Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada.
Yamemkuta Leo, Amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!!

Fear women of this kind.
Kumbafu.View attachment 2729672
Duuuu,amekuwa na talk show kuhusu mahusiano na bado kachemsha,sii mchezo
 
Jay Zee mwenyewe kuna wakati alijaribiwa na bodyguards ni majeshi ya Illuminati tuu ndo yaliokoa ndoa hiyo,alichapiwa kama kawa lakin Beyonce akili ikamjia baada ya Illuminati kiungilia kati
Mambo Haya ni magumu sana,shetani akikuzidi nguvu Unaweza ondoka na uhai wa mtu,Mungu tujalie uvumilivu,busara na kisamehe,Ina umiza SANA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubali 🧢. Me mwenyewe niliwahi kupigwa ndoige moja matata baada ya kuomba lift kwenye mtumbwi wa kibwengo
Hatari mzeya hizi ndioge ukipigwa aisee hutatamani kufuga hawa viumbe...mie nilipigwa moja matata ya " huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni"
Acha tuu wanawake wa maneno makali sana jamani alafu hawana shukran na very very selfish
 
Mm labda namatatizo mke wa ujana wangu tumezaa na watoto 3 tumeishi ndoani miaka 20.hata nimfumanie kama tajir na yy namuacha Tajiri. No hard feelings sometimes kujua ukweli unasalitiwa ni zawadi toka kwa muumba mm mali unachukua nachokunyanganya ni mapenzi ya moyo wangu .Mimi girlfriend tu kuna mmoja nilijitambulisha hadi kwa mamake demu hakuwa muhuni (kwa tafiti zangu) ila
1. Mlevi mbwa
2.hana nidhamu ya hela kabisaa
3.anaendeshwa na makundi ya vikoba
Siku namuacha nlimwita mama yake mzazi akiwa kanirudia asubuhi na kajikojolea .nkamkabidhi mamake 5m (kumbuka mm wa wastan sio tajir) nilimwambia amTafuteni biashara mm nimeishia hapo pamoja na kujua katoka liwa maana mama nilimpa na sms za mwanae ambae alikuwa amezima kwa ulevi kwa kochi.
 
Acha tuu wanawake wa maneno makali sana jamani alafu hawana shukran na very very selfish
Piga MIMBA hio ndio Adhabu yao pekee wanayoweza kuivumilia na itakuheshimisha Maisha yako yote maana ni alama ya USHINDI

Narudia Mwanamke mpe MIMBA

Acha kujifanya unawajua sana

Mwanamke anaweza akachukua Pesa kwako iwe umemuhonga au umempa km mkeo akaichukua hio Pesa akaipeleka kwa mwanaume mwingine usiemjua ili tu amgonge wakati huo wewe amekugomea usimgonge yaan anasikia uvivu

$200M bodyguard anataka kulipwa kwa kumgonga mke wa Steve
 
Back
Top Bottom