Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
U Bashite huo......Hii kitu inakera sn avatar zipo nyingi lkn utashangaa mtu anakuja kuidandia hata mm iliishanitokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U Bashite huo......Hii kitu inakera sn avatar zipo nyingi lkn utashangaa mtu anakuja kuidandia hata mm iliishanitokea.
"Mti wangu" ile kampeni sijui iliishia wapi labda alikuwa anakusudia mti mkubwaYupo sahihi, tujiulize mambo gani ambayo makonda kayaanza na akayamaliza kwa kufanikiwa
Kuvamia Studio za CMG alimaliza na kufanikiwa.Yupo sahihi, tujiulize mambo gani ambayo makonda kayaanza na akayamaliza kwa kufanikiwa
Yupo sahihi, tujiulize mambo gani ambayo makonda kayaanza na akayamaliza kwa kufanikiwa
Nikitekwa uwe na uhakika nitapatikana b4 jumapili. Source nenda kwa mange kimambikan'tangaze siyo vzuri kunyimana bhana.
bas nipe source ya info na mie nika zisake
Hako kajamaa bana...huwa nakaona kama sisimizi vile...
usjali ntahikikisha hutekwiNikitekwa uwe na uhakika nitapatikana b4 jumapili. Source nenda kwa mange kimambi
hahahhhhhsorry heb nieleweshe fresh umemanisha nini, inaonekana kuna madini unataka kuyatoa
ww n NgabuHako kajamaa bana...huwa nakaona kama sisimizi vile...
Steve Nyerere amedai kuwa kupigania Bongo movie dhidi ya maharamia wa filamu feki ni batili na za kujitafutia umaarufu kwa kuwa hilo ni suala la kitaifa linalotakiwa kuratibiwa nchi nzima na wakuu wote wa mikoa na polisi na sio Dar tu kwa kuwa vitu vingi vinavyovyoanzishwa hapa Dar vinafeli,
Pia alisema pia Makonda aliwaita watu watano, na tasnia ya filamu haiongozwi na watu hao
sawa mkuu naona umebadili I'dYup...ndo mimi.