Steve Nyerere: Harakati za Makonda kwa Bongo movie ni batili na za kujitafutia umaarufu

DAB
 
Tangu mama wema akakomeshe naona kuna nati zimelegea kichwani kwake maana siku hizi kanaropoka pumba tuu sijui posho zote kalizokua kanapokea zimekatwa!!!malipo ya unafiki hayo.
Sasa apo kosa lake liko wap??ata kama kakosea but hayo ni mawazo yake ambayo yanadhihirisha ukwel,,toka lin wew mtu akazuiliwa katka soko la biashara bila ya kuekewa economic sunction???unapoandika fikiria sio kukrupuka kama umetoka kunyaa axee
 

Sasa apo kosa lake liko wap??ata kama kakosea but hayo ni mawazo yake ambayo yanadhihirisha ukwel,,toka lin wew mtu akazuiliwa katka soko la biashara bila ya kuekewa economic sunction???unapoandika fikiria sio kukrupuka kama umetoka kunyaa axee
 
Huyu alicheza rafu mwenyewe Magufuli aliposhinda nasikia akaitwa akauliza wafanyiwe nini kuhusu movie zao akasema wasifanyiwe chochote maana hawajielewi sasa hapo analialia nini
 
Huyu toka amwage michozi hadharani nimemdharau
Haaminiki,yeye ni pesa tu
 
Mimi naangalia Nigerians movies kwenye U-Tube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…