Uchaguzi 2020 Steven Wassira atangaza kugombea ubunge Jimbo la Bunda, Adai 2015 aliibiwa kura

Uchaguzi 2020 Steven Wassira atangaza kugombea ubunge Jimbo la Bunda, Adai 2015 aliibiwa kura

Mkuu Mkuchika tayari ashatangaza kabisa kuwa naye yupo kwenye mtanange, watu wakamuuliza itakuwaje na uzee huo ukaweza kuwawakilsha walio kuchagua?

Jibu lake lilikuwa kuwa bungeni yeye haendi kubeba mawe au kupasua miamba bali ni akili tu.
Jibu sio sahihi bungeni ni kupiga meza tu na kisomo chako cha kusoma na kuandika sanasana na PhD ya jalalani vipato kibao havipatikani popote pengine labda Ikulu tu kwa kisomo hichohicho. Wengine wanakwenda bungeni kuzungusha makalio na kupiga kura ya ndioooo na kutoka na pochi iliyojaa ndo maana kila mwanachama wa Chama ananunua wapiga kura ilmradi achaguliwe akavune. Wazee pamoja na kisomo chao kikubwa nao wamo kwani wana wajukuu wa kucheza nao. Tyson diehard hakushindwa na mwanamke, alishindwa na mpinzani mahili!
 
Shida ya huyo mzee hajui kujipanga kimaisha, mwaka 2005 nilimkuta mahali fulani Igunga suruali amepiga papi na kiatu anakanyagia upande mama Maria Nyerere akamuokoa kwa kumuombea kazi Serikali ya JK.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka sana hii

Ova
 
Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…


' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
Mke wake hana hata miaka 35 ndiyo maana kaka anajiona young man
 
Mzee Wasira alikuwa RC Mara miaka ya mwanzo ya 1970 sie tukiwa vijana shulen, leo hadi mdogo wangu wa pili kastaaf utumishi wa Umma ths July lakin bado Wasira anajaza fomu kuomba kazi.…


' Mpunga usiokauka mchana wa jua kali utakauka kwa jua la Alasiri?
Mwalimu akiwa Rais, Wassira yupo. Wakati Mzee Mwinyi ni Rais, Wassira alikuwepo. Akaja Mkapa, Wassira akawepo. Alipoingia Mhe. Kikwete bado Wassira akaendelea kuwepo. Kipindi cha kwanza cha awamu ya tano Wassira hakukata tamaa, alitaka awepo lakini alizidiwa kete. Sasa tena kipindi hiki kuelekea kipindi cha Pili, Wassira bado hajakataa tamaa. Tuwaombe wajukuu na vitukuu vyake vimtake apumzike na angojee vijana washike nafasi za uongozi.
 
Ha ha ha!
Nimecheka mpaka basi!
Mzee Wassira ashauriwe aanze kucheza na wajukuu tu!
Inavyoonekana hana au hafahamu malezi ya wajukuu,anadai kuibiwa kura na nani?Aliyeshinda Ubunge 2015 ndiye alikuwa msimamizi wa uchaguzi wa Bunda?Tanzania kwenye uwezo au haja ya kuiba kura ni CCM.
Kustaafu siyo aibu Mzee Wassira,siyo lazima kuwa Diwani,Mbunge au Rais.Kila jambo kwa kadiri na Wana Bunda wanaye mwakilishi wao ila sidhani kama ni Wassira.
 
IMG-20200711-WA0048.jpg
 
Niliwahi kusafiri na ndugu yake 2007 tukitokea Mwanza to Dar alinichekesha aliponiambia Mzee kila kitu kwake ni Siasa tu hana vision wala future mbadala.
Hivyo sishangai
 
Duuu inawezekana mzee ni mtu wa kujirusha na vimwana
Shida ya huyo mzee hajui kujipanga kimaisha, mwaka 2005 nilimkuta mahali fulani Igunga suruali amepiga papi na kiatu anakanyagia upande mama Maria Nyerere akamuokoa kwa kumuombea kazi Serikali ya JK.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom