Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
itakua life ban mpk umekuja na nyingine pole sana NgabuNah wala sijabadili.
Ile ingine imefungiwa ndo maana nimekuja na hii...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itakua life ban mpk umekuja na nyingine pole sana NgabuNah wala sijabadili.
Ile ingine imefungiwa ndo maana nimekuja na hii...
Mh we sio NgabuNah wala sio permanent ban....narudi leo leo...
hahahhh hapo sawa nimeaminiHahahaaa Shualina huamini? Haya bana...
Hii avatar ni ya Nyani Ngabu bhanaHako kajamaa bana...huwa nakaona kama sisimizi vile...
DABMchapakazi Paul Christian Makonda anaweka mchango wake kwenye himaya yake i.e. Dar Es Salaam, sasa habari ya wakuu wa mikoa nchi nzima inatoka wapi tena.? Kwa hiyo Makonda ndio azunguke nchi nzima kuwahamasisha wakuu wa mikoa.?
Huyu Steve Nyerere ana elimu gani hawezi kuchambua hata hii dhana.
Kwa hiyo kwa akili ya Steve, Makonda asipambane na uhalifu wa kazi za wasanii jijini Dar mpaka Rais au Waziri mwenye dhamana atamke.? hapa Steve kapotoka. kila jambo huwa lina chanzo chake, mbona zoezi la ukaguzi wa silaha lilianzia Dar kwa Mchapakazi Paul Christian Makonda, na baadae likasambaa nchi nzima..?? Steve nadhani hafikilii vizuri.
Anyways, namkumbusha tu Steve, Mchapakazi Paul Christian Makonda, amekuwa sababu au chachu kubwa ya kuchochea baadhi mambo hapa Tanzania na baadae yanasambaa nchini kwa msukumo tofauti na uliokuwepo kabla.
Mnyonge mnyongeni, ila haki yake mpeni. la sivyo na nyie mtapata dhambi ya kumdhulumu haki yake.
Rejea: Ukaguzi wa Silaha na Kampeni ya Dawa za kulevya.
Sasa apo kosa lake liko wap??ata kama kakosea but hayo ni mawazo yake ambayo yanadhihirisha ukwel,,toka lin wew mtu akazuiliwa katka soko la biashara bila ya kuekewa economic sunction???unapoandika fikiria sio kukrupuka kama umetoka kunyaa axeeTangu mama wema akakomeshe naona kuna nati zimelegea kichwani kwake maana siku hizi kanaropoka pumba tuu sijui posho zote kalizokua kanapokea zimekatwa!!!malipo ya unafiki hayo.
Wew fata bendera inamana mtu asiseme ukweli kisa kupotezwa???think bigUtapotezwa, shauri yako
Sasa apo kosa lake liko wap??ata kama kakosea but hayo ni mawazo yake ambayo yanadhihirisha ukwel,,toka lin wew mtu akazuiliwa katka soko la biashara bila ya kuekewa economic sunction???unapoandika fikiria sio kukrupuka kama umetoka kunyaa axee
Steve Nyerere amedai kuwa kupigania Bongo movie dhidi ya maharamia wa filamu feki ni batili na za kujitafutia umaarufu kwa kuwa hilo ni suala la kitaifa linalotakiwa kuratibiwa nchi nzima na wakuu wote wa mikoa na polisi na sio Dar tu kwa kuwa vitu vingi vinavyovyoanzishwa hapa Dar vinafeli,
Pia alisema pia Makonda aliwaita watu watano, na tasnia ya filamu haiongozwi na watu hao