Flat earth si sayansi, the scientific world reached a consesus many years ago that the earth is not flat, by observation, experimentation, research, miaka mingi tu.Maelezo yake yanaonesha anaikubali sayansi kuliko hata vitabu vya mungu
Hatumii nukuu za vitabu vya mungu kuikosoa sayansi ili nasisi tuweze kumuelewa, anatumia nukuu na vipimo ambavyo vimebuniwa na sayansi ambayo ameikataa, kuikataa sayansi
Anakataza vita na kusisitiza amani halafu tunamuona anaendelea kununua mabomu ya nuclear hii inakua imekaeje??
Hahaha sikumzingatia id yakeJamaa anakataa sayansi huku anajiita "Technologist".
Kwa habari ya nyoka ndio, ninakubali 100%.Kwanini ujitoe kwenye quran wakati wewe ndiye uliyekua wa kwanza kusema at least biblia na quran????
Ulijuaje kua quran ina majibu sahihi mpaka ukasema at least??
Umekataa kua maji hayawezi kukaa juu ya tufe huku tufe ikijizungusha kwasababu haiwezekani namimi nimekubalina nawe,
kwa fact hiyo hiyo nami nimekuuliza unakubali kuna nyoka aliyefanya mazungumzo na binadamu hadi kufikia hatua ya kumlaghai huyo binadamu?????
Unakubali kwa vigezo gani?Kwa habari ya nyoka ndio, ninakubali 100%.
Sawa Mkuu, nakuletea muda si mrefu...Unakubali kwa vigezo gani?
Tupe vigezo vinavyoweza kupimika na kutoa majibu yasiokua na utata yatayoendana na uhalisia kama namna namna ambavyo tumeona kua kiuhalisia maji hayawezi kukaa juu ya tufe yasimwagike. Nipe vigezo vyenye kuzingatia kanuni hii uliyoitumia mwanzo
Unakubali kwa vigezo gani?
Tupe vigezo vinavyoweza kupimika na kutoa majibu yasiokua na utata yatayoendana na uhalisia kama namna namna ambavyo tumeona kua kiuhalisia maji hayawezi kukaa juu ya tufe yasimwagike. Nipe vigezo vyenye kuzingatia kanuni hii uliyoitumia mwanzo
Hata habari za dunia kua tufe zinapatikana katika sayansi lakini ulitumia fact zilizo nje na sayansi kuonesha kua haiwezekani maji kukaa juu ya tufe na ndio maana sikutaka tuzame kwenye sayansi. Sasa ni vizuri tutumie kanuni ileile ya uhalisia kufananisha mambo ili tuubaini ukweliMkuu, iko hivi, habari ya nyoka kuzungumza na binadamu inapatikana katika Biblia kitabu Cha Mwanzo mlango wa 3.
na mimi nikikuambia mara nyingine tufe hutuamisha maji ukiyaweka vizuri utasemeje???Mara nyingine mnyama kuongea na mwanadamu ni katika Hesabu 22:21-35 pale Nabii Balamu alipokemewa na punda wake.
ishu hapa ni je inawezekana kiuhalisia punda na nyoka wakafanya convo na binadamu? Niliuelewa mfano wako vizuri kua kiuhalisia haiwezekani maji yakawa juu ya tufe pasipo kumwagika unatumia kichaka cha miujiza kujificha???Kuhusu habari ya Punda nina uhakika Malaika alizungumza kupitia Punda, Ila kuhusu Nyoka ninaamini Nyoka alikuwa na uwezo wa kuongea kama Binadamu ama Shetani alizungumza kupitia nyoka.
Sayansi pia imesema dunia ni tufe ulitumia vigezo gani kupinga???Biblia inasema nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu.
hilo halina mjadala, je tunao nyoka na punda wenye kuzungumza kama binadamu??? (likiwezekana hili basi kwa principle hiyo hiyo tunaweza tukawa na tufe yenye kuhifadhi maji juu bila kumwagika)Kwa sasa tuna Ndege kama Kasuku ambao wanaweza zungumza kama Binadamu.
The same damn thing, sayansi imeitaja dunia kama tufe pamoja na hayo mbona ulipinga??Biblia ya Kiingereza inamtaja nyoka yule kama 'Serpent' ikiwa na maana in nyoka mkubwa.
bob kuwa serious basi, umesoma science informations zenye kuzungumzia dunia ni mfano wa tufe mbona umezipinga ulitumia criteria gani kuzipinga?? Sasa unaniletea biblical informations wewe ulitumia fact gani kuzikubali taarifa hizi mpaka uziamini kiasi cha kutolea ushahidi ambao haupo kiuhalisia???Tunaona baada ya Adam na Hawa kuharibu, Mungu alifanya mazungumzo nao na nyoka akiwepo.
Nyoka alilaaniwa kwa kuambiwa atakuwa akitumia tumbo ili kufanya mwendo (hapa yaonekana nyoka alikuwa akitembea na alikuwa na mikono) na atakula mavumbi (kuonesha alikuwa anakula chakula kingine pengine bora zaidi) na uadui ukawekwa kati ya uzao wa nyoka na mwanamke (Japo hili lina maana ya Kitendo kilichotokea pale Kalvari miaka 2000 iliyopita) lakini kwa mazingira ya kawaida mwanadamu na nyoka hawapatani kabisa.
Baada ya kusema hayo, nihitimishe kwa kusema Nyoka alikuwa hazungumzi Bali shetani alizingumza na Hawa kupitia Nyoka, sababu Mara ya Pili Mungu hakumhoji nyoka kwamba kwanini amefanya vile, Bali aliishia kumlaani (kuonesha ule uwezo wa kuzungumza ameshaondoka nao mwenyewe 'Shetani').
[/QUOTE]Daaaah!! Haya majibu hata mimi yamenifikirisha sana. Kudos mkuu kwa kuweza kupangua hoja kiustadi namna hii..Hata habari za dunia kua tufe zinapatikana katika sayansi lakini ulitumia fact zilizo nje na sayansi kuonesha kua haiwezekani maji kukaa juu ya tufe na ndio maana sikutaka tuzame kwenye sayansi. Sasa ni vizuri tutumie kanuni ileile ya uhalisia kufananisha mambo ili tuubaini ukweli
na mimi nikikuambia mara nyingine tufe hutuamisha maji ukiyaweka vizuri utasemeje???
ishu hapa ni je inawezekana kiuhalisia punda na nyoka wakafanya convo na binadamu? Niliuelewa mfano wako vizuri kua kiuhalisia haiwezekani maji yakawa juu ya tufe pasipo kumwagika unatumia kichaka cha miujiza kujificha???
Sayansi pia imesema dunia ni tufe ulitumia vigezo gani kupinga???
hilo halina mjadala, je tunao nyoka na punda wenye kuzungumza kama binadamu??? (likiwezekana hili basi kwa principle hiyo hiyo tunaweza tukawa na tufe yenye kuhifadhi maji juu bila kumwagika)
The same damn thing, sayansi imeitaja dunia kama tufe pamoja na hayo mbona ulipinga??
bob kuwa serious basi, umesoma science informations zenye kuzungumzia dunia ni mfano wa tufe mbona umezipinga ulitumia criteria gani kuzipinga?? Sasa unaniletea biblical informations wewe ulitumia fact gani kuzikubali taarifa hizi mpaka uziamini kiasi cha kutolea ushahidi ambao haupo kiuhalisia???
Nilitegemea kukuta extra informations zenye kulenga uhalisia katika mazingira yetu kama ulivyofanya mwanzo lakini nashangaa huja apply kanuni hiyo hapa
Kwaiyo yule jogoo ambaye alimbeba pazi kichwa chini miguu juu yupo kiuhalisia kwasababu kitabu kimesema hivyo?
[/QUOTE]Hata habari za dunia kua tufe zinapatikana katika sayansi lakini ulitumia fact zilizo nje na sayansi kuonesha kua haiwezekani maji kukaa juu ya tufe na ndio maana sikutaka tuzame kwenye sayansi. Sasa ni vizuri tutumie kanuni ileile ya uhalisia kufananisha mambo ili tuubaini ukweli
na mimi nikikuambia mara nyingine tufe hutuamisha maji ukiyaweka vizuri utasemeje???
ishu hapa ni je inawezekana kiuhalisia punda na nyoka wakafanya convo na binadamu? Niliuelewa mfano wako vizuri kua kiuhalisia haiwezekani maji yakawa juu ya tufe pasipo kumwagika unatumia kichaka cha miujiza kujificha???
Sayansi pia imesema dunia ni tufe ulitumia vigezo gani kupinga???
hilo halina mjadala, je tunao nyoka na punda wenye kuzungumza kama binadamu??? (likiwezekana hili basi kwa principle hiyo hiyo tunaweza tukawa na tufe yenye kuhifadhi maji juu bila kumwagika)
The same damn thing, sayansi imeitaja dunia kama tufe pamoja na hayo mbona ulipinga??
bob kuwa serious basi, umesoma science informations zenye kuzungumzia dunia ni mfano wa tufe mbona umezipinga ulitumia criteria gani kuzipinga?? Sasa unaniletea biblical informations wewe ulitumia fact gani kuzikubali taarifa hizi mpaka uziamini kiasi cha kutolea ushahidi ambao haupo kiuhalisia???
Nilitegemea kukuta extra informations zenye kulenga uhalisia katika mazingira yetu kama ulivyofanya mwanzo lakini nashangaa huja apply kanuni hiyo hapa
Kwaiyo yule jogoo ambaye alimbeba pazi kichwa chini miguu juu yupo kiuhalisia kwasababu kitabu kimesema hivyo?
Mimi niliisha waambia hawa watu wa aina ya Kiranga kuwa"KISICHOKUWEPO HAKINA JINA,HAKIHISIKI,HAKITAMKWI,NA WALA HAKIJADILIKI.Nacheka sana,huwezi kutofautisha kauli hizo mbili sababu zote zinaingia katika maana moja,kauli ya kwanza ni swali la kutaka kujua na kauli ya pili ni kuweka bayana au tamayizi au kuelezea na kukiri.
Sasa tatizo lipo kwako usie weza kutoa maana moja katika swali na kauli ya kukiri,hali ya kuwa viwili hivyo ni sawa.
Socrates Method sina haja ya kuijua,sababu kujua kwake na kutokuijua ni sawa. Naweza kukuuliza moja tu ambalo najua hutaweza kulijibu,achilia mbali kuhusu Socrates Method,lakini hapa nakuuliza swali,kwanini hutilii shaka uwepo wa Socrates wakati hujawahi kumuona zaidi ya kusikia habari zake ? Lakini je nikikuuliza swali unithibitishie kama Socrates aliwahi kuishi duniani unaweza kufanya hivyo ?
Nipo ....
RAFIK IYO NATURE ORIGINI YAKE NI NINI???I don't support the earth being flat at all as your claims assert! The scientific findings are very clear on that that the planet earth is spherical ,rotating on its axis revolving around the sun with other bodies in the solar system.
That claim(flatness) definitely does not belong to us.
Birth to us is the process that prove nature on its performance correspond with the big bang theorry "when two bodies of +v and -v meet they automatically produce energy( female+male= energy)" .
Your assertion are profoundly baseless because they are mainly based on written down on merely said stories which are totally unable to be proven.
You often inflict fears to people making them foolish unable to open and use their intellectual endowed by nature in them so as to support your baseless augments
Church businesses and other religious beliefs are the daily deals to cheat the fools to pay you their strongly suffered earnings in the name of God! Shame on you!
We are energy with full system of living organism in it neither created nor destroyed.
Meditate on it you will understand the truth deep down.
Good Sunday.
THE PHYSICS THAT HUMAN KNOWS IS 0.000000000000000011% OF WHAT THEY DONT KNOWTrying to prove the existence of God through science is like connecting manila rope to a bulb and battery and expecting a bulb to light.
Physics doesn't say so...!
Daah mkuu mi naamini uwepo wa MunguDo not transfer the debate...!
You've asked about the universe and galaxies and meteorites creation day.
Your question can be answered, but you first have to answer my question(s).
I have a single question to you on evolution.
Let's say Man's lifespan is 70 years, then why is evolution of man so difficult to find its evidences? No any historical proof than science bla bla that tell us there is evolution.
From 1000Bc to 2019 there no even a single proof that a man has changed from that to that and yet you believe it.
Seems like you don't understand Energy, you call yourself Energy, now tell me, before you were born where were you and which form of energy were you? And by this time, which energy form are you?
BTW, answer my basic questions about the flat earth.
If scientists have failed to understand the Earth is flat and probably stationary (not revolving, not spinning) how will they be right on critical issues like Creation and Evolution?
dahBinafsi, mtu akianza kuongelea kutetea habari za flat earth huwa nakosa hata hamu ya kuendelea kujadiliana naye.
Kama kweli anaamini habari hizo, napata ugumu sana kuona tunaweza kushabihiana vipi katika uelewa kiasi cha kufanya majadiliano yenye tija.
Kama haamini kwa dhati, ila anafanya inda tu na kisirani kihadaa, naona hana uthabiti wa adabu wa kuweza kunikaribia ki vyovyote.
Ulishakalishwa na Zuri kitambo Sana.Lakini maskini hata ujielewi.I swore off this calcified cretin.
Hana basic qualifications za kufanya mjadala nami.
Namuambia haelewi Socratic method ni nini, ananiambia hana haja ya kuelewa.
Hana hata utashi wa kuelewa asichoelewa, sasa nitajibizana naye ili iweje?
Nimemu ignore, hata anachoandika sikioni.
Hayo ni mawazo yako. Una haki ya kikatiba kuwa na mawazo yako, na mimi natetea haki yako ya kikatiba kuwa na mawazo yako na kujieleza.Ulishakalishwa na Zuri kitambo Sana.Lakini maskini hata ujielewi.
Yaani mkuu umesema kweli .Hana uwezo wa kujibu maswali haya na mfano wa haya,na kuna wakati huwa namuuliza naswaki si kwa lengo anijibu bali huwa naonyesha watu uko wapi ujinga wake na kumuonyesha yeye pia ujinga wake uko wapi. Kwa ufupi huwa namsaidia.