safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
habari za siku nyingi ndugu msomaji,natumai ni mzima na Mungu aendelee kutubariki.
Hivi karibuni msanii wa movie Steve nyerere alionekana akilalamika juu ya yale yanayofanywa na waumini fulani wa Ukristo kwamba ni sio sawa na ni kukashifu dini.
Aidha bwana huyu alikuwa akitolea mifano na kulinganisha na dini ya kiislamu namna wanavyoheshimu dini yao kwa mambo mengi.
USHAURI WANGU ; asichoswe na ukristo kwa yale yanayofanywa na wakristo,kuna wakristo na ukristo,kama yeye ameamua na ni mfuasi kweli wa KRiSTO basi asikatishwe tamaa na yanayofanywa na wakristo kwa sababu yeye anafuata dini na sio watu wa dini hiyo.
Akija na hii mindset kwenye uislamu pia hatodumu kwa sababu wapo watu wa aina hiyo pia wanaokashifu uislamu na ilhali wao pia ni waislamu,hivyo nako atahama ? atahamia wapi ambako hakuna hayo ?
Hivyo kama anataka kuhama aamue kwa sababu ya kwamba ameona ndio njia ambayo imemridhisha kiimani na sio vinginevyo.
Kuna baadhi ya mashekhe wanasema kwamba wakristo wanaheshimu viongozi wao wa dini na kuwathamini na kutolea mifano mambo mengi mazuri kwao,je steve akisikia haya kwa mashekhe atarudi kwenye ukristo ?
Kwenu kwa maoni.
Hivi karibuni msanii wa movie Steve nyerere alionekana akilalamika juu ya yale yanayofanywa na waumini fulani wa Ukristo kwamba ni sio sawa na ni kukashifu dini.
Aidha bwana huyu alikuwa akitolea mifano na kulinganisha na dini ya kiislamu namna wanavyoheshimu dini yao kwa mambo mengi.
USHAURI WANGU ; asichoswe na ukristo kwa yale yanayofanywa na wakristo,kuna wakristo na ukristo,kama yeye ameamua na ni mfuasi kweli wa KRiSTO basi asikatishwe tamaa na yanayofanywa na wakristo kwa sababu yeye anafuata dini na sio watu wa dini hiyo.
Akija na hii mindset kwenye uislamu pia hatodumu kwa sababu wapo watu wa aina hiyo pia wanaokashifu uislamu na ilhali wao pia ni waislamu,hivyo nako atahama ? atahamia wapi ambako hakuna hayo ?
Hivyo kama anataka kuhama aamue kwa sababu ya kwamba ameona ndio njia ambayo imemridhisha kiimani na sio vinginevyo.
Kuna baadhi ya mashekhe wanasema kwamba wakristo wanaheshimu viongozi wao wa dini na kuwathamini na kutolea mifano mambo mengi mazuri kwao,je steve akisikia haya kwa mashekhe atarudi kwenye ukristo ?
Kwenu kwa maoni.