Mkuu mm naamini Mungu yupo kwa asilimia zote. God existence is so real than my existence.
Anayesema hakuna Mungu ni MPUMBAVU.
Mpumbavu asema moyoni hakuna MUNGU..... (ZABURI 14:1)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen...!Mkuu mm naamini Mungu yupo kwa asilimia zote. God existence is so real than my existence.
Anayesema hakuna Mungu ni MPUMBAVU.
Mpumbavu asema moyoni hakuna MUNGU..... (ZABURI 14:1)
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote, hilo si jambo la kuvutia mjadala.Mkuu mm naamini Mungu yupo kwa asilimia zote. God existence is so real than my existence.
Anayesema hakuna Mungu ni MPUMBAVU.
Mpumbavu asema moyoni hakuna MUNGU..... (ZABURI 14:1)
Ume-type childish and f#ck'em...Mara Mabala sijui Hawa huku Ngoswe khaaaq!!!Kama ulisoma walau kuanzia elimu ya sekondari kuna vitabu tulivitumia kujibia kiingereza na Kiswahili.
Kuanzia kizazi changu kielimu cha miaka ya 1996 tulikuwa na wakina Okonkwo (Things fall apart), kina Sikamona ndani ya zawadi ya ushindi, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo (Kiu ya Haki) na wengineo.
Walikuwepo pia kina Hawa the bus driver na Mabala the farmer kwa F1 na F2.
Tuliwajadili ma characters hawa na mpaka leo hii mtu ukimwambia afanye i margination ya Hawa the bus driver bila shaka atakwambia ni lijimama fulani lililojaa mwili na minguvu mingi.
Kwa kuwa characters hawa wana majina, tuliwajadili, tuliwahisi kifikira, tukawatamka na kujibia mitihani uhusika wao je,
Kwa maelezo yako wakina Okonkwo,Sikamona, Ngoswe, Mzee Toboa Mambo na Hawa the bus driver wapo kiuhalisia, nje ya dhana ya kufikirika?
Kivipi?
Kwani tukianza kujadili habari za kina Harakati za Pimbi,Kipepe,Lodilofa, Sokomoko na Ndumila kuwili wa gazeti la Sani enzi hizo, hapo tayari hao watu wanakuwa wapo kweli kiuhalisia, nje ya masimulizi ya kufikirika pekee!?
Unaelewa ya kwamba Mungu nae amebuniwa na kuingizwa ndani ya vitabu mnavyovisema vya Mungu, kama ambavyo kina Harakati za Pimbi walivyoingizwa ndani ya gazeti la Sani!?
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote, hilo si jambo la kuvutia mjadala.
Unaruhusiwa na katiba ya Tanzania na Universal Declaration of Human Rights kuamini unachotaka, mradi usiingilie wengine wala kuvunja sheria.
Sasa hata sielewi kwa nini unaleta habari za kuamini hapa.
Mimi najadili habari za fact. Unaweza kuthibitisha kwa fact Mungu yupo?
Na unaelewa kwamba unaposema anayesema hakuna Mungu ni mpumbavu, hilo nalo linathibitisha kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo?
Kwa sababu.
1. Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna upumbavu.
2. Mungu huyo, kwa sifa zake, angekuwa na sababu zote za kuumba ulimwengu ambao hauna upumbavu na kutoumba ulimwengu ambao una upumbavu.
3. Mimi nimesema Mungu hayupo
4. Kama kusema Mungu hayupo ni upumbavu, na mimi nimesema hivyo, ulimwengu huu una upumbavu.
5. Tumeona kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote asingeumba ulimwengu ambao nunaweza kuwa na upumbavu.
6. Zaidi, Mungu huyo asingeruhusu upumbavu uwepo popote.
7. Upumbavu upo.
8. Hivyo, Mungu huyo hayupo.
Point ni kwamba, mtu yeyote anaweza kuandika kitabu, akamuahadithia character ambaye hayupo, akamuita Mungu, akasema huyu yupo, kaumba dunia, ana nguvu zisizo mwisho, ujuzi usio mwisho na upendo usio mwisho nk.Ume-type childish and f#ck'em...Mara Mabala sijui Hawa huku Ngoswe khaaaq!!!
Hujathibitisha uumbaji umefanywa na Mungu.Kila mtu yuko free kuamini anachoamini. Unaweza kuamini sukari ni chumvi na chumvi ni sukari. Unaweza kuamini nyekundu ni nyeusi na nyeusi ni nyekundu. Lakini unapashwa kujua kwamba kuamini kwako hivyo hakubadilishi maana wala uhalisia. Sukari itabaki sukari na nyeusi itabaki nyeusi.
Unaposema unataka facts za uwepo wa Mungu nikakuambia uumbaji ni fact mojawapo mbona unakataa? Unataka facts zipi labda za kisayansi, za laboratory? Hizo facts sina na sidhani kama unaweza fanya experiment ya kisayansi kutambua uwepo wa MUNGU.
Hapo no 3 unasema hakuna Mungu kwa namna ipi? Una aamini au una uhakika?
Mungu hajaumba upumbavu. Nafikiri unaelewa maana ya upumbavu au mpumbavu. Halafu no 7& 8 sijaelewa uwepo wa upumbavu unathibitisha vipi Mungu hayupo? Sijaona logic wala connection hapo.
The omnipotent, omniscient and omni benevolent God can be disproved. Has been disproved.
There is a big contradiction in the basic idea of the existence of this God.
It is called "the problem of evil".
Because this God does not exist.
This God is just a man made story.
A false man made story.
See
Problem of evil - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
1.God exists.
2.God is omnipotent, omnibenevolent and omniscient.
3.An omnipotent being has the power to prevent that evil from coming into existence.
4.An omnibenevolent being would want to prevent all evils.
5.An omniscient being knows every way in which evils can come into existence, and knows every way in which those evils could be prevented.
6.A being who knows every way in which an evil can come into existence, who is able to prevent that evil from coming into existence, and who wants to do so, would prevent the existence of that evil.
7.If there exists an omnipotent, omnibenevolent and omniscient God, then no evil exists.
8.Evil exists (logical contradiction).
Mpumbavu amesema mungu yupo bila evidenceMkuu mm naamini Mungu yupo kwa asilimia zote. God existence is so real than my existence.
Anayesema hakuna Mungu ni MPUMBAVU.
Mpumbavu asema moyoni hakuna MUNGU..... (ZABURI 14:1)
Unalazimisha.Actually the problem of evil proves otherwise i.e God does exist. You can't say evil without good. There is no possible source of evil except good.
Ni kama suala la suffering. Watu wanasema if there is suffering then God doesn't exist. That is unfair conclusion. Ni sawa na mm kusema kwamba IST imefeli breki ikapata ajali ikaua halafu nisema TOYOTA MOTOR CORPORATION haiexist. Sidhani kama nitakuwa nafanya conclusion yenye haki. Suffering inatokea bse something went wrong somewhere and not because God doesnt exist.
St. Thomas Aquinas ameongelea vzr sana suala la evil na uwepo wa Mungu. Please visit
SUMMA THEOLOGIAE: The cause of evil (Prima Pars, Q. 49)
Can good be the cause of evil? Is the supreme good, God, the cause of evil? Is there any supreme evil, which is the first cause of all evils?www.newadvent.org
Basi jibu hakuna andiko hilo linalosema jua huwa linazama kwenye matope.Kwani mimi nauliza kuhusu habari gani hapa??
Ulivyokua unasema habari hiyo si ya kweli ulikua unazungumzia habari gani????
Kwa sababu wewe ni ngumbaru huwezi ukaelewa chochote.Ume-type childish and f#ck'em...Mara Mabala sijui Hawa huku Ngoswe khaaaq!!!
Unajuaje kwamba Mungu yupo kweli na si hadithi tu?Fact is huwezi kuelezea existence ilianzaje. Hapo mwisho wako au mwisho wa akili ya mwanadamu ndio mwanzo wa Mungu.
Kama hujauona mwisho wa akili ya mwanadamu huwezi kufunguka na kuuona uwepo wa Mungu.
Utabaki na hii nguvu ndogo ya kibinadamu.
Utaridhika sana. Ila ukijiongeza kidogo tu na kujua uko na limit ya chini basi utafika tu kwenye super existence.
Ni bahati ambayo wanasayansi wengi huifikia pale wanapoingia ndani sana kwenye tafiti zao.
Cha kushangaza ni pale wale wenye kufuata nyayo zao kivivu huishia kabla ya kuuona udogo wao na ukuu wa Mungu.
Kwenye quran hakuna andiko ilo serious?Basi jibu hakuna andiko hilo linalosema jua huwa linazama kwenye matope.
Obviously you mean "vacuum" or"nothing* or something or anything else!
In terms of my understanding of "creation" = a product of/from
something it can be through any physical/chemical way/method or change.
Nipe mfano wa kitu kama hicho;
Hata sisi hatuwezi kuendelea kubisha na mtu ambaye hajawahi kujikuta katembea kichwa chini miguu juu kwa sababu ya dunia kumzungusha.Wala hajawahi kuona maji ya bahari yakimwagika kutokana dunia kuyazungusha. Wala yeye mwenyewe hajawahi kuangali chini ya miguu yake akaiona mbingu,bali uangalia juu daima ili kuiona mbingu huu 2019 na bado anadai dunia duara!.
WASHIKIWA AKILI KAMA HUYU!WA NINI SASA?.
Mimi nataka uthibitisho tu kwamba Mungu yupo.Ndugu umejaribu kuonyesha kile watu wasichokielewa. Huwezi kusema huu ni wema kama hakuna wema hivyohivyo kwa ubaya huja baada ya ubaya kuwepo. Matokeo ya kitu kizuri yapo kwasababu kuna kizuri wala ubaya hauwezi kuleta uzuri hata kama ufanyike kwa uzuri mara ngapi. Huwezi kuhalalisha jambo baya kwa wema.
Wewe kwa mfano umeshindwa kuacha tabia ya wizi, unawezaje kudai kwamba watu wengine hawawezi kuacha wizi. Wewe umeshindwa kuona ni ukweli na unadhibitika unaweza kuhalalisha jambo hilo kuwa sawa kwa wote?
Hahhahahha watu wana bangi sana..et ana define nothing....nimechekajeHave fun with an Atheist trying to define nothing 🙂
Kweli mkuu kwenye Qur'an hakuna andiko linalosema kuwa jua huwa linazama kwenye matope,kama wewe umeliona andiko hilo liweke.Kwenye quran hakuna andiko ilo serious?