Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Anatakiwa siku moja aende internationa space station ajionee mwenyewe live kwa macho yake vile earth ilivyo spherical!
Hawa unaweza kuwapeleka International Space Station wakabisha, wakasema dunia si sphere kama mpira, bali ni bapa la mviringo kama shilingi.

Hawana adabu za kimantiki katika ubishi wao hawa.

Ndiyo maana mimi nawapotezea tu, sasa mtu mpaka leo anasema the earth is flat nitaanzaje kubishana naye?
 
Daah mkuu mi naamini uwepo wa Mungu

Ila hapa kwenye flat earth unatuangusha kiongoz sio kidogo

Hafu unafanya sisi tunaomwamini Mungu tuonekane maboya

Unajua watu hawataki kubshana na wewe kuhusu flat earth

Maana ni too childish , hata mm nmeona aibu

Sory mkuu , tuko pmj katka uwepo wa mungu

Cc 😡kiranga
Hahahaha!!! Jamaa anaangusha chama siyo..
 
Daah mkuu mi naamini uwepo wa Mungu

Ila hapa kwenye flat earth unatuangusha kiongoz sio kidogo

Hafu unafanya sisi tunaomwamini Mungu tuonekane maboya

Unajua watu hawataki kubshana na wewe kuhusu flat earth

Maana ni too childish , hata mm nmeona aibu

Sory mkuu , tuko pmj katka uwepo wa mungu

Cc 😡kiranga
Kuamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu factually, na kuamini the earth is flat, kimsingi, tofauti yake ni ndogo sana.

Zote ni imani ambazo hazina msingi katika logical reasoning.

Ina a way bora huyo anayeamini flat earth kaamua kuamini ujinga moja kwa moja, kuliko huyu anayeamini ujinga wa Mungu halafu anakataa ujinga wa flat earth.

Ukiamini Mungu wa kwenye Biblia, imeandikwa kwenye Biblia Mungu hapendi wavuguvugu, atawatapika.

Kama unaamua kuamini ujinga, amini ujinga all the way ukubali the earth is flat.

Yani nikose hata pa kuanzia mjadala nawe.

Sio unaamini ujinga nusu (Mungu) unapinga ujinga nusu (flat earth).
 
Mkuu, hapa tunazungumza kuhusu DINI-IMANI vs SAYANSI.
na hoja ya msingi hapa ni kwamba sayansi ina makosa hivyo si njia sahihi ya kutafuta majibu. Kwa kulijua hilo ume prefer vitabu vya dini na imani kiujumla kwamba ndio njia sahihi ya kuufikia ukweli, so kabla ya kuikubali njia hii tunatakiwa tuipime kama ina makosa ili tusipoteze muda kuitumia katika kutafuta majibu sahihi kwasababu tushajua kua mafundisho ambayo yamekosewa au yanamokosa ndani yake hayawezi kutoa jibu la uhakika.

Ili kufikia hitimisho kwa jambo lolote la Kidini mfano katika Biblia Imani inatumika kuliko hoja.
Imani ni kuamini kitu kipo bila evidence

Sasa tutajuaje majibu ya mambo yanayotutatiza kwa uhakika wakati msingi mzima wa imani ni betting???


Ili kufikia hitimisho kwa jambo lolote la Kisayansi, majaribio na hoja zinatumika kuliko imani ndipo tunafikia hitimisho.
Hitimisho gani zuri katika kutafuta ukweli kati ha hayo mawili?

Kuamini bila kujua kwa uhakika wa jambo hilo wala uthibitisho?? Au kua na majaribio ambayo yanaweza kua proved na kila mtu akajua ukweli??

So nikutake uelewe hilo kuanzia sasa.
Nami nataka nielewe vizuri ipi njia bora ya kujua ukweli wa jambo kwa uhakika? kati ya imani ambayo haina majaribio yanayoweza kuchunguzwa ili kufikia hitimisho lenye majibu ya maswali au sayansi yenye kufata kanuni hiyo ya majaribio ambayo yameambatana na uthibitisho???

Maelezo niliyokupa kwa mtu mwelewa, yanajitosheleza kabisa.
Kuelewa kwamba hueleweki, nimeelewa

Kwa mfano, Tofaa (Apple) kudondoka toka kwenye mti hadi chini inaleta Mantiki kwamba kuna kani inaitwa Gravity? Hayo maelezo yanajitosha?
Kama isivyowezekana nyoka kuzungumza na adam na eva

Kwangu Mimi hayajitoshi, na ndio maana naandika kitabu kuonesha namna Sayansi imetufanya wajinga kwa muda mrefu.
Hayajitoshi kwa vipimo gani? Hapa kipimo ni uhalisia katika kufananisha mambo

Sasa tunaona habari za punda na nyoka kuongea na binadamu zinapwaya kiuhalisia. je hii kwako ina make sense??

Tukio lililotokea pale Eden, haliwezi kuwa na shaka, kwa mfano nikikuuliza kwanini Mashariki ya kati ndiko mafuta mengi yanapatikana, Jibu unalo? Kwanini?

Nami pia naweza kukuuliza swali kupitia hiyo hoja uliyoijenga.

Hayo mafuta kwanini hayakugunduliwa kipindi chote cha kina yuda na petro (wakati kipindi icho biblia ndio ilikua inasomwa sana na kuaminiwa) mpaka sayansi ilivyokuja kusambaa ulimwenguni??

Hayo mafuta yanachimbwa hadi kufikia process yanakua pure kwa vifaa vilivyotengenezwa na watu gani??
 
Kuamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu factually, na kuamini the earth is flat, kimsingi, tofauti yake ni ndogo sana.

Zote ni imani ambazo hazina msingi katika logical reasoning.

Ina a way bora huyo anayeamini flat earth kaamua kuamini ujinga moja kwa moja, kuliko huyu anayeamini ujinga wa Mungu halafu anakataa ujinga wa flat earth.

Ukiamini Mungu wa kwenye Biblia, imeandikwa kwenye Biblia Mungu hapendi wavuguvugu, atawatapika.

Kama unaamua kuamini ujinga, amini ujinga all the way ukubali the earth is flat.

Yani nikose hata pa kuanzia mjadala nawe.

Sio unaamini ujinga nusu (Mungu) unpinga ujinga nusu (flat earth).
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hayo ni mawazo yako. Una haki ya kikatiba kuwa na mawazo yako, na mimi natetea haki yako ya kikatiba kuwa na mawazo yako na kujieleza.

Lakini wewe na huyo Zurri wako wote hamjaweza kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Kwa sababu hayupo. Ndiyo maana maelezo ya kuwepo kwake yana contradiction.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo na ondoa contradictions nilizoonesha zipo katika dhana ya kuwepo Mungu huyu.

Ukishindwa haya mawili, nakuona mpiga soga tu usiyejua mbele wala nyuma.

Thibitisha, usipihe soga tu bila uthibitisho.
"MUNGU" .Bado unaswali jigine?.
 
"MUNGU" .Bado unaswali jigine?.
Hayo ni mawazo yako. Una haki ya kikatiba kuwa na mawazo yako, na mimi natetea haki yako ya kikatiba kuwa na mawazo yako na kujieleza.

Lakini wewe na huyo Zurri wako wote hamjaweza kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Kwa sababu hayupo. Ndiyo maana maelezo ya kuwepo kwake yana contradiction.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo na ondoa contradictions nilizoonesha zipo katika dhana ya kuwepo Mungu huyu.

Ukishindwa haya mawili, nakuona mpiga soga tu usiyejua mbele wala nyuma.

Thibitisha, usipihe soga tu bila uthibitisho.
 
Wewe nawe unaamini habari za flat earth?
Ukishajua tu kuwa unajadiliana na mtu wa DINI hasa Uislamu na Ukristo.Inakulazimu kutambua kuwa misingi ya kukubali Jambo au kutolikubali,ni kupitia MACHO, MDOMO,PUA,MASIKIO,NGOZI NA AKILI.

Hivyo mimi naamini katika dunia tambarare.
 
Ukishajua tu kuwa unajadiliana na mtu wa DINI hasa Uislamu na Ukristo.Inakulazimu kutambua kuwa misingi ya kukubali Jambo au kutolikubali,ni kupitia MACHO, MDOMO,PUA,MASIKIO,NGOZI NA AKILI.

Hivyo mimi naamini katika dunia tambarare.
Kwa heri, straight to ignore list.
 
Hayo ni mawazo yako. Una haki ya kikatiba kuwa na mawazo yako, na mimi natetea haki yako ya kikatiba kuwa na mawazo yako na kujieleza.

Lakini wewe na huyo Zurri wako wote hamjaweza kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Kwa sababu hayupo. Ndiyo maana maelezo ya kuwepo kwake yana contradiction.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo na ondoa contradictions nilizoonesha zipo katika dhana ya kuwepo Mungu huyu.

Ukishindwa haya mawili, nakuona mpiga soga tu usiyejua mbele wala nyuma.

Thibitisha, usipihe soga tu bila uthibitisho.
Wewe ndiye umeshindwa kuthibitisha kama MUNGU hayupo.Maana unamjadili kila uchao alafu unasema "HAYUPO"!?.
 
Umeona aibu sababu huna uwezo wa kuchakata taarifa.

Nimetoa hoja zangu hapo na wewe toa mchango wako sio umeona aibu, hakuna mtu mzima kasaula humu.

Hakuna kitu kama Spherical Earth, dunia ni flat.
Empty and rubbish mindset

Sion hoja ya kubishana na mpumbavu kama wewe na mjinga

Wewe ni mjinga !

Course works nlizozsoma kwa mamiaka na miaka hadi napata phd hafu nije kubishana na ngumbaru kama wewe

Mother f*ck i aint do that shit business
 
Umeona aibu sababu huna uwezo wa kuchakata taarifa.

Nimetoa hoja zangu hapo na wewe toa mchango wako sio umeona aibu, hakuna mtu mzima kasaula humu.

Hakuna kitu kama Spherical Earth, dunia ni flat.
Straight to ignore list, siku hizi hii ndiyo itakuwa litmus test ya kuamua kama naendelea kujadiliana na mtu au nampeleka ignore list.

It's one thing to listen to dissenting opinions, quite another to entertain sheer lunacy.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika, nakuweka ignore list.
 
Ati course work asa we na PhD yako umefanya nini zaidi ya kuongeza idadi ya wasomi wasiokuwa na tija kwa Africa?

Mende kweli, natamani ungekuwa pembeni yangu, yani ningekumeza!

Na ukome kutukana watu usiowajua.
Una uhakika nipo Africa !

Hivi wewe una akili

Mbona una act childish sana

So childish yaan , hata mwanangu theodore hayupo hivyo

I realy wonder

Kama kwa ujinga huu unategemea sisi tunaoamini uwepo wa Mungu tutawashinda wa kina kiranga kwa stamphon minds kama hizi

Hebu badilika na upunguze ujinga
 
Straight to ignore list, siku hizi hii ndiyo itakuwa litmus test ya kuamua kama naendelea kujadiliana na mtu au nampeleka ignore list.

It's one thing to listen to dissenting opinions, quite another to entertain sheer lunacy.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika, nakuweka ignore list.
Huyu ni mjinga
 
Phd yako kafanyie udobi Kobe wewe.

Eti PhD, fala kweli bwege wewe...!

Unahisi matusi wengine ndo hatuyajui?

Wewe sio mpumbavu tu, yani wewe ni taahira kabisa, upo Bibi Swalehe?
Na unaamini

Mungu yupo , wewe ni mjinga tena ni mjinga wa kiwango cha lami

Nimekuweka kwenye ignore list

Sina haja ya kubishana na wewe hata kidogo
 
Back
Top Bottom