Haha wadada wakishavuka 30 wanabongeka sana!!Yuko Mwanza huko huyo Dada kawa Kibonge sikuhizi
Acha tu mkuu,watoto wanajifanya wanajua sana kumbe weupe!! Yaani tunawatwanga kote kote old skool na Nu skoolSasa miaka hiyo 2001, kuna watoto ndio wamezaliwa , na sasa hv ndio wanatapika shit wakiwa nyuma ya keyboard na kuona ww hujui kitu, Daahhh hahahah
Ok sawa sawa nilijua aliondoka moja kwa mojaAlirudi baadae, Dj Chriss ndio alisepa mazima kwao
hyo radio inaitwa nn..?Inaitwagaje ndio nini..?
Nikiwazaga hii point hamu ya kuwa na chombo kimoja inaisha....Haha wadada wakishavuka 30 wanabongeka sana!!
Hakuna Jinsi "AKISHUSHA ENGINE" lazima abadilike......Mademu wazuri hawaishi mkuu.Nikiwazaga hii point hamu ya kuwa na chombo kimoja inaisha....
nibuji kama Ayo basiBado unahitaji nikuelekeze jinsi ya kuuliza swali..?,
Hiyo redio inaitwaje..?
Iko Mkoa gani..?
Frequency zake ni zipi..?
Vipi Online inapatikana..?
Uliza kama hivo basi