Pre GE2025 Stephen Wasira amjibu John Heche kuhusu umri wake kuwa mkubwa. Asema gari ni injini siyo bodi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata miaka 55 ni umri mkubwa, mbona ameitaja kama ni miaka michache... ukiwa na hiyo miaka unatakiwa uwe umeshaanza kuwaza maisha baada ya kustaafu 🐼
Mzee Wasira yupo vyema sana kiakili na kimwili.
 

..Mzee Wassira badala ya kueneza sera za chama, na kuelezea mema yaliyofanywa na serikali ya CCM, anatumia mwingi kujitetea kuhusu umri wake.
 
Machawa badala ya kumshauri asijibizane na kina Heche, wao wanachochea
Machawa hawanaga akili, mkuu, uyu mzee anakuja fanya jambo ambalo ninaweza peleka nchi kubaya , maana anajua hana cha kupoteza, tutabaki kwenye sintofaham , tunzeni hii, sasa ameanza ita watu vibaka.

Akijibiwa bibaka ndani ya inchi hii ni akina nani atajibu nini sasa
 
We mzee, hebu tuheshimiane bana😅😅

Kunifananisha na huyo ajuza unanivunjia haki zangu
Mzee anasema yeye ni injini. Huyu Mzee kachoka, Gari yenye injini na haina matairi itaenda wapi? Itaishia kupiga makelele hapo hapo ilipo. Bora Gari yenye matairi bila injini, unaweza kuivuta toka Mwanza hadi Dar na ikafika
 
,lissu na heche
HAWA SI NI WAROPOKAJI TU... WANA NINI CHA ZAIDI YA UROPOKAJI

Nini maana ya kuropoka?
kuongea, kuandika au kupiga kelele kwa sauti kubwa, isiyodhibitiwa, au kwa njia ya hasira, mara kwa mara kusema mambo ya kuchanganyikiwa au ya kipuuzi
 
Mzee anasema yeye ni injini. Huyu Mzee kachoka, Gari yenye injini na haina matairi itaenda wapi? Itaishia kupiga makelele hapo hapo ilipo. Bora Gari yenye matairi bila injini, unaweza kuivuta toka Mwanza hadi Dar na ikafika
injini ya bito ya 1934 hako kazee wasira kamekongoroka idara zote
 
Wasira hakuna mtu hapo kuna galasa na mzimu kaja kuwaloga tu
 
HAWA SI NI WAROPOKAJI TU... WANA NINI CHA ZAIDI YA UROPOKAJI

Nini maana ya kuropoka?
kuongea, kuandika au kupiga kelele kwa sauti kubwa, isiyodhibitiwa, au kwa njia ya hasira, mara kwa mara kusema mambo ya kuchanganyikiwa au ya kipuuzi
Uropokaji anao kikongwe wasira yeye anajiongelea hovyo hovyo tu wakati mwingine hajui hata anasema nini, wewe chawa bila shaka ni mnufaika wa Tenda za ccm kwa sasa ndiyo maana umejitoa fahamu kutetea kikongwe kilichopwa kuwa kijijini kikilea vitukuu
 
Hako kazee kamewasusa vitukuu hakataki kukaa nyumbani kawalee kameamua kukalia siasa za maji taka watakapiga pressure hadi kazeeke zaidi na kuishia kujiuzulu mapema ccm wafanye uteuzi tena
 
Huyu mzee ana michepuko kila kona, afu eti anajiita msabato.
 
Niliona clip moja ya Dr.Janabi inasema stress zinapunguza kinga mwilini na hivyo huleta uwezekano wa kupata kansa.
sasa najiuliza uzee ukiongeza na stress zisizo za lazima nadhani matokeo ni mabaya. zaidi
 
Hamna hoja yoyote Ninyi zaidi ya Uropokaji tu
 
Kauli hiyo imekuja muda mchache baada ya John Heche, akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye makao makuu ya CHADEMA, kudai kuwa Wasira amekaa serikalini kwa muda mrefu na hawezi kuleta mawazo mapya kwa kizazi cha sasa chenye changamoto za ajira
Hii hukuona kama ni hoja ya Msingi ya Heche kwamba nchini humu Kuna changamoto kubwa sana ya Ajira, Kiasi kwamba hata vyuo vikuu sasa hivi wanafunzi hawajiandai kuwa watumishi Bora wa taifa hili Bali wananjiandaa kuwa machawa wa viongozi wa chama Cha Mapinduzi. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Ajira na fursa za kujiajiri hakuna, Kwa sababu serikali imeshindwa kuwaza namna Gani itapanua wigo wa Ajira Kwa kuwezesha sekta binafsi na sekta ya kilimo kuaccomodate graduate ambao wanamwagika kwenye labour market Kila siku?
Mbona wewe ni bumunda kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…