Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Siku mtakaporudi kwenye futi 6 ndo mtajua kuwa mungu yupo au hayupo.
Bado muda mchache tu.
 
Hakuna sehemu iliyo state how they pop up and disappear,hence bringing the question back how and why????
Nimekujibu hapo juu, tatizo namueleza samaki wa Mariana Trench kuhusu jangwa la Sahara.

Hawezi kunielewa.
 
Siku mtakaporudi kwenye futi 6 ndo mtajua kuwa mungu yupo au hayupo.
Bado muda mchache tu.
Kifo kinaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Hakioneshi yupo.

Unaelewa hilo?
 
Mkienda kukutana ndo mtaulizana vizuri kama yupo au hayupo
.au WEWE HAUTAKUFA!?
Kifo kinaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Hakioneshi yupo.

Unaelewa hilo?
 
Nimekujibu hapo juu, tatizo namueleza samaki wa Mariana Trench kuhusu jangwa la Sahara.

Hawezi kunielewa.
Nimesoma zote hapo kwenye quantum and eisten is all about theories na wao kumbe kama wewe hawaelewi
 
mtu ufa mara moja.nikifa ntaenda kukutana nae heri yangu ninaemuamini kuwa yupo.
Umejuaje ukifa utaenda kukutana naye?

Wakati ushasema mtu "ufa" mara moja?

Wewe kama hujui tofauti ya "ufa" na "hufa" kwa nini nikubali unaweza kujadiliana nami kuhusu uwepo wa Mungu?
 
Hahaaaa.

Naomba uulize hili swali tena nijue hujatania.
Jibu tu huo utani maana before time ,space na energy mnashindwa majibu vipi mnabisha uwepo wa Mungu,sasa north of north pole is likewise nakusema SIJUI..........
 
Jibu tu huo utani maana before time ,space na energy mnashindwa majibu vipi mnabisha uwepo wa Mungu,sasa north of north pole is likewise nakusema SIJUI..........
Mtu anakwambia soace yote ineanzia kwenye Big Bang, if at all you take the Big Bang model seriously.

Halafu unamuuliza Big Bang ilitokea East, West, North or South.

Swali lako linaonesha hujaelewa jambo la msingi katika somo la awali.

Kwamba soURce yote ilitokea katika Big Bang.

Ni kama vile nakwambia wewe na dada zako na kaka zako wote mmezaliwa na mama yako.

Halafu unaniuliza kama wewe umezaliwa na dada yako au kaka yako.

Swali lako linaonesha hujaelewa nilipokuambia kwamba umezaliwa na mama yako.
 
Wewe nawe unajua kusoma kwa ufahamu?

Aau ni nyungunyungu usiye na ubongo wala uti wa mgongo?

Unaelewa maana ya neno "kama" ?

Au unajiharishia na kujikojolea all over the map kwa kukosa akili?
Hiyo "kama" ndio inazuia nini kwenye swali nililokuuliza? Hivi upo sawa kweli wewe? maana hiyo michambo uliyotoa haioneshi kuwa ulikuwa katika hali ya kawaida tu.
 
Wewe unajua hata kufikiri ni nini?

Haya maswali yako ya kujiharishia kiakili yanaonesha hata hujui kufikiri ni nini.

Guluguja usiye na ubongo wala uti wa mgongo wewe.

Endelea kujinyea na kujikojolea hapa nikuone unavyojiaibisha.
Unajiona mjanja na intellectual sana, kuanzisha mada ya kipumbavu ya kumkana Mungu huku ukimnukuu mpumbavu mwenzako Hawking, si ajabu hata huwa unajinyea kitandani na kusema mkeo au jirani yako kanya kumbe ni wewe mbumbumbu wa ma mbumbumbu .
Siku zote mjinga huwa hajijui.
Unaanzisha pathetic Topic, unaji contradict mwenyewe,eti Duniani ilitokana na nature, unadai Mungu hayupo,ila una amini ktk nature, tazama ulivyo fala,unaweza kutuonyesha nature yuko wapi,?unaamini nature isiyo onekana halafu huamini Mungu asiyeonekana,sasa which is which, una akili kweli wewe?
Unadhani sifa kumbe chizi.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Mtu anakwambia soace yote ineanzia kwenye Big Bang, if at all you take the Big Bang model seriously.

Halafu unamuuliza Big Bang ilitokea East, West, North or South.

Swali lako linaonesha hujaelewa jambo la msingi katika somo la awali.

Kwamba soace yote ilifikea karika Big Bang.

Ni kama vile nakwambia wewe na dada zako na kaka zako wote mmezaliwa na mama yako.

Halafu unaniuliza kama wewe umezaliwa na dada yako au kaka yako.

Swali lako linaonesha hujaelewa nilipokuambia kwamba umezaliwa na mama yako.
Sasa hiyo soace ni nini????ila angeandika mwingine ungesema hana ufahamu.

Nipe characteristics of a source??

Source imeanzia kwenye big bang ,na big bang ndo iliyotoa source je, if big bang is a Creation of source,HOW DID SOURCE APPEAR FROM NOTHING.....???


HOW DID THE STARTING POINT of big bang APPEAR ???????
 
Back
Top Bottom