Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasira ana usafi gani mbona anapenda Milungula na alishajengewa mjumba hapo Dar na Mhindi mmoja hivi.
Ana umri gani huyu mzee maana amekuwa mtawala tangu sijazaliwa hadi sasa nina zaidi ya miaka 40. Ndo maana taifa hili haliendelei akili zile zile miaka nenda rudi
Umri wake ni unakaribiana na wa Padre Mstaafu Dkt. Slaa. Yeye ana miaka 69 walati Dkt. Slaa anayo 70. Nani mzee kati ya hawa?
Only in the United Republic of Gombewatanzania ndio mmekuwa wapumbavu kiasi hiki??