[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]hawa wazee wabishi balaa.Mkuu Mkuchika tayari ashatangaza kabisa kuwa naye yupo kwenye mtanange, watu wakamuuliza itakuwaje na uzee huo ukaweza kuwawakilsha walio kuchagua?
Jibu lake lilikuwa kuwa bungeni yeye haendi kubeba mawe au kupasua miamba bali ni akili tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] dahIna tumbo kubwa na kibamia
Atafia kwenye nanihii sasa huyuMzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513
Nadhani apelekwe Gombe kwa wenzie, ni kivutio sana atatuongezea fedha za kigeni.Huyu mzee ajengewe sanamu
Hawa paka wafie madarakani pumbav.... SanaMzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513
Kumbe wewe ni mzee kabisa? Kwa mapambio yako nilifikiri upo uvccm! Kuna wazee wapumbav sana aisee!Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…
' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
Na kesho utamsikia VIJANA MJIAJIRI FURSA NI NYINGI SANA.Mkuu Mkuchika tayari ashatangaza kabisa kuwa naye yupo kwenye mtanange, watu wakamuuliza itakuwaje na uzee huo ukaweza kuwawakilsha walio kuchagua?
Jibu lake lilikuwa kuwa bungeni yeye haendi kubeba mawe au kupasua miamba bali ni akili tu.
Kumbe wewe ni mzee kabisa? Kwa mapambio yako nilifikiri upo uvccm! Kuna wazee wapumbav sana aisee!
Na kesho utamsikia VIJANA MJIAJIRI FURSA NI NYINGI SANA.
Mimi sijamzungumzia baba yako, nimezungumza na wewe kuhusiana na tabia yako ya kupiga mapambio yasiyoendana na umri wako.Baba yako anajua hata maana ya 'social media'?
Hiyo sanamu, itakua na sura kama kifaru...[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mzee ajengewe sanamu