Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

Harvey ana bahati mbaya na wanawake. Aache kuoa tu. Kama sikosei huyu ni mke wake wa 4. Baada ya kuvunja ndoa 3.

Na amezaa nao wote steve ana.watoto.kibao wa mama tofauti tofauti
Steve alizaa na wake wawili wa mwanzo. Watoto watatu wa huyu mwanamke wa sasa aliempiga tukio, sio wa kwake. Aliwa-adopt baada ya kumuoa huyu changu. Alifinyiwa kwa ndani mara moja tu, akajipa majukumu ya ubaba kwa wototo wasio wa kwake.

Lakini pia, ndoa yake ya pili ilivunjika baada ya mkewe kumnasa akichepuka na huyu mwanamke anaemwagana nae sasa hivi. Mkewe (wa pili) alipodai talaka, haka kachangudoa kakamuwekea Steve mwanasheria wa kumsaidia ili mkewe asipate kiasi kikubwa. Sasa hivi mambo yamegeuka!

Inaonekana Steve amekua simp kitambo sana kwa huyu mwanamke. Maana ilifikia hatua mwanamke anasema live kwenye media, kwamba Steve hawezi shughuli za chumbani. Ila jamaa bado likawa linakaza fuvu kujifanya mahaba niue. Sasa mpishi wake wa kiume kamega tunda kimasikhara kabisa, na mwanamke anataka talaka iambatane na mgao wa nusu ya utajiri wake.

I still remember watching that damn movie, "think like a man, act like a woman". Vile masela walikua wanalalamika, "Steve is a traitor". Alijifanya kuwajua sana wanawake, he didn't see it coming. He could have used his own advice!
 
Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada.
Yamemkuta Leo, Amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!!

Fear women of this kind.
Kumbafu.View attachment 2729672
Huyu motivation speaker wa maisha ya ndoa.Hahahaha.Ila umri, itakua inasimama sekunde tu inalala.
 
Back
Top Bottom