Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
hii haijatulia......Imekaa vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii haijatulia......Imekaa vibaya
Siyo sukuma gang huyu?Kabisa Steven Masele anatufaa Sana
Hakwepeshi haki na ukweli
Da! Hapo ndio pabaya zaidi. Nisamehe BrooSiyo sukuma gang huyu?
Au ni msoga by adoption.
Kijani wao wanataka mtu mla vichwa vya wenzie kama hivyo🏃.
ccm ni walewale, kambare.Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Zungu ?!!Huyu Maselle, hafahamiki sana uwezo wake kwa siasa za ndani. Kwa nini wasimpe tu Bwana Zungu?
Mfano?sioni ni afya kutafuta maadui wa Ndugai kwenye hiyo nafasi. Apewe mtu muwajibikaji, mtenda haki na sheria.
Kuwagawa kina nani? Mwenyekiti amesema hamtaki Tulia? Kutokumchagua Tulia ni kwenda kinyume na maslahi ya mapana kitaifa kivipi?Jaribi lolote la kumzuia Tulia Ackson Mwansasu kuwa speaker wa Bunge la JMT litazidi kutugawa.
Bora umoja kuliko mgawanyiko.
Sio kila wakati maslahi ya mtu mmoja(Mwenyekiti) yakubaliwe.
Maslahi mapana ya Taifa na utaifa ziangaliwe.
Mkuu umesoma Katiba ya India.Vijana kasomeni katiba. Katiba inaeleza wazi sifa za mtu anayetaka kugombea nafasi ya spika WA Bunge, Kwa Sifa hizo basi Steven Masele Hawezi kuwa spika WA Bunge Kwa sababu siyo mbunge WA kuchaguliwa kutoka Jimbo la uchaguzi.
Kama itatokea basi Ndugai atakuwa ameruka mkojo na kukanyaga kimba maana Masele hatamuacha salama bungeni kwa jinsi alivyompelekesha.Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Acha mihemko.Kuwagawa kina nani? Mwenyekiti amesema hamtaki Tulia? Kutokumchagua Tulia ni kwenda kinyume na maslahi ya mapana kitaifa kivipi?
Tulia ana nafasi sawa na wengine wote wanaofaa.
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Ulikatika na kuropoka huwezi kuwa na majibu.Acha mihemko.
Kwa maswali ya mihemko?Ulikatika na kuropoka huwezi kuwa na majibu.
Kumtajataja tayari mmemharibiaKuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?