Stereo Singasinga album yako kali sana, inabidi ujiongeze

Stereo Singasinga album yako kali sana, inabidi ujiongeze

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Moja kati ya wasanii wachache wa Hiphop nchi hii naoweza kukaa na kuwasikiliza ni Stereo aka Singasinga aka Chundabadi.

Katoa album kali sana inaitwa Experience, naweza sema ni kati ya album kali sana za Hiphop ya kizazi hiki.

Nachoshangaa ukienda YouTube hakuna wimbo uliofikisha views 100 na nimejaribu kutazama jamaa ana subscribers hata 50 awafiki.

Yani watu wa Hiphop hapo ndio wananifanya nawashangaa hawapo serious kabisa na biashara yao.

Alafu yeye ana encourage watu wanunue album kwa mfumo wa kuzituma WhatsApp. Sijui shule alienda kupoteza muda au vp

Huyu jamaa album yake ni kali sana laiti kama angewekeza vya kutosha ingemlipa sana ila no promotion no strategies za kueleweka.

Unafanya colabo kali na Rayvanny unashindwa kutoa hata kichupa cha mkopo album iende town.

Kweli Hiphop is dead.
 
Katoa album kali sana inaitwa Experience, naweza sema ni kati ya album kali sana za Hiphop ya kizazi hiki.

Nachoshangaa ukienda YouTube hakuna wimbo uliofikisha views 100 na nimejaribu kutazama jamaa ana subscribers hata 50 awafiki.

Hapa unamaanisha kwenye album hii hakuna wimbo uliofikisha views 100 au kwa ngoma zake za nyuma zilizopo YouTube...?

Na kuna time nilisikia kama alikuwa Wasafi au ni maneno ya watu...?

Pia niliskia A.Y ndio anam-manage au pia ni maneno ya watu tu...?
 
Hapa unamasnisha kwenye album hii hakuna wimbo uliofikisha views 100 au kwa ngoma zake za nyuma zilizopo YouTube...?

Na kuna time nilisikia kama alikuwa Wasafi au ni maneno ya watu...?

Pia niliskia A.Y ndio anam-manage au pia ni maneno ya watu tu...?
Wasafi wakitakaga kumsaini sema hiphop biashara yake ni ngumu.

AY ni mwanae tu anamkubali.
 
Wasafi wakitakaga kumsaini sema hiphop biashara yake ni ngumu.

AY ni mwanae tu anamkubali.

Sasa hao wote kama wapo nae connected wanashindwa vipi kumtengenezea njia wakati kazi nzuri tayari anazo...?

Kama suala ni mkwanja anashindwa vipi ku-sign nao mkataba wakatoa fungu mzigo uende then kwenye mapato wakagawana asilimia...?
 
Sasa hao wote kama wapo nae connected wanashindwa vipi kumtengenezea njia wakati kazi nzuri tayari anazo...?

Kama suala ni mkwanja anashindwa vipi ku-sign nao mkataba wakatoa fungu mzigo uende then kwenye mapato wakagawana asilimia...?
Biashara ya hiphop ni ngumu...mwanangu mwanangu kibao.

Alafu wasanii wa hiphop vichwa vyao kama haziwatoshi unaweka hela leo kesho unakuta kapewa interview katukana radio zote na hawatakagi kuongozwa.
 
One Incredible unampa nafasi ya ngapi pale?

Mi naona kama One na Singa wanafanana ila tatizo One uzungu mwingi tofauti na Singa neno baada ya neno linaskika, One mpaka umskilize maneno kwa kuyatafuta hivi, anayang'ata sana...!

Sjui kwa wengine coz kila mtu na sikio lake mzee, hawajapishana sana na Singa ila Singa ni zaidi ya One ka Lucky Dube mzee baba...!
 
Back
Top Bottom