Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tupe uzoef wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe uzoef wako
Sio wote😃😃Mie nikisemega hapa kuwa wanawake mashetani oh mzabzab ana roho mbaya....aya nimekaa pale wale ambao mnaendelea kuwapenda hawa viumbe endeleeni na ujinga wenu
Pole Sana wazoee hata uko uendako tegemea Makuu zaidi.
Ni muongozo au ni utaratibu mheshomiwa?
bado mtoto sana,kama mwili wako una miaka mingi basi anza zoezi la kuifanya akili yako ipate akili.lAcha mbwembwe dunia ndo inakuprogam uone ivyo ili uendelee na uzinzi. Ndoa au familia ni kitu muhimu sana katika jamii na kujiepusha na madhalimu mengi endapo utafata kanuni za Muumba.
Steve alizaa na wake wawili wa mwanzo. Watoto watatu wa huyu mwanamke wa sasa aliempiga tukio, sio wa kwake. Aliwa-adopt baada ya kumuoa huyu changu. Alifinyiwa kwa ndani mara moja tu, akajipa majukumu ya ubaba kwa wototo wasio wa kwake.Harvey ana bahati mbaya na wanawake. Aache kuoa tu. Kama sikosei huyu ni mke wake wa 4. Baada ya kuvunja ndoa 3.
Na amezaa nao wote steve ana.watoto.kibao wa mama tofauti tofauti
Ndio ndoa zao hazivunjiki?Solution ni Uislam tu.
Huyu motivation speaker wa maisha ya ndoa.Hahahaha.Ila umri, itakua inasimama sekunde tu inalala.Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada.
Yamemkuta Leo, Amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!!
Fear women of this kind.
Kumbafu.View attachment 2729672
Hata zikivunjika zina Sharia yake, hakuna kuumizana.Ndio ndoa zao hazivunjiki?
FafanuaSolution ni Uislam tu.
Hata huku kwingine pia kuna sheria zinatumika, na sheria ni msumeno!Hata zikivunjika zina Sharia yake, hakuna kuumizana.
Hakimi ni muislamu ila alijihami mapemaHata zikivunjika zina Sharia yake, hakuna kuumizana.
Na mkewe alikuwa Muislam?Hakimi ni muislamu ila alijihami mapema
.Ni muongozo au ni utaratibu mheshomiwa?