Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Mungu yupo, period.
Unauliza proof wakati nishakupa proof kwamba, kama Mu gu ni the climax of perfection, basi the climax of perfection is nothingness, therefire God is nothingness, therefore God does not exist.

Pia nimekuonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwepo pamoja na suffering.

Na kwa kuwa suffering ipo, Mungu huyo hayupo.

Hata hujauliza maswali ya maana kuhusu proofs zangu hizo mbili.

Ndiyo maana nasema hujanieleea.

Either that, au ni cognitive dissonance tu.

Pia, contradictions specific za kutoka kwenye Biblia hujazijibu.
 
Unauliza proof wakati nishakupa proof kwamba, kama Mu gu ni the climax of perfection, basi the climax of perfection is nothingness, therefire God is nothingness, therefore God does not exist.

Pia nimekuonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwepo pamoja na suffering.

Na kwa kuwa suffering ipo, Mungu huyo hayupo.

Hata hujauliza maswali ya maana kuhusu proofs zangu hizo mbili.

Ndiyo maana nasema hujanieleea.

Either that, au ni cognitive dissonance tu.

Pia, contradictions specific za kutoka kwenye Biblia hujazijibu.

Nimekuambia huwezi kuongelea entropy bila kuhusisha na system, nothingness umeitoa wapi?

Hawezi kuwepo pamoja na suffering? Kwa nini unamlimit Mungu kuexist pamoja na suffering? He is not limited by anything.

All-Knowing, All-Capable means all possibilities. God can exhibit in an infinite number of ways.
 
Unauliza proof wakati nishakupa proof kwamba, kama Mungu ni the climax of perfection, basi the climax of perfection is nothingness, therefore God is nothingness, therefore God does not exist.

Pia nimekuonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwepo pamoja na suffering.

Na kwa kuwa suffering ipo, Mungu huyo hayupo.

Hata hujauliza maswali ya maana kuhusu proofs zangu hizo mbili.

Ndiyo maana nasema hujanielewa.

Either that, au ni cognitive dissonance tu.

Pia, contradictions specific za kutoka kwenye Biblia hujazijibu.

Kuhusiana na madai yako ya contaradictions nimekupa links kama ambavyo wewe umefanya.
 
Uwepo wa mateso/kuteseka ni "human phenomenon" kuna sayansi inayoelezea kwa mapana na marefu kuhusu "PAIN"

Hata hivyo kuteseka hakuhitaji Mungu aingilie ili pakome bali yote yapo ndani ya uwezo wa mwadamu. Kama ni njaa, tunao uwezo wa kuzalisha chakula. Kama ni magojwa tunazo dawa.

Uchungu/Mateso na kuteseka ni vitu vidogo kwa Mungu. Yeye anahangaika na mambo makubwa zaidi ya yale tufikiriayo. JOB 38-41 Imeandika kwa mapana zaidi.
Unauliza proof wakati nishakupa proof kwamba, kama Mu gu ni the climax of perfection, basi the climax of perfection is nothingness, therefire God is nothingness, therefore God does not exist.

Pia nimekuonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwepo pamoja na suffering.

Na kwa kuwa suffering ipo, Mungu huyo hayupo.

Hata hujauliza maswali ya maana kuhusu proofs zangu hizo mbili.

Ndiyo maana nasema hujanieleea.

Either that, au ni cognitive dissonance tu.

Pia, contradictions specific za kutoka kwenye Biblia hujazijibu.
 
Naona watu wanajifunga bado.
Open-minded tu ndo anaweza kuwaza
Kwa undani hii hoja otherwise ni kupiga ngumi ukuta.
Watu wako kwenye vifungo vya mawazo hawataki kuruhusu new knowledge na kufikiri kwa undani
 
Unauliza proof wakati nishakupa proof kwamba, kama Mungu ni the climax of perfection, basi the climax of perfection is nothingness, therefore God is nothingness, therefore God does not exist.

Pia nimekuonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi kuwepo pamoja na suffering.

Na kwa kuwa suffering ipo, Mungu huyo hayupo.

Hata hujauliza maswali ya maana kuhusu proofs zangu hizo mbili.

Ndiyo maana nasema hujanielewa.

Either that, au ni cognitive dissonance tu.

Pia, contradictions specific za kutoka kwenye Biblia hujazijibu.

Narudia tena, nimejibu proofs zako, tena ya kwanza kwa kutumia sayansi. Huelewi maana ya entropy au umeitumia vibaya, unakubali? Swali la pili nimejibu kwa logic: Kama Mungu ni All-Capable, All-Knowing kwa nini unataka kumlimit? Yo want God to exist or behave in some form, that is not possible because he cannot be limited by anything.

Halafu uwe unakubali kuwa your knowledge is limited, hata knowledge yako ya sayansi unayotaka kuitumia kuprove kuwa Mungu hayupo, unabisha?
 
That what makes the heart beating. That is the soul, and there's a Giver of it.
The Cleveland Clinic, one of the world's most respected hospital, has this to say about what makes the heart beat.

They do not mention the soul.

Your heartbeat is triggered by electrical impulses that travel down a special pathway through your heart: SA node (sinoatrial node) – known as the heart's natural pacemaker. The impulse starts in a small bundle of specialized cells located in the right atrium, called the SA node.

 
Naona watu wanajifunga bado.
Open-minded tu ndo anaweza kuwaza
Kwa undani hii hoja otherwise ni kupiga ngumi ukuta.
Watu wako kwenye vifungo vya mawazo hawataki kuruhusu new knowledge na kufikiri kwa undani

Wewe jamaa umesema una njaa, ni proof tosha huwezi kuwa na mawazo yenye hoja, njaa huwa inavuruga unaweza kujikuta unaharisha badala ya kuongea.
 
Nimekuambia huwezi kuongelea entropy bila kuhusisha na system, nothingness umeitoa wapi?

Hawezi kuwepo pamoja na suffering? Kwa nini unamlimit Mungu kuexist pamoja na suffering? He is not limited by anything.

All-Knowing, All-Capable means all possibilities. God can exhibit in an infinite number of ways.
Nothingness = perfection

If God = perfection, God = nothingness.

Kuhusu suffering, unakubali au unakataa logical consistency?
 
Kuhusiana na madai yako ya contaradictions nimekupa links kama ambavyo wewe umefanya.
Links zimejibu wapi point by point points zote nilizoleta hapa?

Hujaweza kujibu contradiction hata moja ya suffering tu, hizo link hata kuzielewa unazielewa? Kitu gqni kitanipa confidence kwamba hizo links unazieleea kama hata hoja ya suffering tu umeshindwa kuipangua na unaishia kuipinga kwa deus ex machina?

Unaelewa hata deus ex machina ni nini?

Unaelewa hata contradiction ni nini?
 
Uwepo wa mateso/kuteseka ni "human phenomenon" kuna sayansi inayoelezea kwa mapana na marefu kuhusu "PAIN"
Hata hivyo kuteseka hakuhitaji Mungu aingilie ili pakome bali yote yapo ndani ya uwezo wa mwadamu. Kama ni njaa, tunao uwezo wa kuzalisha chakula. Kama ni magojwa tunazo dawa.
Uchungu/Mateso na kuteseka ni vitu vidogo kwa Mungu. Yeye anahangaika na mambo makubwa zaidi ya yale tufikiriayo. JOB 38-41 Imeandika kwa mapana zaidi.
Ona sasa jinsi unavyo jikanyaga! Hueleweki.
 
Uwepo wa mateso/kuteseka ni "human phenomenon" kuna sayansi inayoelezea kwa mapana na marefu kuhusu "PAIN"

Hata hivyo kuteseka hakuhitaji Mungu aingilie ili pakome bali yote yapo ndani ya uwezo wa mwadamu. Kama ni njaa, tunao uwezo wa kuzalisha chakula. Kama ni magojwa tunazo dawa.

Uchungu/Mateso na kuteseka ni vitu vidogo kwa Mungu. Yeye anahangaika na mambo makubwa zaidi ya yale tufikiriayo. JOB 38-41 Imeandika kwa mapana zaidi.
Unaelewa sijauliza kuhusu Mungu kuingilia na nimeuliza kuhusu kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao kuteseka kunaweza kuwepo in the first place?

Unaelewa tofauti ya mawili hayo?
 
Nothingness = perfection

If God = perfection, God = nothingness.

Kuhusu suffering, unakubali au unakataa logical consistency?

Umeitoa wapi hii "Nothingness = perfection"

Perfection si ukamilifu? Ni kivipi ukamilifu inakuwa ni kitu kisichokuwepo?

Na nothingness maana yake ni does not exist?
 
Ona sasa jinsi unavyo jikanyaga! Hueleweki.
Huyu hata haelewi swali ni lipi. Hivyo hawezi kulijibu.

Namuuliza. Kwa nini Baba mwenye uwezo wote, unuzi wote na uoendo wote kajenga nyumba akaiwekea mitego ya mabomu ya nyuklia yanayoweza kuua wanawe?

Anajibu mabomu ya nyuklia ni sehemu ya maisha ya watoto na hakuhusiani na baba kuingilia.

Hata swali hajalielewa.

Hivyo, hawezi kulijibu.
 
Siwezi fahamu sababu ya uumbaji, nifahamu kidogo kile ninacho changia hapa "post creation". Kabla ya uumbaji sifahamu lolote
Unaelewa sijauliza kuhusu Mungu kuingilia na nimeuliza kuhusu kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao kuteseka kunaweza kuwepo in the first place?

Unaelewa tofauti ya mawili hayo?
 
Umeitoa wapi hii "Nothingness = perfection"

Perfection si ukamilifu? Ni kivipi ukamilifu inakuwa ni kitu kisichokuwepo?
Physics.

Nothingness is the lowest possible level of entropy.

Any deviation from nothingness is increase in entropy.

Any increase in entropy is increase in imperfection.

If God is the epitome of perfection, and if the epitome of perfection is nothingness, then God is nothingness.

If God is nothingness, God does not exist.
 
Siwezi fahamu sababu ya uumbaji, nifahamu kidogo kile ninacho changia hapa "post creation". Kabla ya uumbaji sifahamu lolote
Kwa hiyo unamuamini Mungu usiyemuelewa?
 
Back
Top Bottom