mtahengerwa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 384
- 173
Sijui kama hao ndo wanaweza kumpa nafasi ya kugombea nafasi hiyo hizo ni mbwembwe tu kuchombeza mambo, ila ki ukweli Tyson bado sana
Bado kivipi labda kama bado hajapata fedha za kuhonga wapiga kura nitakuelewa lakini kama ni uwezo tu anao

