Eeh yaani pamoja na kupewa tahadhari zote bado ukajifumbukiza kwa ndoa😲😲😲kandoa kangu kanamaliza mwaka sasa 😅😅.. bado miaka 29 ya graduation
Sasa warembo wote hawa waliokuwepo duniani wee ukaona bora utulia na mmoja? Una moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh yaani pamoja na kupewa tahadhari zote bado ukajifumbukiza kwa ndoa😲😲😲kandoa kangu kanamaliza mwaka sasa 😅😅.. bado miaka 29 ya graduation
...upo sahihiFalsafa yangu ni moja Demu akikubali kumwacha Bwana wake kwajili yangu nami ninamwacha immediately huyo ni Bomu.
😅😅 mke ni rafiki yangu wa kuduma mkuu. Hao wanawake dunia nzima hutowala na kumaliza kila siku matoto mazuri tu kama yamejiumba.. ila inafika kipindi nikaona acha niwe ma mshikaji wangu mmoja wa kudumu mwana wa kweli..Eeh yaani pamoja na kupewa tahadhari zote bado ukajifumbukiza kwa ndoa😲😲😲
Sasa warembo wote hawa waliokuwepo duniani wee ukaona bora utulia na mmoja? Una moyo
Mkuu umemeza mgodi wà geita nini , umetema madini kinyama mkali[emoji110]️[emoji110]️Wanaume sie ni Waongo ila wanawake ni Wanafiki kabisa.
Mwanamke akiwa na Upwiru ananyea kambi afu akija kustuka kazingua anakaza komwe anavunja ndoa kwajili ya Ny*g*
Hapo hizo Pesa anazitaka anapelekewa Bodyguard.
Falsafa yangu ni moja Demu akikubali kumwacha Bwana wake kwajili yangu nami ninamwacha immediately huyo ni Bomu.
Kwani hawapigwi matukio au? Huko madrasa ulisomea ujinga[emoji16][emoji16]Solution ni Uislam tu.
Tunaishi nao tunawaona Mkuu.Mkuu umemeza mgodi wà geita nini , umetema madini kinyama mkali[emoji110]️[emoji110]️
Chuo cha Ujinga😂Kwa hawapigwi matukio au? Huko madrasa ulisomea ujinga[emoji16][emoji16]
Kwa majibu haya kweli mwanaume ujidanganye kuoa....mhm wacha tuwatie mimba tuu.
Iv drone sio mwenyekiti wa nyeto kwa afya?
Kama kufuga ndevu ni uislamu mimi nitakua ni sheikh mkuu bakwata[emoji1787][emoji28]Habari mpya zinasema huo wote ni uzushi wa wasiomtakia mema Steve Harvey.
Wameogopa alipoanza kufuga ndevu wakajuwa hyu sas anankuwa Muislam, wanaanza kumchafuwa kwa ujinga ujinga tu.
Sasa hivi kuna vita kubwa huko Hollywood, makampuni yameacha ushindani kwenye kazi zao sasa wanafanya "character assassination" ya hali ya juu.
Na wewe umeshauamini uongo wa mtandao?Kwani hawapigwi matukio au? Huko madrasa ulisomea ujinga[emoji16][emoji16]
Kama kufuga ndevu ni uislamu mimi nitakua ni sheikh mkuu bakwata[emoji1787][emoji28]
US kupigwa tukio kwenye ndoa ni jambo la kawaida , ni kwel kabsa uislamu unalinda sna maslai ya mwanaume, kwa hapo nawapa👊👊👊👊Na wewe umeshauamini uongo wa mtandao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatarii tupuAisee nmeumia kama Steve baba yangu. Alivyokua anatamba na mkewe Maskini
[emoji625][emoji625]Never be a nice guy. To women a nice guy means a foolish guy.
Steve was a nice guy.
These kinds of stuff always happens to nice guys
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado Chris Mauki[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wameshushuliwaa.Wamewajibu huko kwamba they're fine,muachege kuingilia mambo binafsi ya family za watu.
Kwann wawaza kuwa nyie ndo mna uwezo wa kulisha tu,ilhal saivi kuna wenzenu marioo kibao,wasio na Cha ziada zaidi ya hizo mbupu?Hawa viumbe ni kuwa piga Mbupu tu.
Ukimlisha Dona na Dagaa na maji ya chumvi imeisha hiyo.
Sasa wewe peleka chuo mara lipa mahari uje kulia siku moja.
Mwanamke kutiwa mimba ni jukumu lake la msingi au mlitaka wanaume mtiane mimba nyie wenyewe?🤣🤣Kwa majibu haya kweli mwanaume ujidanganye kuoa....mhm wacha tuwatie mimba tuu.