jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Mbona kama ni rumous tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena nwarabu kabisaNa mkewe alikuwa Muislam?
Duuuu,amekuwa na talk show kuhusu mahusiano na bado kachemsha,sii mchezoAlikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada.
Yamemkuta Leo, Amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!!
Fear women of this kind.
Kumbafu.View attachment 2729672
Acha kutishia wenzako mkuu,acha waweke vyombo ndani[emoji1]Women are the devil in disguise....fear women i tell u
Mwamposa mwenyewe hana mke hawa watu ni shida.Mchungaji vipi tena ameshindwa kukemea mapepo
Jay Zee mwenyewe kuna wakati alijaribiwa na bodyguards ni majeshi ya Illuminati tuu ndo yaliokoa ndoa hiyo,alichapiwa kama kawa lakin Beyonce akili ikamjia baada ya Illuminati kiungilia kati
Mambo Haya ni magumu sana,shetani akikuzidi nguvu Unaweza ondoka na uhai wa mtu,Mungu tujalie uvumilivu,busara na kisamehe,Ina umiza SANAJay Zee mwenyewe kuna wakati alijaribiwa na bodyguards ni majeshi ya Illuminati tuu ndo yaliokoa ndoa hiyo,alichapiwa kama kawa lakin Beyonce akili ikamjia baada ya Illuminati kiungilia kati
Rumors , Ila ange counter maana his years of reputations is ruined with this rumors . In short Huu ni ukweli . Anatafuta njia nzuri ya ku publish the truth . Hata watoto pia wamemute . 😂😂 they could say something.Mbona kama ni rumous tu
Kataa ndoa
You nailed itAll Women are Devils, Only your mother might be good to you but she is still a Devil to your father.
I wonder when Men say they can't understand women, How can you understand something which was created when you were sleeping?
Marriage is Big Scam.
🤣🤣🤣🤣 Hamna shida waweke tuu vyombo ndani ila wasije wakajidanganya kuwa mbususu yao pekee....ni Karne ya kushare mbususuAcha kutishia wenzako mkuu,acha waweke vyombo ndani[emoji1]
Hatari mzeya hizi ndioge ukipigwa aisee hutatamani kufuga hawa viumbe...mie nilipigwa moja matata ya " huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni"Nakubali 🧢. Me mwenyewe niliwahi kupigwa ndoige moja matata baada ya kuomba lift kwenye mtumbwi wa kibwengo
Huko nako tabu tupu, wake zako watakuroga mpaka basiSolution ni Uislam tu.
Piga MIMBA hio ndio Adhabu yao pekee wanayoweza kuivumilia na itakuheshimisha Maisha yako yote maana ni alama ya USHINDIAcha tuu wanawake wa maneno makali sana jamani alafu hawana shukran na very very selfish
Boss acha kuchukua nafasi za watu.Karibu mwenyekit.ili swala la steve unalizungumziaje?
Alichezea za USO alipokua anaanza hali ilikua ngumu maeneo ya sinza kula ya tabu ukiangalia una mke na mtoto mmoja, mke akiona isiwe KESI akaingia mitini Ila Sina hakika km alimuacha ni yeye ndio aliachwa na mkeweM
Mwamposa mwenyewe hana mke hawa watu ni shida.
Unajipakulia minyama tu haya tupe JD mwenyekiti wa CHAPUTA majukumu yako ya kazi ni yapi?