Steve kabuye, jamaa alikuwa fresh sana, umenikumbusha Niko chuo kipindi hicho dah, uko vizuri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma ili tumjue au hujaelewa mmmhnimekurahisishia handle yake ya IG unaweza mfollow nakuona picha zake, ila sijui picha zake zinakusaidia nini..?
Pamoja manSteve kabuye, jamaa alikuwa fresh sana, umenikumbusha Niko chuo kipindi hicho dah, uko vizuri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, those days kuna watu bana. John Dilinga Matlou, DJ JD.Binafsi the cruise naifahamu ya dj jd tu, hao wengine sikuwahi waskia kwenye hicho kipindi
inaitwagajeNimeshapata 6, kituo kiko tayari kwenye majaribio na mikataba walishasign, kingine kipi unataka kufahamu..?
Sio RFA ni Kiss fmHivi 'Tobby the Splash' alikuwaga RFA yuko wapi? Ila kiukweli jamaa wa radio zamani walikuwa wakali sana.
Katoa wimbo then akatokomea kwao UgandaWatoto wa siku hizi watamjulia wapi, nakumbuka kuanza kumsikia Kiss FM alikuwa na ngoma zilizotulia, akahamia EA Radio, ila the Cruise ilibamba zaidi kipindi cha Amo Blaze.
Yes Mchana!! Anapiga ngeli ya kufa mtu huku kapiga glass zake nyeusi hatari faya.nimejaribu kumzungumzia Steve ambae kipindi yuko EA Radio, Star TV ndio alikuwa anaendesha hiko kipindi cha muda mrefu sana kilikuwa kinaruka saa7 mchana kama sikosei
Acha tu ukija starTv taarifa ya habari kuna mrembo JOAN ITANISA na pia alikuwa anatangaza kipindi Dunia ya Urembo ila kwa sasa huyu dada kuna Shavu kala kama Msemaji hivi juzi juzi nilimsikia akihojiwa sema nimekuta mwishoni nikashindwa kujua ana represent kampuni gani.Hivi 'Tobby the Splash' alikuwaga RFA yuko wapi? Ila kiukweli jamaa wa radio zamani walikuwa wakali sana.
Akianza tu DJ JD mixing zake lazima utajua yupo in da house lazima aanza na Amyth 123 au Justin Timberlake ft Timberland oh no au Luv dont Love me -erick benet hiyo ni 2001-2002Binafsi the cruise naifahamu ya dj jd tu, hao wengine sikuwahi waskia kwenye hicho kipindi
Watu wanatamani Nyakati zirudi nyumaAISEE NI KWELI WEWE UNAMJUA DJ JD VIZURI SABABU KWENYE PLAY LIST YAKE HIZO NYIMBO HAZIKOSEKANAGI ONGEZEA JA RULE BETWEEN ME AND YOU,
HASWA HUO WA AMYTH 123 SIJAWAHI KUUSIKIA KWA MA DJ HAWA WENGINE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa miaka hiyo 2001, kuna watoto ndio wamezaliwa , na sasa hv ndio wanatapika shit wakiwa nyuma ya keyboard na kuona ww hujui kitu, Daahhh hahahahAkianza tu DJ JD mixing zake lazima utajua yupo in da house lazima aanza na Amyth 123 au Justin Timberlake ft Timberland oh no au Luv dont Love me -erick benet hiyo ni 2001-2002
Yuko Mwanza huko huyo Dada kawa Kibonge sikuhiziAcha tu ukija starTv taarifa ya habari kuna mrembo JOAN ITANISA na pia alikuwa anatangaza kipindi Dunia ya Urembo ila kwa sasa huyu dada kuna Shavu kala kama Msemaji hivi juzi juzi nilimsikia akihojiwa sema nimekuta mwishoni nikashindwa kujua ana represent kampuni gani.