Steven Kanumba Profile



Na kwa kweli ameridhika, ana VX hana haja ya kujiendeleza hata kusomea film. Ila bira ya Kanumba kuliko Ray
 
Mkuu Lizzy,, ulichoweka hapa ni tofauti na CV inayoulizwa na mtoa thread,siamini kama hufahamu maana ya CV
 
Sipati picha siku wadau humu wakitaka kujua profile yangu, maana wengi hawajui hii ID ya Tegelezeni inatumiwa na mtu maarufu na mwenye makeke hapa nchini................LOL

Unanikumbusha thread yangu: what is behind our avatars!!!
 
Nimepitia hizo zinazoitwa, profile, bado sijaona kitu wakuu. Profile ni lazima ikuache bila maswali juu ya kiwango cha elimu ya mtu. Ukishaona unapata utata kujua kiwango cha elimu ya mtu, maelezo mengine yote yanakuwa hayana maana kwani nao utakuwa uongo mtupu.

Nadhani kuna walakini ktk hili, na wasanii wengi wako hoi.

Hivi K-Basil yuko wapi waheshimiwa?
 
K Basil ni Mchungaji wa Kilokole(very serious) na amesomea kabisa! Huyu jamaa alikuwa anakesha Meeda akifanya vituko vya kilevi lakini kweli Mungu Mkubwa! Ukimuona huwezi amini amebadilika kabisa kitabia! Glory to Jesus
 
No dear Profile is bigger than CV mfano soma hapo juu profile ya P didy!

Pengine aliyenifundisha alinipotosha, inabidi nikubali tu alafu nisubirie wakileta hiyo CV na profile niangalie tofauti.
 
anyway! Kwa mtizamo wa tunayozungumzia nafikiri anamaanisha deeper than that
 


HAHAHAHAHA
wa weke muanze kufananisha na hawa wa USA,si unaelewa tena wasanii wa bongo wliowengi elimu kwapani na usanii ndio kazi ya kutegemea,huwezi fananisha na hawa jamaa check jamaa alivyokata kashule bana

kanumba usiweke na tena umande ndio huo ulikimbiwa
 
Kina Kanumba wanaogopa nini kuweka profile zao mezani wapenzi wa filamu zao wakawajua kiundani kama hawa mastar wa nje?
wengine wanaogopa kuandika umri maana vikongwe
 
Sipati picha siku wadau humu wakitaka kujua profile yangu, maana wengi hawajui hii ID ya Tegelezeni inatumiwa na mtu maarufu na mwenye makeke hapa nchini................LOL
. Eti maarufu na mwenye makeke, hapo ni kipi kimeleta kingine, umaarufu umeleta makeke au makeke yameleta umaarufu?
 
ngoja wambea waje wakumwaagie info

Kujua info za mtu kama huyu haimaanishi mtu ni mmbea!! Khaaaaa...!! Yeye sikaamua kujulikana, acha watu wamchambue...
 

we nawe utaona umefanya bidii kuleta habari za kanumba? Si Ndallo kaambatanisha kitu hii kwenye webu ya Kanumba?
 
kama kweli maisha ya duniani (ULAYA&MAREKANI) Yanaaina ya watu kama watanzania basi hii dunia yote imejaa vituko,wabongo wanajua kila kitu,wabongo wanataka Mrisho Ngassa acheze kama Messi...wabongo wanataka Kanumba na Ray waigize na waishi kama mastaa wa hollywood ,,mnawabeza mastaa wetu utadhani wameandaliwa mazingira ya kufanya kazi ,,kama staa hakuenda shule tatizo liko wapi...? filamu za Nijeria zilikuwa na soko sana mwishoni miaka ya tisini na mwanzoni mwa elfu mbili leo hii ziko wapi? hiyo miziki ya kongo iko wapi? mastaa wetu wanaganga njaa kama wewe unavyoganga njaa kwenye kazi yako ,,,,hata kama walifeli ila leo hii ni TOPIC OF DISCUSSION
 

Is this a profile or History?

Angalia mfano wa profile ya P.Diddy hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…