Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Swali lilikuwa na marks ngapi?Kwaiyo baada ya kuliona swali kwanini usilitolee majibu kama kweli jibu unalijua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lilikuwa na marks ngapi?Kwaiyo baada ya kuliona swali kwanini usilitolee majibu kama kweli jibu unalijua?
Awali ya yote.Kama Mungu alitaka hivyo, yeye ni nani atake tofauti. Apende asipende atafanya kama Mungu alivyopanga: alizaliwa, akakua, siku moja ataugua au anaweza kuugua, atazeeka (kama ataishi miaka mingi) na atakufa. Yeye na Hawking wake hawezi kubadilisha mpango ambao Mungu ameweka kwa viumbe vyake. Yaani nikifikiria mambo ya big bang na evolution, napata uelewa mzuri wa uwepo wa Mungu. Eti big bang came from nothing? Nani kasema? From nothing you cannot get something - from nothing you get nothing and from something you get something.
Wewe huna uelewa wa kubishana na mimi.kiranga ananishangaza sana et anasema Mungu hayupo na sababu moja wapo za kusema hivyo ni kwamba kama kweli Mungu angekuwepo tusingekuwa tunakufa,tunakunya,tunapatwa na umasikini,tunapatwa na majanga ya asili nk.....anaposema hivi namshaaga sana najiuliza hivi huyu haamini Mungu yupo au anapinga sifa za Mungu kuwa ni mwema?
sababu kama anaamini vifo,majanga ya asili,umasikini vinaletwa na Mungu sasa anasemaje Mungu hayupo na wakati haya anasema Mungu ndiye uyaleta?
huyu jamaa naona tu ni king'ang'anizi tu kukataa Mungu hayupo na watu tunamletea uthibitisho yeye anajibu mambo yasiyoeleweka....kuna siku nilimtag na kumthibitishia Mungu yupo na kuna maswali nilimuuliza hadi leo yuko kimya
We nawe thibitisha kuwa mungu Hayupo na utupe majibu ya asili ya ulimwengu tukuelewe.. Sisi tukimpata mtengenezaji hatuna tatizo tunakuelewa kinacho matter utupe majibu nini Asili ya hivi vitu vyote ulimwwnguni.Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.
Kwa sababu hayupo.
Ndiyo maana unakimbilia kuwa mwanamazingaombwe ya kulazimisha mambo.
Kwanza umesha assume kuna mtengenezaji.We nawe thibitisha kuwa mungu Hayupo na utupe majibu ya asili ya ulimwengu tukuelewe.. Sisi tukimpata mtengenezaji hatuna tatizo tunakuelewa kinacho matter utupe majibu nini Asili ya hivi vitu vyote ulimwwnguni.
1. Hujaonesha ni vipi mtu asiyekubali dhana nzima ya kuwepo Mungu anamuona Stephen Hawking ni Mungu.
Mimi sikubali hata unayemuita Mungu yupo, nitamuinaje Stephen Hawking Mungu?
Unaweza kunukuu maneno yangu yanayokufanya useme namuona Stephen Hawking Mungu tuyachambue?
Au ni utoko wa ubongoni mwako na tongotongo za kiakili tu?
2. Unataka nitumie criteria gani kuielezea evil mpaka ukubali ipo? Maana numekueleza hutaki. Nimekueleza kidini Mungu anahukumu watenda mabaya, kama hukubali mabaya yapo, maana yake humkubali Mungu. Nimeeleza kisayansi the corrosive nature of tge secind kaw of thermidynamics as evil, because it degrades and corrode everytbing existing in time.
Hujajibu. Unarukaruka tu.
Unataka nikuelezee vipi?
3. Tutajuaje hilo ni kweli na hujatunga tu kumtetea Mungu ambaye hayupo?
Awali ya yote.
Thibitisha Mungu yupo.
Kwa hyo wewe apoo unataka kunamhia ninii..Kwanza umesha assume kuna mtengenezaji.
Wrong assumption.
Unaelewa hilo?
Ukiwa na akili za kuvukia barabara kwenye mijadala hii lazima utoke kapuSwali lilikuwa na marks ngapi?
Satanic kiranga, you're demons possessed, unatumia nguvu kubwa yenye hoja dhaifu kupinga uwepo wa Mungu,ukiulizwa kuna Oxygen? unasema ndiyo ipo,ukiulizwa kuna nature?Mungu yupi?
Unakubali kwamba upendo wote una contradiction, na hivyo hauwezekani kuwepo kwa Mungu.
Halafu ukiambiwa hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, unakataa.
Una akili wewe?
Ni kama unakubali rais Magufuli wa Tanzania si mwanamke.
Halafu ukiambiwa rais Magufuli wa Tanzania hawezi kuwa mkemia mwanamke unabisha.
Ridiculous unreason.
Wakati nikiwa O-Level nilisoma kitabu cha Chemistry: Pale kwenye Dalton Atomic theory kama sijasahau anasema hivi: It looks clear to me that in the Beginning God created an atom that cannot be subdivided into small particles.Satanic kiranga, you're demons possessed, unatumia nguvu kubwa yenye hoja dhaifu kupinga uwepo wa Mungu,ukiulizwa kuna Oxygen? unasema ndiyo ipo,ukiulizwa kuna nature?
Unasema ipo,tukikuuliza leta oxygen na nature ili tu prove uwepo wake,huwezi kuvileta,sasa nani asiye na akili kati yangu mimi na wewe?
Yaani unaonyesha hapa u zero brain wako kwa nguvu zote,wewe ni mmoja ya watu wenye ufahamu mdogo kabisa duniani,upo kwenye kaliba ya wapumbavu wenzako kina Hawking, very stupid, ukiulizwa kuna ndoto? Unasema ipo, tukikuomba uibebe ndoto utuletee huwezi kuileta.
Hayo ni mambo yaliyopo beyond our reasonable thinking capacity, yapo ktk spiritual formation ila yapo,mpumbavu huamini ktk kile ambacho anaweza kukiona tu kwa macho,ana akili yake ipo limited kama yako.
Limited wits believe in limited things,but unlimited wits believe beyond
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Wewe hata unaelewa kwamba an atom can be divided into smaller parts?Wakati nikiwa O-Level nilisoma kitabu cha Chemistry: Pale kwenye Dalton Atomic theory kama sijasahau anasema hivi: It looks clear to me that in the Beginning God created an atom that cannot be subdivided into small particles.
Lakini hilo halikuwafanya wanasayansi wasiendelee kuichinguza atom. Leo twajua kuwa atom ina definitions nyingi sana.
Kwa hiyo wanasayansi ni wadhambi kwa kumtafuta mtengeneza kiberiti ndani ya box la kiberiti kama alivyo Hawking.
Unapoandika "Mungu" unamqqnisha nini?Najaribu tu kufikiri endapo Wanasayansi wa kwanza wangesema kuna MUNGU(AMBAYE MIMI BINAFSI NAAMINI YUPO) jinsi amabavyo sayansi ingekuwa na utofauti sasa hivi, Wanasansi wangetaka kuchunguza universe au wangetafuta huyu MUNGU anatakiwa aabudiwe vipi? Wangegundua vimelea vya backteria/Virus au wangetafuta namna nzuri ya kufanya maombi endapo tumepata magonjwa?Mpaka kufikia sasa Uwepo wa MUNGU ni imani, Na wote tunafahamu maana ya neno imani, Sayansi haitegemei Imani. Kunauwezekano kabisa kuwa Wanasayansi huwa wanasali na kumuomba huyo ambaye kazi yao inakataa kuamini visivyoonekana au visivyo na ushahidi.Maandiko ya Sayansi ni kwa ajili ya wanasayansi ili kuwe na mwendelezo wa uchunguzi wa kisayansi uliokwisha fanyika. Huenda kuna siku Atatokea mwanasayansi atakayeleta ushahidi kuwa MUNGU yupo kwa sababu tu amegundua jambo ndani ya blackholes au nyota kwa kutumia mwendelezo wa maandiko ambayo yalianza kuandikwa na asiyeamini kuwa yupo MUNGU,na yeye ataandika na wengine wataendeleza uchunguzi wao mpaka tutakapofikia kuzungumza lugha moja. Mpaka wakati huo, povu la kuwahukumu wanasayansi na wagunduzi, binadamu wenzetu na kuwaona kuwa wao ni wadhambi sana tuachane nalo.
Sielewi kaka. Msomi ni wewe tuu!!Wewe hata unaelewa kwamba an atom can be divided into smaller parts?
Najaribu tu kufikiri endapo Wanasayansi wa kwanza wangesema kuna MUNGU(AMBAYE MIMI BINAFSI NAAMINI YUPO) jinsi amabavyo sayansi ingekuwa na utofauti sasa hivi, Wanasansi wangetaka kuchunguza universe au wangetafuta huyu MUNGU anatakiwa aabudiwe vipi? Wangegundua vimelea vya backteria/Virus au wangetafuta namna nzuri ya kufanya maombi endapo tumepata magonjwa?Mpaka kufikia sasa Uwepo wa MUNGU ni imani, Na wote tunafahamu maana ya neno imani, Sayansi haitegemei Imani. Kunauwezekano kabisa kuwa Wanasayansi huwa wanasali na kumuomba huyo ambaye kazi yao inakataa kuamini visivyoonekana au visivyo na ushahidi.Maandiko ya Sayansi ni kwa ajili ya wanasayansi ili kuwe na mwendelezo wa uchunguzi wa kisayansi uliokwisha fanyika. Huenda kuna siku Atatokea mwanasayansi atakayeleta ushahidi kuwa MUNGU yupo kwa sababu tu amegundua jambo ndani ya blackholes au nyota kwa kutumia mwendelezo wa maandiko ambayo yalianza kuandikwa na asiyeamini kuwa yupo MUNGU,na yeye ataandika na wengine wataendeleza uchunguzi wao mpaka tutakapofikia kuzungumza lugha moja. Mpaka wakati huo, povu la kuwahukumu wanasayansi na wagunduzi, binadamu wenzetu na kuwaona kuwa wao ni wadhambi sana tuachane nalo.
well said.Satanic kiranga, you're demons possessed, unatumia nguvu kubwa yenye hoja dhaifu kupinga uwepo wa Mungu,ukiulizwa kuna Oxygen? unasema ndiyo ipo,ukiulizwa kuna nature?
Unasema ipo,tukikuuliza leta oxygen na nature ili tu prove uwepo wake,huwezi kuvileta,sasa nani asiye na akili kati yangu mimi na wewe?
Yaani unaonyesha hapa u zero brain wako kwa nguvu zote,wewe ni mmoja ya watu wenye ufahamu mdogo kabisa duniani,upo kwenye kaliba ya wapumbavu wenzako kina Hawking, very stupid, ukiulizwa kuna ndoto? Unasema ipo, tukikuomba uibebe ndoto utuletee huwezi kuileta.
Hayo ni mambo yaliyopo beyond our reasonable thinking capacity, yapo ktk spiritual formation ila yapo,mpumbavu huamini ktk kile ambacho anaweza kukiona tu kwa macho,ana akili yake ipo limited kama yako.
Limited wits believe in limited things,but unlimited wits believe beyond
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Logical non sequitur.