Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Mkuu Kiranga na dmatemu na wengine mnaopinga uwepo was Mungu, hebu niambieni, mnachukuliaje Uchawi, Uganga, Elimu ya Nyota na Elimu ya majini?

Na je, nini chanzo cha uhai?

Mkuu mm naamini Mungu yupo kwa asilimia zote. God existence is so real than my existence.

Anayesema hakuna Mungu ni MPUMBAVU.

Mpumbavu asema moyoni hakuna MUNGU..... (ZABURI 14:1)
 
Mkuu mm naamini Mungu yupo kwa asilimia zote. God existence is so real than my existence.

Anayesema hakuna Mungu ni MPUMBAVU.

Mpumbavu asema moyoni hakuna MUNGU..... (ZABURI 14:1)
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote, hilo si jambo la kuvutia mjadala.

Unaruhusiwa na katiba ya Tanzania na Universal Declaration of Human Rights kuamini unachotaka, mradi usiingilie wengine wala kuvunja sheria.

Sasa hata sielewi kwa nini unaleta habari za kuamini hapa.

Mimi najadili habari za fact. Unaweza kuthibitisha kwa fact Mungu yupo?

Na unaelewa kwamba unaposema anayesema hakuna Mungu ni mpumbavu, hilo nalo linathibitisha kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo?

Kwa sababu.

1. Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna upumbavu.
2. Mungu huyo, kwa sifa zake, angekuwa na sababu zote za kuumba ulimwengu ambao hauna upumbavu na kutoumba ulimwengu ambao una upumbavu.
3. Mimi nimesema Mungu hayupo
4. Kama kusema Mungu hayupo ni upumbavu, na mimi nimesema hivyo, ulimwengu huu una upumbavu.
5. Tumeona kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote asingeumba ulimwengu ambao nunaweza kuwa na upumbavu.
6. Zaidi, Mungu huyo asingeruhusu upumbavu uwepo popote.
7. Upumbavu upo.
8. Hivyo, Mungu huyo hayupo.
 
Ume-type childish and f#ck'em...Mara Mabala sijui Hawa huku Ngoswe khaaaq!!!
 

Kila mtu yuko free kuamini anachoamini. Unaweza kuamini sukari ni chumvi na chumvi ni sukari. Unaweza kuamini nyekundu ni nyeusi na nyeusi ni nyekundu. Lakini unapashwa kujua kwamba kuamini kwako hivyo hakubadilishi maana wala uhalisia. Sukari itabaki sukari na nyeusi itabaki nyeusi.

Unaposema unataka facts za uwepo wa Mungu nikakuambia uumbaji ni fact mojawapo mbona unakataa? Unataka facts zipi labda za kisayansi, za laboratory? Hizo facts sina na sidhani kama unaweza fanya experiment ya kisayansi kutambua uwepo wa MUNGU.

Hapo no 3 unasema hakuna Mungu kwa namna ipi? Una aamini au una uhakika?

Mungu hajaumba upumbavu. Nafikiri unaelewa maana ya upumbavu au mpumbavu. Halafu no 7& 8 sijaelewa uwepo wa upumbavu unathibitisha vipi Mungu hayupo? Sijaona logic wala connection hapo.
 
Ume-type childish and f#ck'em...Mara Mabala sijui Hawa huku Ngoswe khaaaq!!!
Point ni kwamba, mtu yeyote anaweza kuandika kitabu, akamuahadithia character ambaye hayupo, akamuita Mungu, akasema huyu yupo, kaumba dunia, ana nguvu zisizo mwisho, ujuzi usio mwisho na upendo usio mwisho nk.

Kuandika huko tu, hakumfanyi huyo character wa kitabu awepo.

Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo kweli na si hadithi za vitabuni tu?
 
Hujathibitisha uumbaji umefanywa na Mungu.

Unaweza kuthibitisha uumbaji umefanywa na Mungu?
 

Actually the problem of evil proves otherwise i.e God does exist. You can't say evil without good. There is no possible source of evil except good.

Ni kama suala la suffering. Watu wanasema if there is suffering then God doesn't exist. That is unfair conclusion. Ni sawa na mm kusema kwamba IST imefeli breki ikapata ajali ikaua halafu nisema TOYOTA MOTOR CORPORATION haiexist. Sidhani kama nitakuwa nafanya conclusion yenye haki. Suffering inatokea bse something went wrong somewhere and not because God doesnt exist.

St. Thomas Aquinas ameongelea vzr sana suala la evil na uwepo wa Mungu. Please visit
 
Mkuu mm naamini Mungu yupo kwa asilimia zote. God existence is so real than my existence.

Anayesema hakuna Mungu ni MPUMBAVU.

Mpumbavu asema moyoni hakuna MUNGU..... (ZABURI 14:1)
Mpumbavu amesema mungu yupo bila evidence
 
Unalazimisha.

Mungu alishindwa kutengeneza good without evil?
 
Ume-type childish and f#ck'em...Mara Mabala sijui Hawa huku Ngoswe khaaaq!!!
Kwa sababu wewe ni ngumbaru huwezi ukaelewa chochote.
Ingekuwa ni chaldish mtaala wa elimu ya sekondani wasingetumia.
Na kama huwezi kujenga hoja si lazima urushe matusi.
Sipendi ujinga na kama utarudia matusi nitakuweka kwenye ignore list ili nisione upuuzi wako tena.
 
Unajuaje kwamba Mungu yupo kweli na si hadithi tu?

Hujajibu swali hili.

Unaeleza tu kwamba huwezi kujibu.

Kusema kwamba mwisho wa mawazo ya mtu ndio mwanzo wa Mungu ni logical non sequitur. Unalazimisha hilo bila kuweza kuthibitisha.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli na si hadithi tu?
 
Ndugu umejaribu kuonyesha kile watu wasichokielewa. Huwezi kusema huu ni wema kama hakuna wema hivyohivyo kwa ubaya huja baada ya ubaya kuwepo. Matokeo ya kitu kizuri yapo kwasababu kuna kizuri wala ubaya hauwezi kuleta uzuri hata kama ufanyike kwa uzuri mara ngapi. Huwezi kuhalalisha jambo baya kwa wema.
Wewe kwa mfano umeshindwa kuacha tabia ya wizi, unawezaje kudai kwamba watu wengine hawawezi kuacha wizi. Wewe umeshindwa kuona ni ukweli na unadhibitika unaweza kuhalalisha jambo hilo kuwa sawa kwa wote?
 
Is vacuum nothing??

I ASKED YOU AS PER YOUR LAST ANSWER ABOUT ORIGIN OF NATURE..

SO I WANT TO KNOW HOW DOES NON-CREATED THING COMES INTO EXISTENCE???

YOU SAY ENERGY CAN NEVER BE CREATED OR DESTROYED...

SO I WANT TO KNOW ....
Obviously you mean "vacuum" or"nothing* or something or anything else!

In terms of my understanding of "creation" = a product of/from
something it can be through any physical/chemical way/method or change.

Nipe mfano wa kitu kama hicho;
 
AMINA
 
Mimi nataka uthibitisho tu kwamba Mungu yupo.

Bila uthibitisho, tutajuaje Mungu yupo kweli na si hadithi tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…