nimekuuliza "Mungu gani" hapo juu.
Hujajibu.
Kwa nini?
Sasa ushakubali kwamba upendo wote, uwezo wote, na ujuzi wote haviwezi kuwepo vyote kwa pamoja Mungu huyu, ambaye ameruhusu ulimwengu wenye kuwezekana kuwa na maovu kuwepo?Ulishauliza swali kama hilo nikajibu ni Mungu tunayeambiwa ana upendo wote ujuzi wote na uwezo wote.
Whoever reads your reply shall agree with me that apart from having a dangerous brain disease known as Schizophrenia Paranoid that has devoured your entire mindset,you also have inferiority complex in which you toil to compel the public appreciate your feebleness, that's why you fiddle around the platform day and night trying to publicize your faded idiotism though.Thibitisha Mungu wako yupo we nyungunyungu usiye na ubongo wala uti wa mgongo.
Imbecile.Idiot.
Cretin.Retard.
Tulia unielewa nachozungumza.Sasa ushakubali kwamba upendo wote, uwezo wote, na ujuzi wote haviwezi kuwepo vyote kwa pamoja Mungu huyu, ambaye ameruhusu ulimwengu wenye kuwezekana kuwa na maovu kuwepo?
Which, if true, shows us further evidence that God does not exist.Whoever reads your reply shall agree with me that apart from having a dangerous brain disease known as Schizophrenia Paranoid that has devoured your entire mindset,you also have inferiority complex in which you toil to compel the public appreciate your feebleness, that's why you fiddle around the platform day and night trying to publicize your faded idiotism though.
Stick to my questions and answer them accordingly and not to hurl abusive words at me.
Nikubali vipi_Kwani yeye Nanasi..!?Na unakubali Mungu ni complex?