Basi njoo unizalie mtoto kama ni jukumu lako la msingiMwanamke kutiwa mimba ni jukumu lake la msingi au mlitaka wanaume mtiane mimba nyie wenyewe?🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi njoo unizalie mtoto kama ni jukumu lako la msingiMwanamke kutiwa mimba ni jukumu lake la msingi au mlitaka wanaume mtiane mimba nyie wenyewe?🤣🤣
Mie nishazaa na wangu wawili wanatoshaBasi njoo unizalie mtoto kama ni jukumu lako la msingi
Mi sio kazi yake kwangu ni starehe...Kwann wawaza kuwa nyie ndo mna uwezo wa kulisha tu,ilhal saivi kuna wenzenu marioo kibao,wasio na Cha ziada zaidi ya hizo mbupu?
🤣🤣🤣Wanafugwa na kutumikishwa kingono na mabossy lady mjini
Kalaghabaho
Isitoshe ky..uma ndo kazi yake,kama ulikuwa hujui,babu weeh,huwezi ikomoa hata siku moja,manake ndo kazi yake
Au mwenzetu elimu hiyo huna?
😃😃 Kila uzi hii kauli mzabzab unaiandika.Hatari mzeya hizi ndioge ukipigwa aisee hutatamani kufuga hawa viumbe...mie nilipigwa moja matata ya " huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni"
Acha tuu wanawake wa maneno makali sana jamani alafu hawana shukran na very very selfish
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume enyewe siku hizi hawapoo, wapoo marioos na mapapai tyuuuhKwann wawaza kuwa nyie ndo mna uwezo wa kulisha tu,ilhal saivi kuna wenzenu marioo kibao,wasio na Cha ziada zaidi ya hizo mbupu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanafugwa na kutumikishwa kingono na mabossy lady mjini
Kalaghabaho
Isitoshe ky..uma ndo kazi yake,kama ulikuwa hujui,babu weeh,huwezi ikomoa hata siku moja,manake ndo kazi yake
Au mwenzetu elimu hiyo huna?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke kutiwa mimba ni jukumu lake la msingi au mlitaka wanaume mtiane mimba nyie wenyewe?[emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo hamuwakomoiMi sio kazi yake kwangu ni starehe...
Tena ule muda unasubiria wazungu watoke alaaah.
Kwa mara ya kwanza nakubaliana na ww dawa ni kuoa wanawake wengiSolution ni Uislam tu.
Ww kweli bariedaMm labda namatatizo mke wa ujana wangu tumezaa na watoto 3 tumeishi ndoani miaka 20.hata nimfumanie kama tajir na yy namuacha Tajiri. No hard feelings sometimes kujua ukweli unasalitiwa ni zawadi toka kwa muumba mm mali unachukua nachokunyanganya ni mapenzi ya moyo wangu .Mimi girlfriend tu kuna mmoja nilijitambulisha hadi kwa mamake demu hakuwa muhuni (kwa tafiti zangu) ila
1. Mlevi mbwa
2.hana nidhamu ya hela kabisaa
3.anaendeshwa na makundi ya vikoba
Siku namuacha nlimwita mama yake mzazi akiwa kanirudia asubuhi na kajikojolea .nkamkabidhi mamake 5m (kumbuka mm wa wastan sio tajir) nilimwambia amTafuteni biashara mm nimeishia hapo pamoja na kujua katoka liwa maana mama nilimpa na sms za mwanae ambae alikuwa amezima kwa ulevi kwa kochi.
Ndio nnachoupendea uislam wanawake hawanaga haki kabisa ni pure mfumo dume ,nitafunga ndoa ya kiislamu warrahiSolution ni Uislam tu.
Mwanamke katika Uislam ana haki tena kapendelewa kuliko mwanamme.Ndio nnachoupendea uislam wanawake hawanaga haki kabisa ni pure mfumo dume ,nitafunga ndoa ya kiislamu warrahi
🤣🤣🤣 Wanawake wa kiislam ni watumwa wa mwanaume,hawana haki yoyote,wale wanawachukulia ni watumwa wao wa ngonoNdio nnachoupendea uislam wanawake hawanaga haki kabisa ni pure mfumo dume ,nitafunga ndoa ya kiislamu warrahi
🤣 Hahahahah pole sana mkuuNakubali 🧢. Me mwenyewe niliwahi kupigwa ndoige moja matata baada ya kuomba lift kwenye mtumbwi wa kibwengo
Hatuwezi kupenda wanaume. Acha wanawake wafanye wafanyayo.Mie nikisemega hapa kuwa wanawake mashetani oh mzabzab ana roho mbaya....aya nimekaa pale wale ambao mnaendelea kuwapenda hawa viumbe endeleeni na ujinga wenu
🤣 Kwan yeye alikuwa hatmbi?Sasa akiwapa nasaha za ndoa mlikuwa mnamsikiliza?
Ndoa ni kutom....sio maneno