Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Which, if true, shows us further evidence that God does not exist.

If you dispute that, prove God exists.
To prove about his existence you should just spend time pondering deep over all creatures which you see on the surface of the earth, those are creatures including you which the atheists claim were merely made up after a big bang blasted the universe (according to an idiot Hawking whose mind traveled in the hallucinations).
You believe in Physics and chemistry books which were written by mankind and abide their formulas therein but you deny the Bible, God isn't a mankind in flesh,but a Spirit in spiritual, so you can't see him physically, Hawking never saw what he believed in,and you're his disciple,if you believe in something that you haven't seen, therefore you should believe in all things you've never seen like the existence of God.


Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Tulia unielewa nachozungumza.

Nasema hivi kuwa hoja yako ya contradiction ipo kwenye suala la huyu Mungu kuumba huu ulimwengu,suala ndio unasema haliwezekani ni contradiction.

Hiyo ni atua ya kwanza kuonesha contradiction kwamba hilo jambo haliwezekani maana yake kuna jambo si la kweli halipo sawa,sasa hatua ya pili wewe ndio unakuja na hoja ya kwamba hakuna Mungu kwa sababu ya hiyo contradiction.

Ndiyo mimi nikakuuliza umewezaje kujua kuwa hakuna Mungu? Maana contradiction ipo kwenye Mungu(mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote) kuumba huu ulimwengu,kwanini isiwe (kwa mfano) kwamba huu ulimwengu haujaumbwa na huyo Mungu na ndiyo maana kusema kuwa huyu Mungu ndio kaumba huu ulimwengu inaleta contradiction? Au labda hiyo sifa ya upendo si kweli na ndiyo maana inaleta contradiction? Hiyo ni mifano,maana hatujui kipi ndio sio sahihi.

Hivyo mie sijasema Mungu hana sifa ya upendo ila wewe ndio umekuja kusema hakuna Mungu bila hata kuelewa ni kwa vp?
Mungu yupi?

Unakubali kwamba upendo wote una contradiction, na hivyo hauwezekani kuwepo kwa Mungu.

Halafu ukiambiwa hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, unakataa.

Una akili wewe?

Ni kama unakubali rais Magufuli wa Tanzania si mwanamke.

Halafu ukiambiwa rais Magufuli wa Tanzania hawezi kuwa mkemia mwanamke unabisha.

Ridiculous unreason.
 
To prove about his existence you should just spend time pondering deep over all creatures which you see on the surface of the earth, those are creatures including you which the atheists claim were merely made up after a big bang blasted the universe (according to an idiot Hawking whose mind traveled in the hallucinations).
You believe in Physics and chemistry books which were written by mankind and abide their formulas therein but you deny the Bible, God isn't a mankind in flesh,but a Spirit in spiritual, so you can't see him physically, Hawking never saw what he believed in,and you're his disciple,if you believe in something that you haven't seen, therefore you should believe in all things you've never seen like the existence of God.


Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app

Prove God exists.

You haven't.
 
aah kumbe bwana kiranga anatumia references za vitabu kuleta mjadala kuwa Mungu hayupo....sasa kama ni references tu za vitabu basi na sisi tunaweza kutumia Biblia na Kuran kule uthibitisho kuwa Mungu yupo sasa sijui je ataweza amini hivyo vitabu?

maana yeye anataka tuamini kupitia vitabu alivyosoma tusiamini uwepo wa Mungu

kwa namna hii hawezi pata jibu kamwe....sababu anakuwa kama anashawishiwa na maandiko ya wanasayansi kuwa Mungu hayupo na si kwa matakwa yake....!
Cha ajabu ukitumia hivyo vielelezo anavikataa, halafu yeye akitumia vielelezo vyake, anatulazimisha kuvikubali. Yaani, anamwona Stephen Hawking kama Mungu wake. Eti mtu aliyezaliwa Januari 8, 1942 na kufariki Machi 14, 2018 ndiye authority wake wa kupinga uwepo wa Mungu. Sijui kama baadaye angebadili mawazo na kusema Mungu yupo angebadili na yeye? Kuna wakati nilimwuliza hivi: Big Bang ilisababishwa na nini na kabla yake kulikuwa na nini? Afu akaingia mitini.
 
Cha ajabu ukitumia hivyo vielelezo anavikataa, halafu yeye akitumia vielelezo vyake, anatulazimisha kuvikubali. Yaani, anamwona Stephen Hawking kama Mungu wake. Eti mtu aliyezaliwa Januari 8, 1942 na kufariki Machi 14, 2018 ndiye authority wake wa kupinga uwepo wa Mungu. Sijui kama baadaye angebadili mawazo na kusema Mungu yupo angebadili na yeye? Kuna wakati nilimwuliza hivi: Big Bang ilisababishwa na nini na kabla yake kulikuwa na nini? Afu akaingia mitini.
Wapi nimesema Stephen Hawk8ng Mungu?

Sijasema kwamba hoja ya kutokuwepo Mungu haimuhitaji Stephen Hawking hapa?

Nikaivunja hoja ya kuwepo Mungu kwa "the problem of evil", hoja iliyokuwapo miaka yote kabla ya Stephen Hawkung kuzaliwa?

Unaweza kunipa nukuu ya mimi nilipoandika Stephen Hawking Mungu?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Unaelewa umefanya kosa la logical non sequitur linaloonesha hutumii ubongo kufikiri?

Kwani vyote vikivyo complex ni nanasi?

Kumbe ubongo sio kitu pekee wanachotumia watu kufikiria..! Hili nalo somo jipya

Haya nieleze wapi nilipokosea

Maana hili la ucomplex wa mungu umelizua wewe..!

Mimi nilikubaliana na wewe kwenye ucomplex wa nanasi tu

kwamba ni kitu complex chenye matokeo sahili

Wapi nilipokuambia Muumba ni Mtu au kitu kiasi kwamba awe complex kama ulivyomfikiria wewe kumuhusu..!?
 
Kumbe ubongo sio kitu pekee wanachotumia watu kufikiria..! Hili nalo somo jipya

Haya nieleze wapi nilipokosea

Maana hili la ucomplex wa mungu umelizua wewe..!

Mimi nilikubaliana na wewe kwenye ucomplex wa nanasi tu

kwamba ni kitu complex chenye matokeo sahili

Wapi nilipokuambia Muumba ni Mtu au kitu kiasi kwamba awe complex kama ulivyomfikiria wewe kumuhusu..!?
Wewe ni complex au si complex?
 
Wewe ni complex au si complex?
Sasa mimi si kama nanasi tu niko complex ila nina matokeo sahili..!

Suala la ucomplex wa Mungu wewe umelitoa wapi.?

Kwani wewe unamjua Muumba..!? si ndio kwanza tunataabika kukusadikisha.!

Sasa nani alikuambia muumba yupo hivyo.?
 
Mungu yupi?

Unakubali kwamba upendo wote una contradiction, na hivyo hauwezekani kuwepo kwa Mungu.

Halafu ukiambiwa hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, unakataa.

Una akili wewe?

Ni kama unakubali rais Magufuli wa Tanzania si mwanamke.

Halafu ukiambiwa rais Magufuli wa Tanzania hawezi kuwa mkemia mwanamke unabisha.

Ridiculous unreason.
Kwanza wapi nilipokubali kuwa upendo wote una contradiction? Naomba uoneshe niliposema hivyo maana umekuwa ukirudia kusema hivyo japo nimejaribu kufanunua ila hauelewi.
 
Kwanza wapi nilipokubali kuwa upendo wote una contradiction? Naomba uoneshe niliposema hivyo maana umekuwa ukirudia kusema hivyo japo nimejaribu kufanunua ila hauelewi.
Post namba 1118 umeandika.

"Sawa haviwezi kusawa vyote kwa pamoja,hoja yangu hilo jibu la kuwa hakuna Mungu umelipata vp?

Kwanini isiwe kuwa sifa ya upendo ambayo tunaambiwa anayo Mungu si kweli na ndiyo maana imetokea hiyo contradiction au kwamba Mungu huyo hajaumba huu ulimwengu ndio maana kuna contradictions."

Umekubali kwamba uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote haviwezi kuwepo vyote kwa pamoja kwa huyu Mungu au hujakubali?

Mbona unajificha nyuma ya equivocations za ujanja ujanja wa kijinga jinga tu?
 
Post namba 1118 umeandika.

"Sawa haviwezi kusawa vyote kwa pamoja,hoja yangu hilo jibu la kuwa hakuna Mungu umelipata vp?

Kwanini isiwe kuwa sifa ya upendo ambayo tunaambiwa anayo Mungu si kweli na ndiyo maana imetokea hiyo contradiction au kwamba Mungu huyo hajaumba huu ulimwengu ndio maana kuna contradictions."

Umekubali kwamba uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote haviwezi kuwepo vyote kwa pamoja kwa huyu Mungu au hujakubali?

Mbona unajificha nyuma ya equivocations za ujanja ujanja wa kijinga jinga tu?
Kama hoja zimekushinda basi bora upotezee kuliko hichi unachokifanya,nimekuuliza kwanini isiwe Mungu hana upendo au hajaumba huu ulimwengu? Ajabu unaniambia nimekubali Upendo ujuzi na uwezo wa Mungu haviwezi kuwa pamoja!! Kwanini hausemi nimekubali kuwa Mungu hajaumba huu ulimwengu?
 
Kwaiyo swali langu umelishindwa kulijibu?
Wewe hukuniuliza mie swali unaweza kuniambia tulikuwa tunajadili nini mimi na wewe hadi ikatokea kuniuliza mie hilo swali?

Wewe ulikuwa unasema kuna maswali mengi na ndio ukatoa mfano wa hilo swali ila hukuwa ukiongea na mie,ndiyo mie nikakwambia hata mie najiuliza maswali mengi ndiyo nikatoa mfano wa swali la moja kuhusu wanaosema hakuna Mungu wamejuaje.
 
Wapi nimesema Stephen Hawk8ng Mungu?

Sijasema kwamba hoja ya kutokuwepo Mungu haimuhitaji Stephen Hawking hapa?

Nikaivunja hoja ya kuwepo Mungu kwa "the problem of evil", hoja iliyokuwapo miaka yote kabla ya Stephen Hawkung kuzaliwa?

Unaweza kunipa nukuu ya mimi nilipoandika Stephen Hawking Mungu?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

1. Sijasema umesema Stephen Hwaking ni Mungu. Nimesema unamwona kama Mungu wako.
2. Hujavunja hoja ya kuwepo kwa Mungu kwa 'the problem of evil' kwa sababu i) hujasema evil nini na ii) hujaonyesha kama evil ipo inakuwaje Mungu asiwepo au nani kakwambia kuwa evil akiwepo basi Mungu hayupo?
3. Mungu hahitaji kuthibitishwa kwa kutumia methodolojia inayotumiwa na sayansi kwa sababu Mungu siyo matter in space and time. He is beyond what science can ever do. Science is limited, but God is unlimited.
 
Wewe hukuniuliza mie swali unaweza kuniambia tulikuwa tunajadili nini mimi na wewe hadi ikatokea kuniuliza mie hilo swali?

Wewe ulikuwa unasema kuna maswali mengi na ndio ukatoa mfano wa hilo swali ila hukuwa ukiongea na mie,ndiyo mie nikakwambia hata mie najiuliza maswali mengi ndiyo nikatoa mfano wa swali la moja kuhusu wanaosema hakuna Mungu wamejuaje.
Kwaiyo baada ya kuliona swali kwanini usilitolee majibu kama kweli jibu unalijua?
 
kiranga ananishangaza sana et anasema Mungu hayupo na sababu moja wapo za kusema hivyo ni kwamba kama kweli Mungu angekuwepo tusingekuwa tunakufa,tunakunya,tunapatwa na umasikini,tunapatwa na majanga ya asili nk.....anaposema hivi namshaaga sana najiuliza hivi huyu haamini Mungu yupo au anapinga sifa za Mungu kuwa ni mwema?

sababu kama anaamini vifo,majanga ya asili,umasikini vinaletwa na Mungu sasa anasemaje Mungu hayupo na wakati haya anasema Mungu ndiye uyaleta?

huyu jamaa naona tu ni king'ang'anizi tu kukataa Mungu hayupo na watu tunamletea uthibitisho yeye anajibu mambo yasiyoeleweka....kuna siku nilimtag na kumthibitishia Mungu yupo na kuna maswali nilimuuliza hadi leo yuko kimya
 
kiranga ananishangaza sana et anasema Mungu hayupo na sababu moja wapo za kusema hivyo ni kwamba kama kweli Mungu angekuwepo tusingekuwa tunakufa,tunakunya,tunapatwa na umasikini,tunapatwa na majanga ya asili nk.....anaposema hivi namshaaga sana najiuliza hivi huyu haamini Mungu yupo au anapinga sifa za Mungu kuwa ni mwema?

sababu kama anaamini vifo,majanga ya asili,umasikini vinaletwa na Mungu sasa anasemaje Mungu hayupo na wakati haya anasema Mungu ndiye uyaleta?

huyu jamaa naona tu ni king'ang'anizi tu kukataa Mungu hayupo na watu tunamletea uthibitisho yeye anajibu mambo yasiyoeleweka....kuna siku nilimtag na kumthibitishia Mungu yupo na kuna maswali nilimuuliza hadi leo yuko kimya
Kama Mungu alitaka hivyo, yeye ni nani atake tofauti. Apende asipende atafanya kama Mungu alivyopanga: alizaliwa, akakua, siku moja ataugua au anaweza kuugua, atazeeka (kama ataishi miaka mingi) na atakufa. Yeye na Hawking wake hawezi kubadilisha mpango ambao Mungu ameweka kwa viumbe vyake. Yaani nikifikiria mambo ya big bang na evolution, napata uelewa mzuri wa uwepo wa Mungu. Eti big bang came from nothing? Nani kasema? From nothing you cannot get something - from nothing you get nothing and from something you get something.
 
1. Sijasema umesema Stephen Hwaking ni Mungu. Nimesema unamwona kama Mungu wako.
2. Hujavunja hoja ya kuwepo kwa Mungu kwa 'the problem of evil' kwa sababu i) hujasema evil nini na ii) hujaonyesha kama evil ipo inakuwaje Mungu asiwepo au nani kakwambia kuwa evil akiwepo basi Mungu hayupo?
3. Mungu hahitaji kuthibitishwa kwa kutumia methodolojia inayotumiwa na sayansi kwa sababu Mungu siyo material in space and time. He is beyond what science can ever do. Science is limited, but God is unlimited.

1. Sijasema umesema Stephen Hwaking ni Mungu. Nimesema unamwona kama Mungu wako.
2. Hujavunja hoja ya kuwepo kwa Mungu kwa 'the problem of evil' kwa sababu i) hujasema evil nini na ii) hujaonyesha kama evil ipo inakuwaje Mungu asiwepo au nani kakwambia kuwa evil akiwepo basi Mungu hayupo?
3. Mungu hahitaji kuthibitishwa kwa kutumia methodolojia inayotumiwa na sayansi kwa sababu Mungu siyo material in space and time. He is beyond what science can ever do. Science is limited, but God is unlimited.

1. Hujaonesha ni vipi mtu asiyekubali dhana nzima ya kuwepo Mungu anamuona Stephen Hawking ni Mungu.

Mimi sikubali hata unayemuita Mungu yupo, nitamuinaje Stephen Hawking Mungu?

Unaweza kunukuu maneno yangu yanayokufanya useme namuona Stephen Hawking Mungu tuyachambue?

Au ni utoko wa ubongoni mwako na tongotongo za kiakili tu?

2. Unataka nitumie criteria gani kuielezea evil mpaka ukubali ipo? Maana numekueleza hutaki. Nimekueleza kidini Mungu anahukumu watenda mabaya, kama hukubali mabaya yapo, maana yake humkubali Mungu. Nimeeleza kisayansi the corrosive nature of tge secind kaw of thermidynamics as evil, because it degrades and corrode everytbing existing in time.

Hujajibu. Unarukaruka tu.

Unataka nikuelezee vipi?

3. Tutajuaje hilo ni kweli na hujatunga tu kumtetea Mungu ambaye hayupo?
 
Back
Top Bottom