Steve Nyerere na Utajiri wa Kutisha

Kwa sababu wewe ni mtengenezaji, Comfortability my ass, kwa hiyo wewe una brand gani?
Meantime Audi Q7,bro!!Sijawahi kuendesha hizo takataka zenu, Nina 50yrs, nimemiliki gari for the past 30yrs, gari yangu yakwanza nilipewa zawadi na marehemu baba yangu, which was Volkswagen Beetle, ilikuwa ya shule,after that niko huku hizo takakata zenu hawazijui, ni European made tu,where class and standard matters.
 
Kwa sababu wewe ni mtengenezaji, Comfortability my ass, kwa hiyo wewe una brand gani?
Honestly nataka kujua gari gani unasukuma, pia unaimiliki 100%,haina mkopo wa mwajiri wako, pia ulianza mwaka gani kumiliki chombo cha moto,ili nijue namaliza bundle yangu na nani?
 
kuongoza kwa mauzo sio kuongoza kwa thamani kubwa. hata maji ya uhai yanaongoza kwa mauzo dar lakini sio bora zaidi ya kilimanjaro. kizuri gharama! hujamuelewa huyo, na hujui magari.
 
To me hiyo sio gari, kama hoja yako ni USAFIRI from point A to B thats fine,but when it comes to comfortability durabiliry na luxury, hiyo sio gari,tafadhali usibishane Nami kuhusu magari
Duuuuuuuuuh hii ya leo kali, shikamoo mjuzi wa magari ila naomba unijibu kitu kimoja tu kama mtu anauza zaidi ya mwingine na anatengeneza faida kubwa kuliko wote duniani maana yake bidhaa zake si ni nzuri sana au wewe unaonaje mjuzi wa magari ????????????????
 
Ujivuni wako haukusaidii kitu, hata nikikudanganya kama wewe unavyodanganya utaamini vipi?
Akili iko matakoni kabisa, m a bit matured siwezi poteza muda na watoto wasiojielewa.
 
Magari ni utajiri nao kumbe
Du watu wanamashauzi Kama lile shoga la EATV lililoonyeshwa FNL.

Unajua Bei ya Prado New Model? Crown? Rav 4 New Model? kukusaidi gharama ya Hizo Gari zinakaribia 200m,Kama anaweza kutoa milioni 200 kununua magari na kujenga nyumba ya mabilioni ni tajiri,au wewe unajua tajiri lazima awe Kama Ali mafurushi,mengi,Bakhresa,dewji?
 
Ujivuni wako haukusaidii kitu, hata nikikudanganya kama wewe unavyodanganya utaamini vipi?
Akili iko matakoni kabisa, m a bit matured siwezi poteza muda na watoto wasiojielewa.
ha-ha jamaa kasema anamiliki AUD Q7 Unamwangaaaaaa povuuuuu!! design flan kama umepanik kusikia jamaa anamiliki AUD Q7??????? tafuta hela
 
ha-ha jamaa kasema anamiliki AUD Q7 Unamwangaaaaaa povuuuuu!! design flan kama umepanik kusikia jamaa anamiliki AUD Q7??????? tafuta hela
Nyie ndo mnaolewa mjini, hapo ushamfata private...
Sa ukiwa kweli si utamvulia nguo hadharani. Punguani wahed
 
We ni Steve Nyerere? Mkuu mbona povu na kashfa juu? Kusudi tusitoleane hewa ya ukaa hebu tupe tafsiri ya utajiri so that we are on the same page.

Utajiri wa kugauge kwa properties zinazodepreciate with time ni very interesting, come after two years with the same properties and give me their value
 
Ujivuni wako haukusaidii kitu, hata nikikudanganya kama wewe unavyodanganya utaamini vipi?
Akili iko matakoni kabisa, m a bit matured siwezi poteza muda na watoto wasiojielewa.
It seems wewe ni dereva wa toyo, tayari kiroba kiko kichwani, A55HOLE!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…