HahahahaMbuzi amefia kwa muuza supu
Huyu mzee Steve Mengele mwizi sana wa rambirambi![HASHTAG]#SteveNyerere[/HASHTAG] amewajibu watu wanaolalamika kuhusu pesa za rambirambi za msiba wa [HASHTAG]#Masogange[/HASHTAG] kutofika kwa familia na kuwaambia mchango ulikuwa wa mtoto wa marehemu na zitamsaidia kwa ada na anashangaa watu wanavyolalamika kuhusu mchango huo kutowafikia mkononi wakati ata arobaini bado na kawasisitizia kwa kusema utaratibu utafanyika na pesa hizo zitafanya shughuli za mtoto na sio kupewa mtu mkononiView attachment 771248
Kama malaika mkuu alizipiga za tetemeko unategemea wapambe wake wafanye nini?Huyu mzee Steve Mengele mwizi sana wa rambirambi!