denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
Njoo nikuoeSolution ni Uislam tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo nikuoeSolution ni Uislam tu.
Samahani mkuu, huyo ndio nani huko daslam kwani...??Siku akidinyiwa criss mahuki mbingu zitatukuzwa
Tuwachukie ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]Mie nikisemega hapa kuwa wanawake mashetani oh mzabzab ana roho mbaya....aya nimekaa pale wale ambao mnaendelea kuwapenda hawa viumbe endeleeni na ujinga wenu
Mpaka unanyimwa na kunjikunyata ujue wewe ni dhaifu-Alpha male's rulesWanawake wakikosea hawaombi msamaha !wanakunyima ILI uwaombe wao msamaha!
HUWA nawashanhaa sana!!
[emoji2956]Acha mbwembwe dunia ndo inakuprogam uone ivyo ili uendelee na uzinzi. Ndoa au familia ni kitu muhimu sana katika jamii na kujiepusha na madhalimu mengi endapo utafata kanuni za Muumba.
[emoji2956][emoji2956]Mtu anaejidai anawajua wanawake wanachotaka ni wa kumpima akili..[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu anaejidai anawajua wanawake wanachotaka ni wa kumpima akili..[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu motivation speaker wa maisha ya ndoa.Hahahaha.Ila umri, itakua inasimama sekunde tu inalala.
[emoji1787][emoji1787]Tupe mwanamke alichonifanyia.
Et naomba tuachane.
Nikamuuliza sababu nini akasema hakuna sababu ni maamuzi tu!
Nikasema nitabaki kuwatomb... tu sana tena huruma na hawa viumbe
2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.Mtu anaejidai anawajua wanawake wanachotaka ni wa kumpima akili..🤣
[emoji1787][emoji1787]Siku akidinyiwa criss mahuki mbingu zitatukuzwa
Kwa hiyo waislamu hawagongewi?!!![emoji15][emoji15]Solution ni Uislam tu.
[emoji1787][emoji1787]12 Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]Huyo sidhani kama atatombesha anaonekana anampenda sana Mungu
[emoji120][emoji1787]2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
3 Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
4 Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.
5 Sarai akamwambia Abramu, Ubaya ulionipata na uwe juu yako; nimekupa mjakazi wangu kifuani mwako, naye alipoona kwamba amepata mimba, mimi nimekuwa duni machoni pake. Bwana na ahukumu kati ya mimi na wewe.
6 Naye Abramu akamwambia Sarai, Tazama, mjakazi wako yu mkononi mwako, mtendee lililo jema machoni pako. Sarai akamtesa, naye akakimbia kutoka mbele yake.
[emoji2956][emoji7][emoji120]1 Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;
2 wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu.
3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
4 bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
5 Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
6 Kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana; nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa kwa hofu yo yote.
7 Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
Ndio.Na mkewe alikuwa Muislam?