Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati huo mie nilikuwa boya...sikuwajua hawa viumbe kudeal nao...mjinga nilikuwa mie.Ulianzaje kubishana na mwanamke boss?
Very trueMarriage is Big Scam.
Ndie anaye miliki kisiwa Cha mirembe huko Zanzibar😁😂Samahani mkuu, huyo ndio nani huko daslam kwani...??
Mirembe ni hoteli ya nyota 5 hapa Mpumalanga kwa Madiba...🤣😜Ndie anaye miliki kisiwa Cha mirembe huko Zanzibar😁😂
Aisee🤣😂😂😁, hii familia iki kanidhiwa nchi, wata jutaa😂🤣Mirembe ni hoteli ya nyota 5 hapa Mpumalanga kwa Madiba...🤣😜
Hii imeenda 🤣Mshauri w ndoa nae kachapiwa
Mwenzenu nyie mkitapatapa na mapenzi yeye ndio anapiga hela kwa kisingizio cha kuwafanyia counseling etiMaana anawatoaga sana akili waume zetu waonekane hawajui kutuhandle wakati wapo busy wanatafuta pesa na alitushauri kabisaa tuwaache wakisema Wana mchongo wanausikilizia eti huyo tujue ni kanjanja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii taarifa ina ukweli au udaku ?
Sure.Never be a nice guy. To women a nice guy means a foolish guy.
Steve was a nice guy.
These kinds of stuff always happens to nice guys
Kumbe ye mwenyewe anahitaji counsellingMwenzenu nyie mkitapatapa na mapenzi yeye ndio anapiga hela kwa kisingizio cha kuwafanyia counseling eti
Bora tu nilizaliwa Afrika manake ningezaliwa huko ningefanya mauaji ya halaiki, wanawake ktk hizi nchi za Uropa na Amerika wanawafanya wanaume kama misukule. Unaangaika na maokoto ukishaokota okota anajipendekeza unaoa, ukishaoa anaenda anagongwa na mtu mwingine alafu ukisema tu SU, anaomba talaka na kisha kinachofuata ni mgawo wa maokoto. SMG ingemhusu yeye na ukoo wake wote, pamoja na mbwa, dada wa nyumba, na shamba boy. Shubaamit.Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa-handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao, mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada. Yamemkuta leo, amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!
Fear women of this kind. Kumbafu.
😂😂😂😂NDOA NI LAANA
NDOA NI WIZI
KEMEA NDOA, TOKOMEZA NDOA
ACHA KUPIGWA SASA
Lakini hata MWAKA naye ni mshauri au nakosea...NDOA NI LAANA
NDOA NI WIZI
KEMEA NDOA, TOKOMEZA NDOA
ACHA KUPIGWA SASA