Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

🤣🤣🤣 Wanawake wa kiislam ni watumwa wa mwanaume,hawana haki yoyote,wale wanawachukulia ni watumwa wao wa ngono
Mwanamke katika Uislam ana haki tena kapendelewa kuliko mwanamme.

Uliza unataka kuelewa haki ipi tukupe darsa. Ngoja nianze:

Unafahamu kuwa mwanamke wa Kiislam haolewi, bali anaowana na mumewe?

Haya tueleze wa Kikristo anaowana au anaolewa na mumewe? Ukipata jibu useme ni nani hapo mtumwa?
 
Mwamba ni motivational speaker. Hawa watu ukiwasikiliza unaweza hisi ni perfectionists wa kila wanachokiongea ila dah. They do struggle mbaya kabisa.
 
Niliwahi sema kamwe usije ukajifanya wewe ndio mtaalam wakuishi na mke au mume amini amini nakwambia jogoo hatowika ujasema Bora ningejuwa ndoa yenye bilingi bilingi itadumu mpaka ushangae. Huyo ndio Sir God.
 
😄 😄 😄 😄 😄
Mzee baba limemkuta jambo
 
Wee bwana mwanamke ambae mwanaume mwenzio kamshindwa usijidai wewe kidume shupavu..matokeo yake ndio haya sasa.
Janamke mitoto kibao wee unaluoa la nini....ni kuligegedua tuu
 
Never be a nice guy. To women a nice guy means a foolish guy.

Steve was a nice guy.

These kinds of stuff always happens to nice guys
Duh being nice as a man equals being foolish to most women 🚺
 
Alichezea za USO alipokua anaanza hali ilikua ngumu maeneo ya sinza kula ya tabu ukiangalia una mke na mtoto mmoja, mke akiona isiwe KESI akaingia mitini Ila Sina hakika km alimuacha ni yeye ndio aliachwa na mkewe
Mwaisa amepitia magumu Sana,kiukweli safari ya mafanikio ni sawa na kuchoma dhahabu ili kupata kidani cha kuvaa
 
Alianza masanja, kaja Dr Mwaka, sasa hivi Steve sijui nani atafuatia
Dr Mwaka? Yule jamaa wa foreplan kliniki yenye matangazo ya dawa za mifumo ya uzazi yanayoonyeshwa karibu chaneli zote za kibofonya?
Mbona kuna time alitutambia yuko na wake watatu na wote analala nao kitanda kimoja? Mwaka kama Mwaka au ni Mwaka Mwakalebela???
 
Hatari mzeya hizi ndioge ukipigwa aisee hutatamani kufuga hawa viumbe...mie nilipigwa moja matata ya " huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni"
Acha tuu wanawake wa maneno makali sana jamani alafu hawana shukran na very very selfish
Ulianzaje kubishana na mwanamke boss?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…