Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

Mtoa mada akifafanua majukumu ya wizara yake huyu babu yangu,ntakuja na Maswali, kama atayajibu atakua na sababu ya kumpgia debe babu yangu huyu!,!
Anasimamia TUME YA MIPANGO.

Anasimamia TASAF

Anasimamia MKURABITA

Anasimamia MAHUSIANO YA DINI

Karibu kwa maoni na maswali yako.
 
Huyu ni kibabu kizee sana. Mwaka huu anatimiza miaka 70!!!!!

Dr. Slaa ana miaka mingapi?
Pinda ana miaka mingapi?
Lipumba ana miaka mingapi?
Lowassa ana miaka mingapi?

umemuona Wassira peke yake! hao wote ni agemate wake, mbona unachambua kwa makengeza?
 
Kazi kwelikweli baada ya escrow umehama ccm sasa upo ukawa


Huyo sokwe alikimbia nini nchini wakati wa utawala wa mwl,na baada mwl kuaga dunia akarejea tz??????

Mpaka dakika hii,hakuna ccem hata mmoja amesimama hadharani kupinga UFISADI au kuahidi kuuondoa akipewa madaraka......jee, wasira anaweza kutukamatia jakaya na wenzie?? Majibu tafadhali.
 
yaani kutokua na kashfa tu ndo kigezo cha m2 kuwa raisi!##!!urais wa bongo ni mwepesi kweli!,adi vichaa wanauota mchana kweupe
 
Hata mimi ninaposikia jina la WASSIRA linatajwa kama mgombea urais nafarijika sana.

1.Nafarijika katika uadilifu wake katika utumishi wake.

2.Nafarijika katika uzalendo wake katika taifa hili.

3.Nafarijika namna anavyogushwa na matatizo na umaskini wa watanzania.

4.Nafarijika na namna alivyojipanga kuhakikisha kuwa rasilimali za tanzania kwa ajili ya watanzania kwa manufaa ya watanzania wote.
 
Nani ni Mwenyekiti wa Saidia wasira Ashinde?wana JF tujuzeni maana wanyeviti wengine wanajulikana,Mfano M/kiti wa kamati ya membe ni Mengi na m/kiti wa kamati ya January makamba ni Rostam Azizi.nk
 
hakika wasira akipitishwa na chama ccm itarudisha heshima na taifa litasonga huyo ndiye presider tunayemtaka
 
kama kigezo cha urais ni kutokuwa na kashfa basi anafaa, lakini kiutendaji bado hajanishawishi kuwa anaweza kuipeleka nchi kule tunakotaka.

Hata kiutendaji yupo poa sana huyu jamaa,sema anasifa ya kufanya mambo bila kutafuta SIFA BINAFSI ingekuwa NDIO Akina Fulani ungesikia misifa kibao.KIUKWELI ANAFAA NA SHULE YAKE NI KUBWA SANA DEGREE TATU ZA UCHUMI.
 
Je mwajua kuwa Wassira amekuwa anakaa kwenye nyumba ya Bodi ya Sukari tangu mwaka 2006 bila kulipa pango?

Wassira alipewa nyumba hiyo wakati akiwa Waziri wa Kilimo, lakini kwa sasa cheo chake kinahusiana nini na hiyo nyumba?

Wakati huo huo Wassira ana nyumba nyingine ya serikali!

Yaani ukiona CCM wanakazania kumnadi Wassira kuwa ni msafi pamoja na haya yoooooote, basi ujue kweli chama kimezidiwa na ufisadi. Yaani huyu ndie afadhali!!!!

CCM haifai, ufisadi umeota mizizi ndani yake na hakuna msafiiiiiii.

Source bofya hapa Home
 
Stephen Masato Wasira si jina geni kwa Watanzania, ni jina maarufu. Umaarufu wa Wasira ambaye kwa sasa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu unatokana na mambo mengi.


Haya ndio yamenifanya nianzishe mpango maalum wa kumchunguza kihabari ili niwaoneshe Watanzania upande mwingine wa shilingi kuhusu Mwanasiasa huyo, lakini nakiri kuwa “nimeshindwa kumpata” Wasira katika hilo.

Huyu ndiye Wasira ambaye Mwaka jana aliwatahadharisha Vijana wasomi wa Vyuo Vikuu kutumia taaluma zao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya siasa ili wasiendelee kuwa wateja wa siasa uchwara na “wachumia matumbo”


Nimeshindwa kumpata WASIRA aliyeyasema hayo katika kongamano lililofanyika mkoani Mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali mkoani humo kikiwemo Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Tanzania(SAUT).
Nimeshindwa kumpata kwani kati ya watu niliobahatika kuzungumza nao au niliosoma mandishi yao, hakuna aliyenipa kashfa hata moja inayomgusa Wasira tofauti na upungufu wa kawaida ambao hakuna mtu wa kawaida duniani anayeweza kuukosa.


Baada ya juhudi zangu kushindikana kumpata Wasira ndipo najiuliza “HUYU WASIRA NI MTU WA NAMNA GANI?”
Katika kumtafuta Wasira na dosari zake, nakumbana na Gazeti la Raia Mwema Toleo la 2677 la November ,2013 likiwa na kichwa cha habari kisemacho “Nani ni nani CCM?”


Katika Habari hiyo Gazeti linasema “Stephen Wasira anatajwa kuwa ni mwanasiasa mwenye uwezo wa kuendesha siasa za jukwaani, lakini pia ni mwanasiasa mwenye kupenda siasa za suluhu miongoni mwa wanachama wa CCM, akiwa pia mwiba kwa upande wa vyama vya upinzani kwa wepesi wake wa kujibu mapigo”


Linaongeza”Ingawa CCM haijawahi kuonja historia ya kuwa chama cha Upinzani lakini Wasira amewahi kuingia upinzani na kushinda uchaguzi wa ubunge kupitia NCCR-Mageuzi, akimbwaga aliyepata kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Jaji Joseph Warioba”.


Christopher Gamaina, Mhariri wa Gazeti la Jamhuri , anamtaja Wasira akisema “Sifa moja kubwa anayotajwa kuwa nayo Wasira ni usafi wa kimaadili ndani na nje ya Chama chake (CCM) kwa maneno na matendo ya maisha yake”.
Gamaina anasema ,“ Pia Wasira anatajwa na watu wengi kwamba ni mtu mwenye msimamo imara katika vita dhidi ya Ufisadi ndiyo maana hana doa wala kashfa ya ufisadi, lakini kubwa zaidi anatajwa kama mmoja wa makada wenye utashi na ushawishi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM na mwenye upeo mpana wa kuona mbali”.



Mmoja wa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dar es Salaam aliyetoa maoni yake kwa sharti la kutotajwa jina wala cheo, anasema “Ukiachia nafasi walizopata kuwa nazo wenzake, kati ya wanaosemwa (anamaanisha kuutaka Urais mwaka 2015), Wasira ni msafi kuliko wote kwasababu sijawahi kusikia kashfa yake ni mtu mwenye uzoefu mkubwa katika masuala ya siasa na utawala.


Kwa mujibu wa uchunguzi wa uchunguzi wa makala haya, WASIRA amepata kuwa Mbunge wa Mwibara (mwaka 1970-1975), Bunda (1985-1990),(1995-1996) na (2005-2010). Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010,Wasira alichaguliwa tena kuliwakilisha Jimbo la Uchaguzi la Bunda.

Taarifa zilizopatikana katika mtandao zinasema Wasira pia amepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara (mwaka 1975 hadi 1982) na Mkuu wa Mkoa wa Pwani mwaka 1990 hadi 1991.


Habari hizo za kimtandao zinafahamisha kuwa kati ya mwaka 1982 na 1985, Wasira alikuwa Waziri Mwambata katika Ubalozi wa Tanzania Washngton DC, Marekani na kisha akawa Naibu Waziri wa Kilimo mwaka 1972-1975, na Serikali za Mitaa mwaka 1987-1989.


Kwasasa Wasira ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) na Mbunge wa Bunda mkoani Mara.
November Mwaka jana , mmoja wa wachangiaji katika mtandao wa Jamii Forum(JF) aliandika kuhusu Wasira akisema “Huyu mzee namkubali sana ,kwanza hana makundi katika chama na mzee huyu namkubali pia katika hotuba zake zenye nguvu na ushawishi. Namkubali sana..”


Alipoulizwa kuhusu anavyowajua makada watatu wa CCM wanaotajwa kuhusu kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Mwaka 2015, yaani mawaziri wakuu wazamani, Frederick Sumaye, Edward Lowasa na Wasira, Mratibu wa ULINGO ambayo ni ASASI ya Umoja wa Wanawake katika vyama vya siasa vyenye Wabunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Ave Semakafu, amesema, “Sijaona yeyote kati ya hao anayejali na kuhudumia kwa dhati makundi ya watu walio pembezoni”.


“Wengi wanafanya siasa kavu tu za kuwapa vijana mipira na jezi, wakati wana matatizo magumu yanayowakabili kimaisha. Mipira sio tatizo la Watanzania . Wengine wanasema vijana wamekalia bomu la ajira, lakini hawaoi jawabu la tatizo hilo”.
Anaongeza, “Rais Jakaya Kikwete ndiye amekuwa Mfano bora kwa kuyajali makundi yote ya Watanznia. Amejitahidi hata kuwa karibu na watu na kuweka usawa wa kijinsia.Mfano amejitahidi kuteua majaji wanawake ; ameonesha mfano wa kuinua vijana na wanawake hata katika ule mfuko ulioitwa “Mabilioni ya Kikwete” na kusidia Vijana kupitia mifuko mbalimbali hadi ngazi ya wilaya.”


“Natamani kumpata Mwanasiasa huyu nayetajwa kuwa jasiri asiyeogopa wala kusita kufanya uamuzi mugumu kwa maslahi ya umma” Na nimwambie kimoja wanachosema watu wanaomsema vizuri kwamba zile chagamoto ambazo hajazishughulikia jimboni kwake Bunda, azifanyie kazi.


Nimejitahidi kumtafuta Wasira kwa siku tatu mfululizo nikabahatika “kumpata” kwenye dosari moja waliyonayo Mawaziri karibu wote wa Kikwete kuwa, hawapendi kupokea simu. Hapo nimempata na kumweka kwenye kundi la wabunge na mawaziri wenzake .


Tuachane na hayo; Nimemtafuta Wasira sikumpata, maana nilitaka nimjulishe kuwa kuna mmoja ameshauri afanye juhudi kubwa n haraka ili kukamilisha ‘juhudi zake’ za kuondoa shida ya maji katika maeneo ya Nyamakokoto,Bunda stoo,Nyasura,Migungani na sehemu nyingine.


Bado naendelea “kumtafuta” Stephen Masato Wasira ili nijiridhishe iwapo kweli hana hata kashfa moja kama wanavyosema watu wengi. BADO NAENDELEA KUMTAFUTA.


Makala kwa Hisani ya Gazeti la Pata Habari.

Pole kijana kwa kutumika vibaya na sokwe wako
 
Je mwajua kuwa Wassira amekuwa anakaa kwenye nyumba ya Bodi ya Sukari tangu mwaka 2006 bila kulipa pango?

Wassira alipewa nyumba hiyo wakati akiwa Waziri wa Kilimo, lakini kwa sasa cheo chake kinahusiana nini na hiyo nyumba?

Wakati huo huo Wassira ana nyumba nyingine ya serikali!

Yaani ukiona CCM wanakazania kumnadi Wassira kuwa ni msafi pamoja na haya yoooooote, basi ujue kweli chama kimezidiwa na ufisadi. Yaani huyu ndie afadhali!!!!

CCM haifai, ufisadi umeota mizizi ndani yake na hakuna msafiiiiiii.

Source bofya hapa Home
 
Hata mimi ninaposikia jina la WASSIRA linatajwa kama mgombea urais nafarijika sana.

1.Nafarijika katika uadilifu wake katika utumishi wake.

2.Nafarijika katika uzalendo wake katika taifa hili.

3.Nafarijika namna anavyogushwa na matatizo na umaskini wa watanzania.

4.Nafarijika na namna alivyojipanga kuhakikisha kuwa rasilimali za tanzania kwa ajili ya watanzania kwa manufaa ya watanzania wote.

Umelipwa sh? au ni buku 7 tu?
 
Stephen Masato Wasira si jina geni kwa Watanzania, ni jina maarufu. Umaarufu wa Wasira ambaye kwa sasa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu unatokana na mambo mengi.


Haya ndio yamenifanya nianzishe mpango maalum wa kumchunguza kihabari ili niwaoneshe Watanzania upande mwingine wa shilingi kuhusu Mwanasiasa huyo, lakini nakiri kuwa “nimeshindwa kumpata” Wasira katika hilo.

Huyu ndiye Wasira ambaye Mwaka jana aliwatahadharisha Vijana wasomi wa Vyuo Vikuu kutumia taaluma zao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya siasa ili wasiendelee kuwa wateja wa siasa uchwara na “wachumia matumbo”


Nimeshindwa kumpata WASIRA aliyeyasema hayo katika kongamano lililofanyika mkoani Mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali mkoani humo kikiwemo Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Tanzania(SAUT).
Nimeshindwa kumpata kwani kati ya watu niliobahatika kuzungumza nao au niliosoma mandishi yao, hakuna aliyenipa kashfa hata moja inayomgusa Wasira tofauti na upungufu wa kawaida ambao hakuna mtu wa kawaida duniani anayeweza kuukosa.


Baada ya juhudi zangu kushindikana kumpata Wasira ndipo najiuliza “HUYU WASIRA NI MTU WA NAMNA GANI?”
Katika kumtafuta Wasira na dosari zake, nakumbana na Gazeti la Raia Mwema Toleo la 2677 la November ,2013 likiwa na kichwa cha habari kisemacho “Nani ni nani CCM?”


Katika Habari hiyo Gazeti linasema “Stephen Wasira anatajwa kuwa ni mwanasiasa mwenye uwezo wa kuendesha siasa za jukwaani, lakini pia ni mwanasiasa mwenye kupenda siasa za suluhu miongoni mwa wanachama wa CCM, akiwa pia mwiba kwa upande wa vyama vya upinzani kwa wepesi wake wa kujibu mapigo”


Linaongeza”Ingawa CCM haijawahi kuonja historia ya kuwa chama cha Upinzani lakini Wasira amewahi kuingia upinzani na kushinda uchaguzi wa ubunge kupitia NCCR-Mageuzi, akimbwaga aliyepata kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Jaji Joseph Warioba”.


Christopher Gamaina, Mhariri wa Gazeti la Jamhuri , anamtaja Wasira akisema “Sifa moja kubwa anayotajwa kuwa nayo Wasira ni usafi wa kimaadili ndani na nje ya Chama chake (CCM) kwa maneno na matendo ya maisha yake”.
Gamaina anasema ,“ Pia Wasira anatajwa na watu wengi kwamba ni mtu mwenye msimamo imara katika vita dhidi ya Ufisadi ndiyo maana hana doa wala kashfa ya ufisadi, lakini kubwa zaidi anatajwa kama mmoja wa makada wenye utashi na ushawishi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM na mwenye upeo mpana wa kuona mbali”.



Mmoja wa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dar es Salaam aliyetoa maoni yake kwa sharti la kutotajwa jina wala cheo, anasema “Ukiachia nafasi walizopata kuwa nazo wenzake, kati ya wanaosemwa (anamaanisha kuutaka Urais mwaka 2015), Wasira ni msafi kuliko wote kwasababu sijawahi kusikia kashfa yake ni mtu mwenye uzoefu mkubwa katika masuala ya siasa na utawala.


Kwa mujibu wa uchunguzi wa uchunguzi wa makala haya, WASIRA amepata kuwa Mbunge wa Mwibara (mwaka 1970-1975), Bunda (1985-1990),(1995-1996) na (2005-2010). Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010,Wasira alichaguliwa tena kuliwakilisha Jimbo la Uchaguzi la Bunda.

Taarifa zilizopatikana katika mtandao zinasema Wasira pia amepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara (mwaka 1975 hadi 1982) na Mkuu wa Mkoa wa Pwani mwaka 1990 hadi 1991.


Habari hizo za kimtandao zinafahamisha kuwa kati ya mwaka 1982 na 1985, Wasira alikuwa Waziri Mwambata katika Ubalozi wa Tanzania Washngton DC, Marekani na kisha akawa Naibu Waziri wa Kilimo mwaka 1972-1975, na Serikali za Mitaa mwaka 1987-1989.


Kwasasa Wasira ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) na Mbunge wa Bunda mkoani Mara.
November Mwaka jana , mmoja wa wachangiaji katika mtandao wa Jamii Forum(JF) aliandika kuhusu Wasira akisema “Huyu mzee namkubali sana ,kwanza hana makundi katika chama na mzee huyu namkubali pia katika hotuba zake zenye nguvu na ushawishi. Namkubali sana..”


Alipoulizwa kuhusu anavyowajua makada watatu wa CCM wanaotajwa kuhusu kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Mwaka 2015, yaani mawaziri wakuu wazamani, Frederick Sumaye, Edward Lowasa na Wasira, Mratibu wa ULINGO ambayo ni ASASI ya Umoja wa Wanawake katika vyama vya siasa vyenye Wabunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Ave Semakafu, amesema, “Sijaona yeyote kati ya hao anayejali na kuhudumia kwa dhati makundi ya watu walio pembezoni”.


“Wengi wanafanya siasa kavu tu za kuwapa vijana mipira na jezi, wakati wana matatizo magumu yanayowakabili kimaisha. Mipira sio tatizo la Watanzania . Wengine wanasema vijana wamekalia bomu la ajira, lakini hawaoi jawabu la tatizo hilo”.
Anaongeza, “Rais Jakaya Kikwete ndiye amekuwa Mfano bora kwa kuyajali makundi yote ya Watanznia. Amejitahidi hata kuwa karibu na watu na kuweka usawa wa kijinsia.Mfano amejitahidi kuteua majaji wanawake ; ameonesha mfano wa kuinua vijana na wanawake hata katika ule mfuko ulioitwa “Mabilioni ya Kikwete” na kusidia Vijana kupitia mifuko mbalimbali hadi ngazi ya wilaya.”


“Natamani kumpata Mwanasiasa huyu nayetajwa kuwa jasiri asiyeogopa wala kusita kufanya uamuzi mugumu kwa maslahi ya umma” Na nimwambie kimoja wanachosema watu wanaomsema vizuri kwamba zile chagamoto ambazo hajazishughulikia jimboni kwake Bunda, azifanyie kazi.


Nimejitahidi kumtafuta Wasira kwa siku tatu mfululizo nikabahatika “kumpata” kwenye dosari moja waliyonayo Mawaziri karibu wote wa Kikwete kuwa, hawapendi kupokea simu. Hapo nimempata na kumweka kwenye kundi la wabunge na mawaziri wenzake .


Tuachane na hayo; Nimemtafuta Wasira sikumpata, maana nilitaka nimjulishe kuwa kuna mmoja ameshauri afanye juhudi kubwa n haraka ili kukamilisha ‘juhudi zake’ za kuondoa shida ya maji katika maeneo ya Nyamakokoto,Bunda stoo,Nyasura,Migungani na sehemu nyingine.


Bado naendelea “kumtafuta” Stephen Masato Wasira ili nijiridhishe iwapo kweli hana hata kashfa moja kama wanavyosema watu wengi. BADO NAENDELEA KUMTAFUTA.


Makala kwa Hisani ya Gazeti la Pata Habari.

Kashfa ipi ki afya au ki utawala?
 
Stephen Masato Wasira si jina geni kwa Watanzania, ni jina maarufu. Umaarufu wa Wasira ambaye kwa sasa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu unatokana na mambo mengi.


Haya ndio yamenifanya nianzishe mpango maalum wa kumchunguza kihabari ili niwaoneshe Watanzania upande mwingine wa shilingi kuhusu Mwanasiasa huyo, lakini nakiri kuwa “nimeshindwa kumpata” Wasira katika hilo.

Huyu ndiye Wasira ambaye Mwaka jana aliwatahadharisha Vijana wasomi wa Vyuo Vikuu kutumia taaluma zao kupambanua ukweli na uwongo wa vyama vya siasa ili wasiendelee kuwa wateja wa siasa uchwara na “wachumia matumbo”


Nimeshindwa kumpata WASIRA aliyeyasema hayo katika kongamano lililofanyika mkoani Mwanza na kushirikisha vyuo mbalimbali mkoani humo kikiwemo Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Tanzania(SAUT).
Nimeshindwa kumpata kwani kati ya watu niliobahatika kuzungumza nao au niliosoma mandishi yao, hakuna aliyenipa kashfa hata moja inayomgusa Wasira tofauti na upungufu wa kawaida ambao hakuna mtu wa kawaida duniani anayeweza kuukosa.


Baada ya juhudi zangu kushindikana kumpata Wasira ndipo najiuliza “HUYU WASIRA NI MTU WA NAMNA GANI?”
Katika kumtafuta Wasira na dosari zake, nakumbana na Gazeti la Raia Mwema Toleo la 2677 la November ,2013 likiwa na kichwa cha habari kisemacho “Nani ni nani CCM?”


Katika Habari hiyo Gazeti linasema “Stephen Wasira anatajwa kuwa ni mwanasiasa mwenye uwezo wa kuendesha siasa za jukwaani, lakini pia ni mwanasiasa mwenye kupenda siasa za suluhu miongoni mwa wanachama wa CCM, akiwa pia mwiba kwa upande wa vyama vya upinzani kwa wepesi wake wa kujibu mapigo”


Linaongeza”Ingawa CCM haijawahi kuonja historia ya kuwa chama cha Upinzani lakini Wasira amewahi kuingia upinzani na kushinda uchaguzi wa ubunge kupitia NCCR-Mageuzi, akimbwaga aliyepata kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Jaji Joseph Warioba”.


Christopher Gamaina, Mhariri wa Gazeti la Jamhuri , anamtaja Wasira akisema “Sifa moja kubwa anayotajwa kuwa nayo Wasira ni usafi wa kimaadili ndani na nje ya Chama chake (CCM) kwa maneno na matendo ya maisha yake”.
Gamaina anasema ,“ Pia Wasira anatajwa na watu wengi kwamba ni mtu mwenye msimamo imara katika vita dhidi ya Ufisadi ndiyo maana hana doa wala kashfa ya ufisadi, lakini kubwa zaidi anatajwa kama mmoja wa makada wenye utashi na ushawishi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM na mwenye upeo mpana wa kuona mbali”.



Mmoja wa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dar es Salaam aliyetoa maoni yake kwa sharti la kutotajwa jina wala cheo, anasema “Ukiachia nafasi walizopata kuwa nazo wenzake, kati ya wanaosemwa (anamaanisha kuutaka Urais mwaka 2015), Wasira ni msafi kuliko wote kwasababu sijawahi kusikia kashfa yake ni mtu mwenye uzoefu mkubwa katika masuala ya siasa na utawala.


Kwa mujibu wa uchunguzi wa uchunguzi wa makala haya, WASIRA amepata kuwa Mbunge wa Mwibara (mwaka 1970-1975), Bunda (1985-1990),(1995-1996) na (2005-2010). Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010,Wasira alichaguliwa tena kuliwakilisha Jimbo la Uchaguzi la Bunda.

Taarifa zilizopatikana katika mtandao zinasema Wasira pia amepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara (mwaka 1975 hadi 1982) na Mkuu wa Mkoa wa Pwani mwaka 1990 hadi 1991.


Habari hizo za kimtandao zinafahamisha kuwa kati ya mwaka 1982 na 1985, Wasira alikuwa Waziri Mwambata katika Ubalozi wa Tanzania Washngton DC, Marekani na kisha akawa Naibu Waziri wa Kilimo mwaka 1972-1975, na Serikali za Mitaa mwaka 1987-1989.


Kwasasa Wasira ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) na Mbunge wa Bunda mkoani Mara.
November Mwaka jana , mmoja wa wachangiaji katika mtandao wa Jamii Forum(JF) aliandika kuhusu Wasira akisema “Huyu mzee namkubali sana ,kwanza hana makundi katika chama na mzee huyu namkubali pia katika hotuba zake zenye nguvu na ushawishi. Namkubali sana..”


Alipoulizwa kuhusu anavyowajua makada watatu wa CCM wanaotajwa kuhusu kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Mwaka 2015, yaani mawaziri wakuu wazamani, Frederick Sumaye, Edward Lowasa na Wasira, Mratibu wa ULINGO ambayo ni ASASI ya Umoja wa Wanawake katika vyama vya siasa vyenye Wabunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Ave Semakafu, amesema, “Sijaona yeyote kati ya hao anayejali na kuhudumia kwa dhati makundi ya watu walio pembezoni”.


“Wengi wanafanya siasa kavu tu za kuwapa vijana mipira na jezi, wakati wana matatizo magumu yanayowakabili kimaisha. Mipira sio tatizo la Watanzania . Wengine wanasema vijana wamekalia bomu la ajira, lakini hawaoi jawabu la tatizo hilo”.
Anaongeza, “Rais Jakaya Kikwete ndiye amekuwa Mfano bora kwa kuyajali makundi yote ya Watanznia. Amejitahidi hata kuwa karibu na watu na kuweka usawa wa kijinsia.Mfano amejitahidi kuteua majaji wanawake ; ameonesha mfano wa kuinua vijana na wanawake hata katika ule mfuko ulioitwa “Mabilioni ya Kikwete” na kusidia Vijana kupitia mifuko mbalimbali hadi ngazi ya wilaya.”


“Natamani kumpata Mwanasiasa huyu nayetajwa kuwa jasiri asiyeogopa wala kusita kufanya uamuzi mugumu kwa maslahi ya umma” Na nimwambie kimoja wanachosema watu wanaomsema vizuri kwamba zile chagamoto ambazo hajazishughulikia jimboni kwake Bunda, azifanyie kazi.


Nimejitahidi kumtafuta Wasira kwa siku tatu mfululizo nikabahatika “kumpata” kwenye dosari moja waliyonayo Mawaziri karibu wote wa Kikwete kuwa, hawapendi kupokea simu. Hapo nimempata na kumweka kwenye kundi la wabunge na mawaziri wenzake .


Tuachane na hayo; Nimemtafuta Wasira sikumpata, maana nilitaka nimjulishe kuwa kuna mmoja ameshauri afanye juhudi kubwa n haraka ili kukamilisha ‘juhudi zake’ za kuondoa shida ya maji katika maeneo ya Nyamakokoto,Bunda stoo,Nyasura,Migungani na sehemu nyingine.


Bado naendelea “kumtafuta” Stephen Masato Wasira ili nijiridhishe iwapo kweli hana hata kashfa moja kama wanavyosema watu wengi. BADO NAENDELEA KUMTAFUTA.


Makala kwa Hisani ya Gazeti la Pata Habari.
Ati Wassira hana kashfa?
Soma magazeti ya leo, kahodhi nyumba ya Sukari na halipo kodi ipasavyo toka 2010.
Hapo uadilifu wapi na wapi?
 
Hebu tupe mchanganuo wa hiyo kashfa,alikula shilingi ngapi na nani?
Mnakosa cha kuongea na sasa Unabuni tu lolote unaloona linafanana na huko alikotoka,
Najua ni vigumu sana kwa mtu mwanasiasa kuwa Karina siasa kwa kipindi kirefu namna hiyo halafu akakosa doa, lakini kuhusu Wassira na uadilifu hawezi kutenganishwa.

Natamani nimpate mtu aliye na kashfa dhidi yake iliyo wazi na inayoeleweka tumjue kiundani.

Otherwise Hongera Mzalendo Wassira.

Aliiba tairi
 
Ni kada mkongwe kivipi maana Wassira alihama CCm na kwenda akihamahama kama vyama vinne hivi, mwishowe aliunda chake, hicho hata hakikuwa na ofisi. Nauliza hivi ukiwa CCM miaka 20, ukahamia chamakingine ukirudi CCM umri wako chamani unakuwa upi au unaunganishiwa? Nijibuni wajameni.

Pili, kuhusu kashfa hilo ni kweli. HANA KASHFA ya ufisadi hata chembe. Tumseme mengine lakini siyo ufisadi.

Tatu, kifamilia kidogo ana kadoa. Mara kesi za hapana pale na wanafamilia na hadi watoto wake wa kuzaa. Hilo linaweza kusemwa ni la binafsi, vinginevyo Wassira hana doa.

Alidanganya umma wa watanzania kuwa cdm ingekufa kabla ya mwaka 2013.
 
Kuna hiyo kitu ya kubadili hati za nymba ya bodi ya sukari PAC wameagiza airudishe cjui kama ina qualify kuwa kashfa au al.
 
Huyu hajawahi kuwa kada wa NCCR-Mageuzi na kisha kufungiwa kufanya siasa? Au ni mwingine pengine ninawachanganya.
 
Back
Top Bottom