rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
huelewi, nmejaribu kukuonesha jinsi tupo deep na hao jamaa. Kama nawafata kinasani ntashindwa shows?Kilingeni huko sijui matamasha ya Kinasa???
Sasa huko kuna kulipia.
Wee jamaa kumbe unaishi kwa anko na anko ni dereva bodaboda!! Naelewa sasa kwa nini upo so bitter na kila kitu kwenye life πππππ2016 alikuwa anakuja mara kibao kwa anko ili ampeleke Wasafi kwa bodaboda. Enzi hizo wasafi bado wako Sinza.
Kwani nilikwambia naishi Masaki?Wee jamaa kumbe unaishi kwa anko na anko ni dereva bodaboda!! Naelewa sasa kwa nini upo so bitter na kila kitu kwenye life πππππ
Uyu oneSoma tenzi zenye vina, mi ndo shina toka enzi,
nikifa ... sitemi nina mimina, wengi wamepimwa, mimi sitopimwa kama wengi. ...
Hii ni CLassics we ni Moko wa Miujiza'.
Yah one namwelewa sanaUyu one
Jina la hii ngomaPicha inaanza niko border na run, bongo jua kali and im get older nadhani.../
Niko high kama nimevuta mboga ya man, so get ready nimeshaweka order ya gun.../
Sijulikani basata, nafanya yangu masaka, niko chimbo machaka, mwili mzima machata.../
washa taa, giza likitanda huja mashaka.../
Siwajui na sina haja kipi mnataka?
Ukonga ndo nyumbani si kigogo, skonga niliumiza ndonga si kidogo.../
Usiache shule mziki haulipi dogo, kua hapa kuna hitaji miaka wiki ndogo.../
Tena nakuja kama basha kama mende, sio kila mamba ni mamba wengine kenge.../
Watoto wapo kwenye mic wape peremende, acha iende mbele kwa mbele kanyaga twende.../