Steve Nyerere na Utajiri wa Kutisha

Aaah mbona kawaida
 
Honestly nataka kujua gari gani unasukuma, pia unaimiliki 100%,haina mkopo wa mwajiri wako, pia ulianza mwaka gani kumiliki chombo cha moto,ili nijue namaliza bundle yangu na nani?
Umesema una miaka 50 vile??!! Haya mkuu hongera
 
Ndugu mbona q7,inakutoa ufahamu ni vitu vidogo mno huku,huwezi ukasema una toy,ningekuwa na bugatti ingekuwaje dogo,halafu Unaposema umekuja kabla yangu unajua nimefika lini huku?,embu punguza utoto!!
Umeuharibu sana huu uzi
 
"nyumba ya mabilioni" mangapi..?? Sifa za kijinga hizi..!!
 
Naamini hyna hata mkokoteni wewe!
 
Endelea kuimba isambe huku wenzio wakiendesha hizo Toyota!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…