Mwanamke katika Uislam ana haki tena kapendelewa kuliko mwanamme.🤣🤣🤣 Wanawake wa kiislam ni watumwa wa mwanaume,hawana haki yoyote,wale wanawachukulia ni watumwa wao wa ngono
Mwamba ni motivational speaker. Hawa watu ukiwasikiliza unaweza hisi ni perfectionists wa kila wanachokiongea ila dah. They do struggle mbaya kabisa.Hivi mpaka Leo Kuna watu na akili timamu kbsa wanapewa semina kuhusu mahusiano? Yani mi siwezi nikasoma kitabu kuhusu mahusiano au kuhudhuria semina ...manake kama una akili timamu bila kushurutishwa majukumu ya ndoa au jinsi ya kubehave inajulikana kbsa
🤣🤣🤣🤣 Wee nae haya bana wee wapende hao wanawakeHatuwezi kupenda wanaume. Acha wanawake wafanye wafanyayo.
Formula nikupenda mbususu zenu tuu na kuwatia mimbaHakunaga formula
Niliwahi sema kamwe usije ukajifanya wewe ndio mtaalam wakuishi na mke au mume amini amini nakwambia jogoo hatowika ujasema Bora ningejuwa ndoa yenye bilingi bilingi itadumu mpaka ushangae. Huyo ndio Sir God.Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa-handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao, mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada. Yamemkuta leo, amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!
Fear women of this kind. Kumbafu.
Ishu sio kusimama inaweza ikasimama ila bao ni moja tu 🤣Huyu motivation speaker wa maisha ya ndoa.Hahahaha.Ila umri, itakua inasimama sekunde tu inalala.
Mzee baba limemkuta jamboSteve alizaa na wake wawili wa mwanzo. Watoto watatu wa huyu mwanamke wa sasa aliempiga tukio, sio wa kwake. Aliwa-adopt baada ya kumuoa huyu changu. Alifinyiwa kwa ndani mara moja tu, akajipa majukumu ya ubaba kwa wototo wasio wa kwake.
Lakini pia, ndoa yake ya pili ilivunjika baada ya mkewe kumnasa akichepuka na huyu mwanamke anaemwagana nae sasa hivi. Mkewe (wa pili) alipodai talaka, haka kachangudoa kakamuwekea Steve mwanasheria wa kumsaidia ili mkewe asipate kiasi kikubwa. Sasa hivi mambo yamegeuka!
Inaonekana Steve amekua simp kitambo sana kwa huyu mwanamke. Maana ilifikia hatua mwanamke anasema live kwenye media, kwamba Steve hawezi shughuli za chumbani. Ila jamaa bado likawa linakaza fuvu kujifanya mahaba niue. Sasa mpishi wake wa kiume kamega tunda kimasikhara kabisa, na mwanamke anataka talaka iambatane na mgao wa nusu ya utajiri wake.
I still remember watching that damn movie, "think like a man, act like a woman". Vile masela walikua wanalalamika, "Steve is a traitor". Alijifanya kuwajua sana wanawake, he didn't see it coming. He could have used his own advice!
Mdini kwenye moja na mbiliSolution ni Uislam tu.
Acha tuu bro...iliniuma sana. Wee umejitoa kumuhudumia mwanamke alafu siku mambo yameyumba kidogo tuu mtu anakwambia hivyo...its painful. Yaani yule mbwa nikikutana nae huko motoni....😃😃 Kila uzi hii kauli mzabzab unaiandika.
Wee bwana mwanamke ambae mwanaume mwenzio kamshindwa usijidai wewe kidume shupavu..matokeo yake ndio haya sasa.Steve alizaa na wake wawili wa mwanzo. Watoto watatu wa huyu mwanamke wa sasa aliempiga tukio, sio wa kwake. Aliwa-adopt baada ya kumuoa huyu changu. Alifinyiwa kwa ndani mara moja tu, akajipa majukumu ya ubaba kwa wototo wasio wa kwake.
Lakini pia, ndoa yake ya pili ilivunjika baada ya mkewe kumnasa akichepuka na huyu mwanamke anaemwagana nae sasa hivi. Mkewe (wa pili) alipodai talaka, haka kachangudoa kakamuwekea Steve mwanasheria wa kumsaidia ili mkewe asipate kiasi kikubwa. Sasa hivi mambo yamegeuka!
Inaonekana Steve amekua simp kitambo sana kwa huyu mwanamke. Maana ilifikia hatua mwanamke anasema live kwenye media, kwamba Steve hawezi shughuli za chumbani. Ila jamaa bado likawa linakaza fuvu kujifanya mahaba niue. Sasa mpishi wake wa kiume kamega tunda kimasikhara kabisa, na mwanamke anataka talaka iambatane na mgao wa nusu ya utajiri wake.
I still remember watching that damn movie, "think like a man, act like a woman". Vile masela walikua wanalalamika, "Steve is a traitor". Alijifanya kuwajua sana wanawake, he didn't see it coming. He could have used his own advice!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mwamshe huyoKwa hiyo mtu akimpenda mkewe hawezi kucheat ?!! [emoji15]
Haya dadanguu
Duh being nice as a man equals being foolish to most women 🚺Never be a nice guy. To women a nice guy means a foolish guy.
Steve was a nice guy.
These kinds of stuff always happens to nice guys
Mwaisa amepitia magumu Sana,kiukweli safari ya mafanikio ni sawa na kuchoma dhahabu ili kupata kidani cha kuvaaAlichezea za USO alipokua anaanza hali ilikua ngumu maeneo ya sinza kula ya tabu ukiangalia una mke na mtoto mmoja, mke akiona isiwe KESI akaingia mitini Ila Sina hakika km alimuacha ni yeye ndio aliachwa na mkewe
Halafu bao lenyewe linawahi kuja.Ishu sio kusimama inaweza ikasimama ila bao ni moja tu 🤣
Dr Mwaka? Yule jamaa wa foreplan kliniki yenye matangazo ya dawa za mifumo ya uzazi yanayoonyeshwa karibu chaneli zote za kibofonya?Alianza masanja, kaja Dr Mwaka, sasa hivi Steve sijui nani atafuatia
Mkuu, ivi wewe ndo ungekua Mwamposa ungeitaji mke kweli?M
Mwamposa mwenyewe hana mke hawa watu ni shida.
Ulianzaje kubishana na mwanamke boss?Hatari mzeya hizi ndioge ukipigwa aisee hutatamani kufuga hawa viumbe...mie nilipigwa moja matata ya " huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni"
Acha tuu wanawake wa maneno makali sana jamani alafu hawana shukran na very very selfish