Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Mungu yupo kimawazo fully stop..
Hakamatiki, hashikiki, haonekani kwa macho Bali anajengwa mawazoni, hasemi japo kuna watu husema wanaongea nae au kimaandiko...
Kumjua yupo au hayupo imekuwa ni personal issue ni maandiko kitabuni...
Mungu yupo kimawazo full stop.

Hakamatiki. Hashikiki. Haonekani kwa macho.

Kwa sababu hayupo popote zaidi ya kwenye mawazo.
 
Onene nale masala kulangwa gete.....
Kama huwezi kufafanua ulichouliza kwa kujibu maswali yangu, hujauliza swali, umeshindwa kuuliza swali.

Sasa nitajibu vipi swali ambalo umeshindwa kuuliza?

Gashi ole nchilochilo gete ango?
 
Kwa nini unaona nimetishika na una ushahidi gani wa kuthibitisha hilo kwa kina kiasi cha kukuridhisha kwamba nimetishika na si mawazo yako tu yanayoona nimetishika?

"Mungu asiye na uungu" is an oxymoron.
Tuachane na hayo ya kutishika au kutokutishika kwani si maudhui ya mjadala huu,

Ninachikiona hapa ni kwamba unaufahamu wa vitu Vingi ni kma vile umetutangulia kujua ndio maana umeweza kudominate mjadala kwa miaka kadhaa,

Acha nitulie kwanza nikipata hoja ya msingi nitarudi
 
Alikuwa anamaanisha Stablility siyo Rigidity
 
Alikuwa anamaanisha Stablility siyo Rigidity
The earth is not stable.

It is rotating on its unstable axis.

It is revolving around the sun. The sun itself is moving revolving around the center of the galaxy.

The galaxy itself is moving in space.

The earth is neither stable nor rigid, the continents are moving, earthquakes abound.

Even the orbit of the earth around the sun is not stable, it varies into apogee and perigee, and given time, thousands and thousands of years, the earths orbit around the sun changes significantly, it is not fixed.

The earth is neither stable, nor rigid.


 
Allah, Yehova, Ahura Mazda, Krishna, Zeus, Shiva, Athena, Apollo, Horus, na wengine wengi kama hao.

Kama unasema Mungu yupo, thibitisha.

Na kabla ya kuthibitisha, define Mungu ni nini kwako ili tunapojadiliana tuwe pamoja.

Wewe mbona huwezi kuthibitisha kutokuwepo kwake ?
 
Mungu yupo kimawazo full stop.

Hakamatiki. Hashikiki. Haonekani kwa macho.

Kwa sababu hayupo popote zaidi ya kwenye mawazo.

Nani amekwambia kwamba Mola wetu mlezi haonekani kwa Macho ?
 

Inaonekana tamko "kupinga" na "kukanusha" limekupita kidogo. Angekuwa anataka kuujua ukweli huu mjadala au fikra zake zingekuwa zimeisha kitambo.

Anachokifanya yeye ni kukanusha jambo pasi na elimu,ndio maana hata maswali ukimuuliza hajibu na anachotaka yeye kuthibitishiwa huku akiwa ametanguliza kukanusha mtu wa hivi hasemwi kama anatafuta ukweli bali anakanusha jambo ambalo halijui.

Umewatolea mfano Wanafalasfa kwa munasaba wa Kiranga,japo wanafalsafa walipotea,lakini katika kuutafuta ukweli walikuwa hawakanushi kwanza,na kukanusha jambo bila kuwa na elimu nalo wewe unaonekana ni mjinga mkubwa. Mathalani wewe,unaweza kukanusha jambo usilolijua ? Kama huwezi vipi liwezekane kwake ? Lazima atakuwa na matatizo ya akili. Hakuna mwanfalsafa aliyetafuta ukweli kwa kukanusha jambo kwanza. Lakini hapa hapa kwa Wanafalsafa,watu hawa walikuwa wanahoji vizuri sana lakini walikosa ala za kuwafikisha kwenye ukweli ndio maana ukiangalia katika mawazi yao na nadharia zao kuhusu chanzo cha ukimwengu walitofautiana sana,wapo waliosema chanzo cha ulimwengu ni hewa,wengine moto,wengine maji na mfano wake.
 
Sasa kama humjui Mungu,kwanini unamzungumzia na kupinga kutokuwepo kwake ?

Hivi huwa unatumia nini kufikiri ? Mpaka hili dogo linakushinda ?
Unaelewa kwamba kumuliza mtu "Mungu ni nini?" si sawa na kusema "Simjui Mungu" na kuchanganya haya mawili kuona ni kitu kimoja ni kuonesha utapiamlo wa akili ulionao?

Unaelewa Socratic method ni nini?

Unaelewa logical non sequitur ni nini?

Unaelewa mwalimu akikuuliza boiling point ya silver ni nini, hilo halimaanishi yeye mwalimu haijui boiling point ya silver ni nini?
 
Unaelewa kwamba kumuliza mtu "Mungu ni nini?" si sawa na kusema "Simjui Mungu" na kuchanganya haya mawili kuona ni kitu kimoja ni kuonesha utapiamlo wa akili ulionao?

Unaelewa Socratic method ni nini?

Nacheka sana,huwezi kutofautisha kauli hizo mbili sababu zote zinaingia katika maana moja,kauli ya kwanza ni swali la kutaka kujua na kauli ya pili ni kuweka bayana au tamayizi au kuelezea na kukiri.

Sasa tatizo lipo kwako usie weza kutoa maana moja katika swali na kauli ya kukiri,hali ya kuwa viwili hivyo ni sawa.

Socrates Method sina haja ya kuijua,sababu kujua kwake na kutokuijua ni sawa. Naweza kukuuliza moja tu ambalo najua hutaweza kulijibu,achilia mbali kuhusu Socrates Method,lakini hapa nakuuliza swali,kwanini hutilii shaka uwepo wa Socrates wakati hujawahi kumuona zaidi ya kusikia habari zake ? Lakini je nikikuuliza swali unithibitishie kama Socrates aliwahi kuishi duniani unaweza kufanya hivyo ?

Nipo ....
 
You are an incurious imbecile, a calcified cretin and an ignoble ignoramus.

I don't see the point of wasting my time with you.
 
You are an incurious imbecile, a calcified cretin and an ignoble ignoramus.

I don't see the point of wasting my time with you.

Nakuachia kazi juu ya haya niliyo kuuliza na ukawaulize wakubwa zako. Ukipenda siku yoyote kunijibu utanijibu,ila najua huwezi ndio maana umetafuta pa kujificha.

Huwa nakwambia na hapa natilia mkazo kwa kauli hii "Tengeneza kiti chako kwanza kabla ya kukitia nakshi".
 
You are an incurious imbecile, a calcified cretin and an ignoble ignoramus.

I don't see the point of wasting my time with you.

Huwezi kuona "point" japo nimekuandikia wewe na mfano wako,na silazima uelewe leo,ila nimekufikishia ujumbe,japo wewe ni kipofu wa moyo na akili.
 
Kwa nini swali liwe "who" is the designer?

Kwa nini umeweka "who" ?

Huoni kwamba umeuliza swali kwa kulenga jibu fulani?

Una maswali ya kitoto sana,lugha ni asili katika kujenga hoja na kueleweka kwa ziada ya ufasaha.

Swali la "nani" ni swali lisilo na badali kwa maana kinyume chake hakiwezekani,kwa maana kinachozungumziwa hapo ni chenye ufahamu,na lugha kwa asili ina unga mkono hilo. Kwa maana kisicho na ufahamu na ujuzi hakiwezi kuuliziwa kwa tamko "nani" ?
 

Hivi leo hii ukimkuta mbwa juu ya mti. Utajiuliza :

1. Kapandaje ? au
2. Kapandishwa na nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…