Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Lakini sio uchiImekaa vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini sio uchiImekaa vibaya
sioni ni afya kutafuta maadui wa Ndugai kwenye hiyo nafasi. Apewe mtu muwajibikaji, mtenda haki na sheria.
Kumbe NI maadui ?sioni ni afya kutafuta maadui wa Ndugai kwenye hiyo nafasi. Apewe mtu muwajibikaji, mtenda haki na sheria.
Wewe jamaa hujui kitu nenda wewe kasome usituletee ujuaji wako wa kingese wakati huna lolote, qualifications za spika ziko wazi kwenye katibaVijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Tokea wapi au ndio mwendelezo wa bifu alitolewa na timu mwendazake na JYNKuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hii imekaaje wadau?
Kwahiyo we ndio unajua sifa ya kuwa spika! Basi sawa.Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Hiyo labda katiba ya Burundi.Spika wa Bunge sio lazima awe Mbunge, Naibu Spika ndio anapaswa kuwa Mbunge na sio lazima Mbunge wa jimbo
Hiyo labda katiba ya Burundi.
Spika siyo lazima awe mbunge, mbali kuwa wa jimbo au siyo wa jimbo. Sifa ni kuwa mtanzania mwenye sifa zilizoainishwa kwenye katiba. Spika asiye mbunge akipatikana, nadhani atakua mzuri.Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Huyo Zungu mnachompendea ni kipi cha maana? Kiburi chake cha ubunge wa ilala ama what in such?Huyu Maselle, hafahamiki sana uwezo wake kwa siasa za ndani. Kwa nini wasimpe tu Bwana Zungu?
Acha upuuzi bro,hiyo nafasi itatangazwa na watu watagombea kwa kura,sio tetesiKuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hii imekaaje wadau?
Emanuel Mchimbi tena?Kina teyesi kuwa Emmanuel Nchimbi
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hii imekaaje wadau?