msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 683
- 551
Mkuu mtu akijadiliwa maana yake ni chuki binafsi?hizi zinaitwa chuki bila sababu! fatenu yenu kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha uzi huu
hizi zinaitwa chuki bila sababu! fatenu yenu kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha uzi huu
Hawa si ndo waliosababisha wasanii wasiungane na wema kwenye msiba wa baba yake kwa kuwa wema haudhurii misiba ya wenzie , ila kipind cha ramadhan kutwa walikuwa wanafutur kwa madame , Jamaa huyu ni mnafki, wema hana sauti apa kwa kuwa Steve kashamkuwadia sna kwa mapedeshee hapa town, alichomshaur ni cha kweli asilimia mia , tatizo y awek public huu ushaur?? Kwan sisi unatuus?? Kwan hana namba ya wema?? Juzi alifanya ivi ivi kwa kajala eti anadai anamshauri aache kutoka na bwana wa wema , halaf aka post IG sasa huyu ni kiongoz kweli? Kwan nn hakuwatafuta wema na k akawashaur pemben, so instagram ndo kaona dili? Japokokuwa apo juu kaongea sahihi , na ukweli unauma
Na wapambe wake ndio mnaingia kazini sasa,haya twende kazi.
Mkuu warumi asante kwa kuelewa ninacho maanisha.
Steve kama kiongozi angekuwa ana busara asinge tumia njia hii kinyume chake na yeye anataka malumbano ili magazetii yaandike.
Hivi kwanini huwa anapenda malumbano na mabinti wa bongo movie?
wewe pimbi hebu kaa huko shambani kwako, mambo ya mjini waachie watoto wa mjini wenyewe tunaujuwa upuuzi wa steve.inategemea ni jinsi gani mnamjadili mtu, kama kunajambo baya kalifanya litajeni, lakina hamna jambo baya lolote alilofanya mlilolitaja! ndo maana nikasema chuki isiyo na sababu
Mkuu ni wazi huyu jamaa ana tatizo na kama ana kosa busara za kuongoza.Jamaa ana kamfumo dume flan ivi , anatak kuonekana yeye ndo yeye , akisema kitu Kasema , juzi alizinguana na batuli demu akamchana live , anawaonea akina wema kwa kuwa anawakuwadia kwa mapedeshee hvyo wema hawez ongea kitu atajifanya kama hajasikia
Mkuu kama umefatilia comment zangu utagundua nini tunasema na sababu ya kumjadili.inategemea ni jinsi gani mnamjadili mtu, kama kunajambo baya kalifanya litajeni, lakina hamna jambo baya lolote alilofanya mlilolitaja! ndo maana nikasema chuki isiyo na sababu
Kwanini walimchagua?Bongo movie wengi hawampendagi , hata yeye analijua hili , maana ni mchonganish na mnafk.
Kwanini walimchagua?
Au hakuwa hivi?
Steve ni tatizo lingine la bongo movie.
inasemekana kipindi cha uchaguzi Steve nyerere alipata support kubwa sana kutoka kwa mapedeshee wenye pesa chafu , hvyo walihakikisha mdau wao huyo wa ukuwadi anashinda , na si unajua nguvu ya pesa ilivyo?? Hata kama hupendwi hutapendwa tu kwa ajili ya pesa , uongoz wake aliupata kwa nguvu ya pesa chafu za vigogo
Uchaguzi haukuwa na rushwa yoyote warumi acha uongo, kuna vitu vilivyomfanya jamaa achaguliwe kimojawapo ni uchaguzi wa 2015 atawaunganisha wasanii na wanasiasa kwenye kampeni, angalia uchaguzi wa ridhiwani chalinze na alivyowapeleka wenzake kutambulishwa na CCM akati ye kajifungia ndani na mke wake
Ukiwa msanii wa filamu ukigombana na steve jiandae kumuomba msamaha hata kama akiwa siyo kiongozi wa bongo movie
Afu kweli umaarufu shomboo tu! Hauna mashiko umri nao unakimbia...
inasemekana kipindi cha uchaguzi Steve nyerere alipata support kubwa sana kutoka kwa mapedeshee wenye pesa chafu , hvyo walihakikisha mdau wao huyo wa ukuwadi anashinda , na si unajua nguvu ya pesa ilivyo?? Hata kama hupendwi hutapendwa tu kwa ajili ya pesa , uongoz wake aliupata kwa nguvu ya pesa chafu za vigogo
Umri unakimbia akati ana miaka 22 bado kinda sana
Sasa kwanini ana msema wema wakati hata yeye ana kula kupitia Migongo ya watu?
Sasa ana tofauti gani na Wema?
Kweli Nyani aoni...........