Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Insults where it is not necessary , describes who are, the more you write the more you describe your self, have a good. Thanks

You started insulting me by asking me to pass by without replying on a thread I initiated.

Where do you get that right?

Is that rude ignorance what your God teaches you?
 
It's a matter of choice tu, whether unaamini au huamini Uwepo wa Mungu bac, mengine yatajulikana mbeleni huko No logic here.
 
according to science the spiritual does not exist but to many it does

Not according to science that spirituality does not exist, but it is according to some scientists who have intentionally blind folded their senses or their thinking halted, say spirituality does not exist.

Science perse does not oppose spirituallity rather saves to understand it fully.

From Science we can understand God creation and nature and from religions we can understand and grasp God words and His commandments, thus God words and science are connected upon finding any "disconnection" --- there must be wrong with the finder or wrong with the whole matter in hand.
 
It's a matter of choice tu, whether unaamini au huamini Uwepo wa Mungu bac, mengine yatajulikana mbeleni huko No logic here.
Ukishasema it's a matter of choice, tayari ushaleta logic.

Kitu kikishakuwa na option ya this OR that, hapo tayari kuna logical decision.
 
Sasa kama hamna mbona ulikua unadai kua lipo ila nimelielewa vibaya?
Sikia weka hilo andiko tuache kuzungushana,maana ulichoniuliza ndicho ambacho mie nilikuwa nakipinga kwamba Quran haisemi hivyo bali wewe ndio unasema kuwa Qur'an inasema hivyo na ndiyo maana nikawa nakuuliza swali lako vizuri.
 
Evidence ni existence ya vilivyoumbwa.
Utakuwa unakosa kitumia akili to the fullest kama unashindwa kujua kuwa maamuzi ya kuanza kuwepo vitu vinavyoonekana na visivyoonekana bado ilifanyika at time 't' a power which was there before.
And that all will also end at a time.
That a plus a must be, or was to equal 2a was decided long ago. we just learn the misteries which were decided. we are just beings, subjects, given just a short time to marvel GODS creations.
It needs a scientific mind to see this wonder as above description.
Simple mind will try to explain it all.
And laziness of asking the whys to the end of the line will give you short answers to satisfy a simple mind.
Just have a humble scientist mind and heart and see God meaning see the power beyond.
Fear of God will make you happy and free.
If by chance you came to believe that human beings are a special creation who happen to be given a soul spirit and a councious then you might learn to use them.
Cheers and good luck.

Naona unalazimisha kizibo cha soda kufunikia jaba

Unaunga unga stori zisizo kuwepo kua ni ushahidi wa kitu ambacho kipo

Ni sawa na

Jongoo ana miguu ila hana macho, na nyoka ana macho ila hana miguu. Sasa hapa unatafutiza kisa ambacho hakipo ni cha kufikirika tu kiwe ndiyo ushahidi kuonesha safari za hawa wadudu mpaka walipofikia leo

Unaanza kwa kusema hapo mwanzo jongoo alikua na macho ila alikua hana miguu, siku moja allitembelewa na nyoka kwake wakakubaliana kubadilishana viungo vyao ili kila mmoja apate faraja ambayo ameikosa kwa miaka mingi. Nyoka akachukua macho kutoka kwa jongoo na jongoo akachukua miguu kutoka kwa nyoka.

Ukiangalia vizuri hiyo hadithi ni yakufikirika tu wala haipo kiuhalisia, mtunzi ametunga stori ya uongo kuonesha tukio ambalo halipo kama ushahidi wa kuelezea jambo ambalo lipo

Kwaiyo wewe umechukua vitu ambavyo vipo ( ulimwengu na vilivyomo) ukatengeneza stori fake (mungu) kua ndio chanzo cha ulimwengu na vilivyomo.

Hapo ni sawa na kumuita mtu mchawi Kwasababu anamacho mekundu. Unachukua jambo ambalo lipo(macho mekundu) kulitolea maelezo ambayo hayapo (uchawi)
 
Mkuu mtu anayepinga uwepo wa mungu ana haki ya kutumia mifano hii kwasababu wanatoa mapungufu yake, kitu ambacho kipo duniani. Lakini kwa wewe unayemuamini huyo mungu huwezi kumlinganisha na vitu vilivyokuwa na mapungufu kwasababu unaamini mungu ni mkamilifu na mjuzi wa kila kitu na hivyo basi kufanya hivyo ni kumshushia thamani huyo mungu wako ambaye ni nyali na mjuvi wa mambo yote..
Tofauti ya kumlinganisha na kutoa mfano ili kueleweka kwa kinachojadiliwa ni ipi? Na kumbe mjadala wenyewe unaangalia imani ya mtu kwanza basi tusingekuwa tunajadiliana mambo ya dini na watu ambao hawaamini Mungu kabisa.
 
Sikia weka hilo andiko tuache kuzungushana,maana ulichoniuliza ndicho ambacho mie nilikuwa nakipinga kwamba Quran haisemi hivyo bali wewe ndio unasema kuwa Qur'an inasema hivyo na ndiyo maana nikawa nakuuliza swali lako vizuri.

Niweke Andiko gani tena wakati umesema halipo??

Wewe ndiye uliyesrma kua andiko lipo ila nimelielewa vibaya. mpaka ukanitolea ule mfano wa "nyumbani kwako hakukaliki" kuonesha kua andiko lipo ila nimelielewa vibaya.

Sasa kama andiko hilo halipo huo mfano uliuweka kwa kusudi lipi?
 
Mungu angekuwepo,(mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) tusingekunya wala kufa.

Tunakunya na kufa kwa sababu Mungu hayupo.

Unaelewa hilo?

...Mwenyezi Mungu ameumba umauti na uhai ila kutujaribu yupi mwenye matendo mazuri kati yetu na kunya ni jambo ambalo mwanadanu amepewa ili apate kujaribiwa ktk chumo lake but kunya na kifo hakitokuwepo kwa watu wa pepon...
Na hvyo vyote ni miongoni mwa alama zinazomuonyesha uwepo wake Mungu.
 
Naona unalazimisha kizibo cha soda kufunikia jaba

Unaunga unga stori zisizo kuwepo kua ni ushahidi wa kitu ambacho kipo

Ni sawa na

Jongoo ana miguu ila hana macho, na nyoka ana macho ila hana miguu. Sasa hapa unatafutiza kisa ambacho hakipo ni cha kufikirika tu kiwe ndiyo ushahidi kuonesha safari za hawa wadudu mpaka walipofikia leo

Unaanza kwa kusema hapo mwanzo jongoo alikua na macho ila alikua hana miguu, siku moja allitembelewa na nyoka kwake wakakubaliana kubadilishana viungo vyao ili kila mmoja apate faraja ambayo ameikosa kwa miaka mingi. Nyoka akachukua macho kutoka kwa jongoo na jongoo akachukua miguu kutoka kwa nyoka.

Ukiangalia vizuri hiyo hadithi ni yakufikirika tu wala haipo kiuhalisia, mtunzi ametunga stori ya uongo kuonesha tukio ambalo halipo kama ushahidi wa kuelezea jambo ambalo lipo

Kwaiyo wewe umechukua vitu ambavyo vipo ( ulimwengu na vilivyomo) ukatengeneza stori fake (mungu) kua ndio chanzo cha ulimwengu na vilivyomo.

Hapo ni sawa na kumuita mtu mchawi Kwasababu anamacho mekundu. Unachukua jambo ambalo lipo(macho mekundu) kulitolea maelezo ambayo hayapo (uchawi)
Utakapojiongeza kidogo kwa kutumia akili na utashi wako bila kutumia maandiko ya watu wowote... including waumini wa dini mbalimbali au wapinga dini utajua ukweli na utakuwa huru
 
Ndugu Kiranga, sio kwamba hauna hoja, unayo. Mimi naelewa hasa kinachokutatiza.
Kuna masuala kadhaa usiyo yaelewa bado. Kuna elimu hizi: saikolojia, falsafa na teolojia bado huzielewi na kwa sababu hiyo huelewi pia sayansi. Ni kutoelewa, kwasababu unawezaje kukataa wewe siyo uthibitisho wa kuwepo Mungu lakini ukakubali hadumi inathibisha uwepo wa vimelea au viumbe vingine tusivyoviona kwa macho?
Bado ni tatizo hilohilo la kutoelewa, kama sayansi inathibisha kwamba DNA hutawala maisha ya mtu daima, lakini ukakataa dini inaposema roho ndiyo hutawala maisha ya mtu. Hii ni kwa sababu huelewi kipi unakiegemea na kukifuata na kipi inakithibitisha.
Madai yako yote yanaonyesha kwamba bado hujaelewa Mungu ni nani na nini? Uliza au jielimishe! Kwa sababu huelewi na humjui Mungu ndiyo maana unalalamika kwanini alishindwa kuumba ulimwengu usiyo na matatizo badala yake akaumba ulimwengu huu wenye matatizo na kila aina ya uovu; na hivyo unaelewa hakuna uthibitisho wa Mungu kwa sababu tu ya dunia ilivyo. Yaani hata dunia yenyewe ilivyo kando na matatizo yaliyomo, bado akili yako haitambui? Sasa kama jambo dogo kama hilo huelewi, utawezaje kujijua na kuelewe wewe mwenyewe? Na kama wewe mwenyewe hujijuwi na kujielewa, unawezaje kujua na kuelewa Mungu?
Huwezi kudai matatizo hayawezi kudhibitisha jambo jema. Yaani hivi: kwa vile kuna matatizo, basi hakuna mema. Kama unashindwa kuuthibisha ukweli kwenye matatizo huwezi kuona uzuri kwenye wema.
Unaposhindwa kuelewa zaidi ni pale unapofikiri Mungu ni contradiction lakini wewe ni facts and not contradiction! Wewe huoni kama ni fact ya Mungu, lakini unaona Mungu ni contradictions wakati huohuo wewe ni facts, lakini hujioni kama ni contradiction s!
Ndugu Kiranga uthibitisho wa Mungu uko ndani yako na siyo sehemu nyingine yeyote. Hiki kilichopo nje unachokiona ni uthibitisho ya kile kidogo kilichomo ndani yako. Kama hukioni hiki kidogo kilichopo nje maana yake hauna sayansi-hauna uthibitisho hivyo, unakataa hicho kilichomo ndani yako, ambacho kwa chenyewe, hiki kinachoonekana nje kinatokana na hicho kilichomo ndani yako, ndiyo Mungu.
Katika msingi huo, sayansi kwa maana nyingine ni uthibisho unaomthibisha Mungu, ambae yuko ndani yako anaejithibisha na kujidhihirisha kwa maarifa ya sayansi kadiri ya wakati.
Sasa unaposema unataka uthibitisho wa Mungu: sijui ni uthibitisho gani zaidi ya huu wa: wewe mwenyewe ndani yako, ndiyo roho, wewe mwenyewe kama umbo la kuonekana, ndiyo mwili; dunia na vitu vyote vilivyomo vinavyoonekana na visivyooneka, maarifa kama tulivyonayo, ndiyo sayansi, saikolojia, falsafa na teolojia?
 
Utakapojiongeza kidogo kwa kutumia akili na utashi wako bila kutumia maandiko ya watu wowote... including waumini wa dini mbalimbali au wapinga dini utajua ukweli na utakuwa huru

Sasa jiongeze thibitisha mungu yupo bila kutegemea maandiko wala kuhusisha dini
 
Utakapojiongeza kidogo kwa kutumia akili na utashi wako bila kutumia maandiko ya watu wowote... including waumini wa dini mbalimbali au wapinga dini utajua ukweli na utakuwa huru


Hatahivyo, hawakumsikia mzee wa Msoga siku aliposema; " Akili za kuambiwa changanya na zako---"😁😁

Wao wamekazana tu na kushikilia akili za kuambiwa wala hawatumii zao binafsi, tena wanawafuata watu waliokuwa wagonjwa wa "akili" kama huyo Prof Hawkins (I am sorry for that).

Wataalamu wanasema usipotumia kiungo chako kwa muda mrefu hatimaye kiungo hicho hulemaa, sasa, akili za hao wenzetu zimelemaa kwa kutokuzitumia hata wameshindwa kutafakari mambo madogo kama uwepo wa Mungu nk.
 
Ndugu Kiranga, sio kwamba hauna hoja, unayo. Mimi naelewa hasa kinachokutatiza.
Kuna masuala kadhaa usiyo yaelewa bado. Kuna elimu hizi: saikolojia, falsafa na teolojia bado huzielewi na kwa sababu hiyo huelewi pia sayansi. Ni kutoelewa, kwasababu unawezaje kukataa wewe siyo uthibitisho wa kuwepo Mungu lakini ukakubali hadumi inathibisha uwepo wa vimelea au viumbe vingine tusivyoviona kwa macho?
Bado ni tatizo hilohilo la kutoelewa, kama sayansi inathibisha kwamba DNA hutawala maisha ya mtu daima, lakini ukakataa dini inaposema roho ndiyo hutawala maisha ya mtu. Hii ni kwa sababu huelewi kipi unakiegemea na kukifuata na kipi inakithibitisha.
Madai yako yote yanaonyesha kwamba bado hujaelewa Mungu ni nani na nini? Uliza au jielimishe! Kwa sababu huelewi na humjui Mungu ndiyo maana unalalamika kwanini alishindwa kuumba ulimwengu usiyo na matatizo badala yake akaumba ulimwengu huu wenye matatizo na kila aina ya uovu; na hivyo unaelewa hakuna uthibitisho wa Mungu kwa sababu tu ya dunia ilivyo. Yaani hata dunia yenyewe ilivyo kando na matatizo yaliyomo, bado akili yako haitambui? Sasa kama jambo dogo kama hilo huelewi, utawezaje kujijua na kuelewe wewe mwenyewe? Na kama wewe mwenyewe hujijuwi na kujielewa, unawezaje kujua na kuelewa Mungu?
Huwezi kudai matatizo hayawezi kudhibitisha jambo jema. Yaani hivi: kwa vile kuna matatizo, basi hakuna mema. Kama unashindwa kuuthibisha ukweli kwenye matatizo huwezi kuona uzuri kwenye wema.
Unaposhindwa kuelewa zaidi ni pale unapofikiri Mungu ni contradiction lakini wewe ni facts and not contradiction! Wewe huoni kama ni fact ya Mungu, lakini unaona Mungu ni contradictions wakati huohuo wewe ni facts, lakini hujioni kama ni contradiction s!
Ndugu Kiranga uthibitisho wa Mungu uko ndani yako na siyo sehemu nyingine yeyote. Hiki kilichopo nje unachokiona ni uthibitisho ya kile kidogo kilichomo ndani yako. Kama hukioni hiki kidogo kilichopo nje maana yake hauna sayansi-hauna uthibitisho hivyo, unakataa hicho kilichomo ndani yako, ambacho kwa chenyewe, hiki kinachoonekana nje kinatokana na hicho kilichomo ndani yako, ndiyo Mungu.
Katika msingi huo, sayansi kwa maana nyingine ni uthibisho unaomthibisha Mungu, ambae yuko ndani yako anaejithibisha na kujidhihirisha kwa maarifa ya sayansi kadiri ya wakati.
Sasa unaposema unataka uthibitisho wa Mungu: sijui ni uthibitisho gani zaidi ya huu wa: wewe mwenyewe ndani yako, ndiyo roho, wewe mwenyewe kama umbo la kuonekana, ndiyo mwili; dunia na vitu vyote vilivyomo vinavyoonekana na visivyooneka, maarifa kama tulivyonayo, ndiyo sayansi, saikolojia, falsafa na teolojia?
ASANTE SANA NDUG YANGU NA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI ...MIMI NILIJIBISHANA NAYE HOJA KADHAA..NIKAAMUA KUMUACHA MANA MASWALI AKISHINDWA ANAPITA NJIA ZA PANYA ILI KUKATAA..SASA KWA WATU WAELEWA MTU KAMA HUYO UNAMUACHA TU..BARIKIWA
 
...Mwenyezi Mungu ameumba umauti na uhai ila kutujaribu yupi mwenye matendo mazuri kati yetu na kunya ni jambo ambalo mwanadanu amepewa ili apate kujaribiwa ktk chumo lake but kunya na kifo hakitokuwepo kwa watu wa pepon...
Na hvyo vyote ni miongoni mwa alama zinazomuonyesha uwepo wake Mungu.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujajibu swali langu.

Kama Mungu yupo, ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, na kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Mnasema Mungu anajua yote, ina maana kabla hajamjaribu mtu anajua uwezo wa mtu, kwamba huyu atafeli hapa na huyu atapasi.

Sasa kama anajua tayari, anatujaribisha ili iweje?

Thibitisha Mungu yupo na si hadithi tu. Ondoa contradiction ya problem ya evil. Niambie Mungu anajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe kwa kutujaribisha wakati anajua majibu tayari kwa sababu gani?
 
Within you there all truth about what is called controversial knowledge (God, the universe and man existance).
Wwewe jifunze Kiingereza kwanza ndiyo ujibu.

Haya majibu ya "Within you there all truth..." yanakuonesha ulivyo maamuma katika hiyo lugha unayoitumia.

Kwani lazima ujibu Kiingereza?
 
Back
Top Bottom