Steve Nyerere Dubai, muendelezo wa Chawa wa Mama kujipanga kutetea DP World?

Steve Nyerere Dubai, muendelezo wa Chawa wa Mama kujipanga kutetea DP World?

Wataalam wa mambo ya biologia wanasema maumbile ya binadamu yanafanana kwa jinsi urefu wake ulivyo.


Steve Nyerere asamehewe bure,,

Kuanzia maumbile yake mafupi hadi akili yake pia fupi..
 
Hivi ccm nani aliwaloga?
Mnachukua hadi mazwazwa kama hawa ndio waje wawatete?
Hivi kweli hii ni akili?
 
Iko hivi
1.Watanzania wengi ni wajinga ,
2.Watanzania wengi wanaaminni mitandao
3.Watanzania wengi wanaamini watu maarufu
4.Wasanii hao wana wafuasi wengi ( watanzania)
5.kupitia hayo hapo juu ni rahisi kuwatumia hao waigizaji
Je Wamefanikiwa ? kwa Utafiti nilioufanya hata wale wabongo wanaoitwa wajinga wamepinga moja kwa moja mkataba wa kuuza bandari , hadi nimeshangaa !
 
Sasa huyu ana utimamu na ufahamu gani mpaka atumiwe kushawishi na watu waamini asemacho? nadhani alikuwa na safari zake tu ukuwadi.
 
Amekwenda kuvishwa shanga tu za kiunono huyo Bwege hakuna lolote linalohusina na Ishu za Bandari!!!
 
IMG_7387.jpg

IMG_7381.jpg

IMG_7386.jpg
 
Je Wamefanikiwa ? kwa Utafiti nilioufanya hata wale wabongo wanaoitwa wajinga wamepinga moja kwa moja mkataba wa kuuza bandari , hadi nimeshangaa !
Kosa kubwa, ni kwamba wametaka kushindana na hali halisi kwa picha za uongo
 
Back
Top Bottom