Harvey ana bahati mbaya na wanawake. Aache kuoa tu. Kama sikosei huyu ni mke wake wa 4. Baada ya kuvunja ndoa 3.Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada.
Yamemkuta Leo, Amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!!
Fear women of this kind.
Kumbafu.View attachment 2729672
Women are the devil in disguise....fear women i tell u
Nakubali 🧢. Me mwenyewe niliwahi kupigwa ndoige moja matata baada ya kuomba lift kwenye mtumbwi wa kibwengoWomen are the devil in disguise....fear women i tell u
NMie nikisemega hapa kuwa wanawake mashetani oh mzabzab ana roho mbaya....aya nimekaa pale wale ambao mnaendelea kuwapenda hawa viumbe endeleeni na ujinga wenu
NDOA NI LAANAAcha mbwembwe dunia ndo inakuprogam uone ivyo ili uendelee na uzinzi. Ndoa au familia ni kitu muhimu sana katika jamii na kujiepusha na madhalimu mengi endapo utafata kanuni za Muumba.
Huo ni Ukweli 100% Yamenikuta,ni hatari SANAWanaume sie ni Waongo ila wanawake ni Wanafiki kabisa.
Mwanamke akiwa na Upwiru ananyea kambi afu akija kustuka kazingua anakaza komwe anavunja ndoa kwajili ya Ny*g*
Hapo hizo Pesa anazitaka anapelekewa Bodyguard.
Falsafa yangu ni moja Demu akikubali kumwacha Bwana wake kwajili yangu nami ninamwacha immediately huyo ni Bomu.
Sasa akiwapa nasaha za ndoa mlikuwa mnamsikiliza?Harvey ana bahati mbaya na wanawake. Aache kuoa tu. Kama sikosei huyu ni mke wake wa 4. Baada ya kuvunja ndoa 3.
Na amezaa nao wote steve ana.watoto.kibao wa mama tofauti tofauti